Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

nasikia ukienda soma Urusi urejeapo Tanzania, unakuwa ka umevurugikiwa iviii -mawenge mawengeee hahaaaaa nahisi ni zile toti za pombe kali kuliko k-vant asubuhi
Kuna watu kama watatu ninaowajua,wako hvyo pombe sana,pia kama machiz,ila kazi wanazifanya kiufasaha wana akil sana
 
Asante Mwl
ila ungedondoshea karamani hapa kangenogesha somo
 
Mada ya kijinga. Mtu yeyote aliyeishia darasa la saba akipewa atlas na kuulizwa maswali haya atayajibu yote!!!

Kipi kipya kuhusu nchi kubwa kuliko zote duniani na mipaka yake???
Si kila Mada lazima ikulenge wewe hivyo kama unsona ya kijinga tuache wajinga tujifunze.

Unazani kwa vile wewe unafahamu kila Mtu atafahamu?
 
Hiyo issue ya saa kidogo kama unatupiga kamba
Hujawahi kuisikia hiyo?

Hujafikiria kwa nini Mfano Rais wao akitoa tamko wanasema alitoa tamko holo muda flani kwa masaa ya Moscow na hawasemi kwa masaa ya Russia.

Hivyo wakisema kwa masaa ya Russia italeta mkanganyiko kuwa muda halisi ni upi.
 
Kibete ni nn?

Ni sawa na Dwarf ...denoting something, especially an animal or plant, that is much smaller than the usual size for its type or species.

Hivi sasa kiswahili ni kigumu kuliko kijapani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…