Wengi huwa wanadhani hivi lakini si sawasawa kusema hiviNi kweli ndan ya jiji la Tokyo Kuna majiji mwengine? Eti hata jiji la Yokohama liko ndani ya jiji la Tokyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Napafahamu kaka hapo kuna demu wa kibrazil alifanya niwe nakuja hapo mara kwa mara na Kuna night club hapo za Club YOLO na Club Iwakumi nilikuwa nahudhuria sana na baada ya kustareheka club kuna hotel moja inaitwa Hotel Trend Iwakumi tulikuwa tunapenda kulala hapo.Mkuu, umekosa, ha ha haa! Ni mji mmoja mdogo na tunaweza sema uko countryside. Uzuri wa mji huu ni kuwa uko salama sana hasa kwenye yale majanga ya asili. Japan ni nchi inayopigwa sana na MATETEMEKO, na MAFURIKO. Mkuu, huu mji unaitwa Yamaguchi. Pole kwa kukufikirisha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia online mkuu mbona simple na pia wadau wameshaweka humu mengine hupaswi hata kumsumbuaUmefafanua vyema sana lkn umetuangusha unapo taja viwango vyapesa vyahuko then hutuambii kwahukukwetu ni shingapi
Sahihi lkn wewe ndio ungetakiwa kutuwekea pale kwenye mzungumzoUkigoogle ndugu unapata hizo exchange rate
Au sendero luminosoHapo kwenye uhalifu vipi hujawahi kupata kusikia mkasa wowote kuhusu Yakuza clans?
Yeah hiyo 'Shining Path' ni organization ha Kikomunisti ilikuwa sana active Peru sijui kama ipo miaka hii.Au sendero luminoso
Sawia mkuruuThamani ya pesa inapanda na kushuka kila siku
Sio sasa mkuu labda niandike uzi baadae week ijayo nikiwa na free.Eleza mkuu kwa faida ya wengi ilikuaje?
Ha ha haa, vzr sana mkuu. Kumbe ulikuwa unafika Iwakuni! Hapo Iwakuni kuna 'small military base' ya wamarekani. Kwaiyo ni sehemu flani ambayo kuna interaction kubwa na foreigners hasa wamarekani. Mimi niko bongo kwa sasa, mkuu.Napafahamu kaka hapo kuna demu wa kibrazil alifanya niwe nakuja hapo mara kwa mara na Kuna night club hapo za Club YOLO na Club Iwakumi nilikuwa nahudhuria sana na baada ya kustareheka club kuna hotel moja inaitwa Hotel Trend Iwakumi tulikuwa tunapenda kulala hapo.
Ahsante sana kaka, uko bongo kwa Sasa?
Umerudi likizo ama mazima?Ha ha haa, vzr sana mkuu. Kumbe ulikuwa unafika Iwakuni! Hapo Iwakuni kuna 'small military base' ya wamarekani. Kwaiyo ni sehemu flani ambayo kuna interaction kubwa na foreigners hasa wamarekani. Mimi niko bongo kwa sasa, mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app