Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Nime jibu Mzee ni kuwa Mungu ana ufahamu wa uhakika kwa kila jambo, a perfect and infinity knowledge iliyokuwepo na ambayo iko. Hata jina la Mungu ni Mimi Niko ambaye Niko.
Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?
 
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
Haha we jamaa acha uongo sifongo ni (sponge) na siki ni (vinegar) soma Biblia japo kwa English utaelewa vingi kama unajua Kiswahili cha Bible si rahisi ni kigumu . Umenishangaza sana bora ungeuliza kuliko maelezo yote mara nyoka hahaha. Vijiwe hivyo ningekuwawewe ningeshafuta huu uzi haha ni aibu😃😃😃💂💂💂😁😁😁
 
kwa hiyo uwezo wote alio kuwa nao yesu na miujiza pia ..alishindwa kujua au kupata maono kuwa alichopewa ni sumu ivyo asinywe!!!ye akanywA.....pia kumbe basi yesu alikufa kwa sumu si ndio

Huo ndio utaratibu aliojipangia kwa mapenzi yake. Biblia inatufundisha moja ya kazi ya yule muovu na wafuasi wake ni kutilia mashaka kuhusu uweza wa Mungu.

Hapa vinaulizwa vitu vidogo. Kikubwa ni kuwa aliishinda dhambi na kifo kwa niaba yangu na wewe kama tukitaka. Kutaka ni kumfuata Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, kwa kumuamini, kutubu dhambi zako na kubatizwa. Nje ya hapo wewe bwana wako ni shetani na dhambi na kifo vimewashinda na msubirie kutupwa katika lile ziwa la moto, jehanamu ya milele, wakati ukiwadia.
 
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
Siamini usemacho mpaka uweke attachment kusapoti ili nijenge hoja ya kukupinga
 
Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Mungu yaani Bwana Yesu alimtahadharisha msaliti Yuda. Na ndivyo anavyofanya kwetu siku zote kupitia nafsi zetu kutusuta lakini huwa tuna shupaza shingo.

Wewe ni Mungu yupi huyo unaye muongelea hapa? Maana ibilisi naye ni mungu kwa jinsi yake, yuko na wafuasi na dini na madhehebu yake.
 
Waliona hafi haraka na sabato ilikuwa inakaribia wakaona wafanye uhalifu huo mkubwa, wa kumywesha hiyo sifongo na kumchoma mkuki mbavuni na damu zikamwagika....akalia kisha akakata roho...

Yote haya ilikuwa yafanyike ili ukombozi wa dunia ukamilike - swali Je mwenyezi Mungu hakuna na alternative way? Kumbuka kabla ya mateso Yesu aliomba sana na kumwambia MUNGU - "Baba kama inawezekana basi kikombe hiki kiniepuke.."
 
Mungu yaani Bwana Yesu alimtahadharisha msaliti Yuda. Na ndivyo anavyofanya kwetu siku zote kupitia nafsi zetu kutusuta lakini huwa tuna shupaza shingo.

Wewe ni Mungu yupi huyo unaye muongelea hapa? Maana ibilisi naye ni mungu kwa jinsi yake, yuko na wafuasi na dini na madhehebu yake.
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?

Jibu ndiyo nakubali au hapana sikubali.
 
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?

Jibu ndiyo nakubali au hapana sikubali.

Usinipangie jinsi ya kujibu. Nimejibu kwa kusema anakutahadharisha na kukuachia uamue maana kakupa ujuzi wa mema na mabaya. Wewe si hayawani.
 
Usinipangie jinsi ya kujibu. Nimejibu kwa kusema anakutahadharisha na kukuachia uamue maana kakupa ujuzi wa mema na mabaya. Wewe si hayawani.
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?
 
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?

Nimekujibu kwa namna nyingi, unabii, kakupa utashi, atakutahadharisha nk. Kuepuka kuko mikononi mwako/katika maamuzi yako kama utautaka msaada wake na kumtumaini yeye pekee yake. Ila kwa kumtumainia shetani na akili zako hutaepuka.

Hili limefundishwa tangu pale Eden. Eva/Hawa akatumainia ushauri wa shetani, Adam akatumaini ushauri wa mkewe. Wakashindwa kumtii Mungu wakatenda dhambi ya ukaidi wakaambulia adhabu ikiwemo kifo.
 
Nimekujibu kwa namna nyingi, unabii, kakupa utashi, atakutahadharisha nk. Kuepuka kuko mikononi mwako/katika maamuzi yako kama utautaka msaada wake na kumtumaini yeye pekee yake. Ila kwa kumtumainia shetani na akili zako hutaepuka.

Hili limefundishwa tangu pale Eden. Eva/Hawa akatumainia ushauri wa shetani, Adam akatumaini ushauri wa mkewe. Wakashindwa kumtii Mungu wakatenda dhambi ya ukaidi wakaambulia adhabu ikiwemo kifo.
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?
 
