Ifahamu nchi kubwa kuliko zote duniani

TANZANIA inaingia mara ngapi hapo?
 
Ila wanaliwa kichwa na Ukraine kinchi kama Rwanda tu [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
USA, EU, NATO + UKRAINE, wote hao wameungana kuipiga Urusi lakini bado wanachezea kichapo. Amka ndugu!
 
Yani pamoja na ukubwa wote huo bado ana tamaa na kaeneo kadogo ka ukraine?
Siyo tamaa bali ni sababu za kiusalama zaidi lakini kwa sisi Watanzania kwetu suala la usalama sio tatizo kwasababu WAZUNGU wanaweza kuja na kuchukua chochote na kuondoka muda wowote kwenye nchi yetu
 
Ila inakalishwa na ukraine kanchi kadogo 🤣🤣🤣🤣🤣😀😂😂 big up ukraine nyie ni shupavuu sanaaa hata kama mkielemewa but mmeonesha umwamba wenu bila chenga
 
Ila inakalishwa na ukraine kanchi kadogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji23][emoji23] big up ukraine nyie ni shupavuu sanaaa hata kama mkielemewa but mmeonesha umwamba wenu bila chenga
We mwenyewe unajicheka Kwa Sababu unajua unachoongea hakiko sahihi.
 
Japani ukubwa wake ni sawa na mkoa wa Singida lakini wametuzidi kwa kila kitu watanzania

Ukubwa wa nchi sio kitu kikubwa
 
Siyo tamaa bali ni sababu za kiusalama zaidi lakini kwa sisi Watanzania kwetu suala la usalama sio tatizo kwasababu WAZUNGU wanaweza kuja na kuchukua chochote na kuondoka muda wowote kwenye nchi yetu
Sababu kama zipi?

Mbona nilisikia ni mpango wake kuiteka keilviv
 
Ongezea hii, hapo zamani za kale Marekani hapakuwa na watu wanaoishi hapo, wahindi wekundu wakati wanawinda dubu kutokea Mongolia wakajikuta wametokea Marekani na bahari imeshayeyuka barafu hawakuweza kurudi tena nyuma ili kurudi Urusi mpaka kwao. (Mfano kutoka Dar kwenda Zanzibar winter ikubali mnatembea kwa miguu kwenda Zanzibar, baada ya winter ndio mnashtuka barafu imeyeyuka kumbe kuna bahari mnashindwa kurudi Dar mnaanzisha maisha huko mpaka vizazi na vizazi, ndio sababu kihistoria unaambiwa Marekani ni nchi ya wahindi wekundu ndio wa kwanza kufika hapo

Algeria ndio nchi kubwa Africa lakini sehemu kubwa haikaliwi na watu, sawa na Urusi wana eneo kubwa ambalo ni useless ni barafu tupu na wala halitumiki.
 
Aises hatari.

Sasa hawa wahindi wekundu wako wapi?

Na ilikuwaje wakapotea race yao wakaja hawa akina trampu ?
 
***** sisi ambao hatujasoma kazi tunayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…