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?
Nimejibu swali lako na mimi naomva ni kuulize hili swali hapa, je?
Maana ya muweza wa yote kwa mapenzi yake ni nini?
 
Nimejibu swali lako na mimi naomva ni kuulize hili swali hapa, je?
Maana ya muweza wa yote kwa mapenzi yake ni nini?
Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?

"Muweza yote kwa mapenzi yake" si muweza yote. Kwa sababu uwezo wake umefungwa ndani ya mapenzi yake. Maana yake kuna mambo hawezi kufanya. Mungu wa Biblia na Quran anasemwa kuwa muweza yote, uwezo wake hauna mipaka. Huyo "muweza yote kwa mapenzi yake" ni mwenye mipaka ya uwezo wake.Si Mungu, ni dubwana tu.

Kwa sababu uwezo wake una mipaka.

Zaidi, hata nikikuruhusu useme Mungu huyo "muweza yote kwa mapenzi yake" yupo, na ndiye aliyeumba ulimwengu huu, na kauumba kwa mapenzi yake, nikikuuliza, kwa nini mapenzi yake yamekuwa kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na mabaya, wakati ana upendo mkubwa kwa viumbe vyake, na aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo, unarudi pale pale uliposhindwa kujibu.

Muweza wa yote ni hoja ya kufikirika ambayo kiuhalisia haipo.

Kwa sababu kuweza yote maana yake ni kuweza kufanya mambo yanayojicontradict, kama Mungu kuumba jiwe ambalo hawezi kulibeba.

Mungu anaweza kuumba jiwe ambalo hawezi kulibeba?

Akiweza kuumba jiwe hilo, kutakuwa na kitu hawezi kufanya, kwa sababu atakuwa hawezi kubeba jiwe hilo.

Akiwa hawezi kuumba jiwe hilo, kutakuwa na kitu hawezi, atakuwa hawezi kuumba jiwe hilo.

Vyovyote vile hapo, Mungu hawezi yote.

N aukiruhusu contradiction, maana yake umeruhusu unaposema Mungu yupo, umaanishe Mungu hayupo!
 
Hapa ndio umejikanya haswa. Nikuache undelee unavyo uno wewe ila zingatia hili "muweza wa yote kwa mapenzi yake" Hakuna wa kumpangia, kwenye maandiko hana Mwanzo,hana asili wala hana mwisho ni wa umilele yote. Case closed.

Hujajibu swali langu. Unarukaruka tu.

Unaelewa kwamba, kwa maelezo yako, Mungu wako huyo unayemsema, akijua kwamba utaiba kesho, huwezi kuepuka kuiba?

Unakubali hilo au unakataa?

Muweza wa yote ni hoja ya kufikirika ambayo kiuhalisia haipo.

Kwa sababu kuweza yote maana yake ni kuweza kufanya mambo yanayojicontradict, kama Mungu kuumba jiwe ambalo hawezi kulibeba.

Mungu anaweza kuumba jiwe ambalo hawezi kulibeba?

Akiweza kuumba jiwe hilo, kutakuwa na kitu hawezi kufanya, kwa sababu atakuwa hawezi kubeba jiwe hilo.

Akiwa hawezi kuumba jiwe hilo, kutakuwa na kitu hawezi, atakuwa hawezi kuumba jiwe hilo.

Vyovyote vile hapo, Mungu hawezi yote.

N aukiruhusu contradiction, maana yake umeruhusu unaposema Mungu yupo, umaanishe Mungu hayupo!
 
Hapa ndio umejikanya haswa. Nikuache undelee unavyo uno wewe ila zingatia hili "muweza wa yote kwa mapenzi yake" Hakuna wa kumpangia, kwenye maandiko hana Mwanzo,hana asili wala hana mwisho ni wa umilele yote. Case closed.

Hata nikikuruhusu useme Mungu huyo "muweza yote kwa mapenzi yake" yupo, na ndiye aliyeumba ulimwengu huu, na kauumba kwa mapenzi yake, nikikuuliza, kwa nini mapenzi yake yamekuwa kuumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na mabaya, wakati ana upendo mkubwa kwa viumbe vyake, na aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo, unarudi pale pale uliposhindwa kujibu.

Unataka jibu liwe "kaumba kwa mapenzi yake". Mimi sijakataa kwamba labda kaumba kwa mapenzi yake, wala sijauliza kaumba kwa mapenzi ya nani.

Unajibu swali ambalo sijauliza, swali la "kaumba kwa mapenzi ya nani?".

Wakati swali nililouliza, la "Kwa nini kaumba hivi? Kwa nini mapenzi yake yawe kuona ulimwengu wenye mateso, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao hauna mateso?" hujalijibu.

Kutolijibu kwako kunaonesha humuelewi Mungu wako.

Na humuelewi kwa sababu hayupo.

Huwezi kumuelewa Mungu ambaye hayupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Back
Top Bottom