Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema

Sifongo is a pipette, mrija au chombo cha kufyonza maji au liquid yoyote kutoka ndani ya bakuli lake kumnywesha aliye juu au hajiwezi. Yesu aliona kiu, akataka maji, lakini sifongo ikatumika kumnywesha siki (vinegar) badala ya maji, hakutaka kuendelea kunywa tena.
 
Kiukweli YESU alikufa kifo cha aibu na mateso makubwa sana! So painful [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kiukweli YESU alikufa kifo cha aibu na mateso makubwa sana! So painful [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na wewe unakubali kabisa kuwa Mungu MKUU mwenye upendo wote na HURUMA zote aamue KUMUUA KIUMBE ASIE NA DHAMBI KIFO CHA AIBU NA MATESO MAKUBWA ili mlevi na mbakaji asamehewe dhambi zake?

Hii wala haihitaji kwenda shule kufahamu kuwa huo wote ni UONGO anaosingiziwa Mungu. Na MUNGU hana sifa chafu namna hii.
 
Duh hivi jamaa yesu aliwakoseaga nini mbona walikuwa na hasira naye sana dah inauma sana


Yaan watu wamekupiga misumari wakaona haitosh wakampiga na sifongo tena
Inawezekana kuna watu nafasi zao za utawala zilikuwa hatiani kupotea, walihakikisha anakufa, yaani ni kama wale wa Tundu Lisu.
 
Biblia ya kingereza inataja sifongo kama sponge lijinguo fulani ambalo walitumia kuchovya kwenye siki au divai chachu maana yake sifongo sio sumu.
 
ulichonifurahisha,kwenye coment yako,neno mungu,herufi m,umeweka herufi kubwa,kwetu ina maana sana ili kumtofautisha na wengine,yeye tu ndo huanza na herufi kubwa.waliobakia wote ni ndogo..
Wewe nae hujui umekariri kariri maisha. mwandishi alimaanisha ''m '' na siyo ''M'' kama unavyotaka na kudhani wewe! sababu kuna tofauti kati ya mungu wa Roma na Mungu wa Israel, hata yesu wao ni tofauti sana. hajakufurahisha umejifurahisha
 
Lakini kwa nini ndugu zake James, Jose na Salome hawakuja kumsaidia japo hata kulia naye Msalabani tu, hata kutetea wakati wa hukumu jamani! duuu! walikuwa na roho ngumu sana. basi hata wangeomba utawala husika wakamzike ndugu yao basi.

Hata makaburini hawakwenda, badala yake akaenda yule dada Mary Magdalena, na mama mzazi,
roho mbaya ya ndugu kumbe ilianza zamani sana,hta Mungu wanamfanyizia. Rafiki ni Bora sana
 
lakini mkuu,si ungetafsiri yako,kwa jinsi upendavyo,wengi wametafsiri,mfano mashahidi wa yehova,wakatoliki wao wameongeza na vitabu vingine zaidi,kimbembe ni pale tu,tutakaposimama mbele ya Mzee wa siku.
SIFONGO - SPONGE
Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumtelemsha. Marko.

ACHA UONGO.
 
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
Mkuu umepotosha sana juu yaneno sifongo na siki,sifongo ni kitambaa kinachoweza kubeba kimiminika ,na siki ni kinywaji chenye kilevi kikali zaidi,hivyo bwana yesu hakupewa sumu wala nini,Bali alipewa siki kupitia kitambaa cha sifongo(sponge like materials)
Screenshot_20210330-225425.jpg
Screenshot_20210330-225235.jpg
 
naanza kwanza kukomenti kabla ya kusoma maelezo yote,kichwa cha tu ndio nimesoma kusema na ukweli hua sielewi kbs sifongo ni nini na siki ni mdudu gani
 
pamoja na kumfanyia hayo yooote eti jamaa aliwasamehe!!! yaani jamaa makatili kinoma!!! eti ni mbinguni moja kwa moja!! wkt jiwe ananyea debe!! tena ameanza mapema tu kubeba Mtondoo wa shetani!! Duuuuu!!!!!!
 
Tatizo waliotafsiri biblia kwa kiswahili ndio wameleta mkanganyiko wa maneno yaliyopitwa na wakati na ambayo hayatumiki kwani bilblia ya English inayataja maneno hayo SIFONGO na SIKI ni nini? maneno kama watesi, makerubi, ni maneno ya kiswahili cha zamani sana
Mzee una uhakika? Makerubi ni neno limetoholewa toka kiingereza cherub..hebu weka neno la kileo/kisasa la cherub kwa kiswahili
 
Mkuu umepotosha sana juu yaneno sifongo na siki,sifongo ni kitambaa kinachoweza kubeba kimiminika ,na siki ni kinywaji chenye kilevi kikali zaidi,hivyo bwana yesu hakupewa sumu wala nini,Bali alipewa siki kupitia kitambaa cha sifongo(sponge like materials)
View attachment 1739087View attachment 1739088
Yaani kiwango cha upotoshaji alichofanya ni cha hali ya kupita kikomo.
 
pamoja na kumfanyia hayo yooote eti jamaa aliwasamehe!!! yaani jamaa makatili kinoma!!! eti ni mbinguni moja kwa moja!! wkt jiwe ananyea debe!! tena ameanza mapema tu kubeba Mtondoo wa shetani!! Duuuuu!!!!!!
We mwehu sana.. [emoji23][emoji23][emoji23] em nipe namba yako ya whatsapp natamani nikuone unavyofanana
 
We mwehu sana.. [emoji23][emoji23][emoji23] em nipe namba yako ya whatsapp natamani nikuone unavyofanana
Teeh!! teteee!! ndo ivo Mazee sie ma idealistic mnatuitaga wehu!!! Si unaona Yesu walitaka kumfunga kamba eti amerukwa na akili!!!!
hata Nyerere, Baba yake alimwambia kwa kizanaki ''Abhazungu bharakwita mwanoo!! wane weee!'' tiga mang'ana gayo ga kisenzi senziii''

yaani mie Mkuu Siku ukiniona hutaishi....amini maneno yangu!!
 
Teeh!! teteee!! ndo ivo Mazee sie ma idealistic mnatuitaga wehu!!! Si unaona Yesu walitaka kumfunga kamba eti amerukwa na akili!!!!
hata Nyerere, Baba yake alimwambia kwa kizanaki ''Abhazungu bharakwita mwanoo!! wane weee!'' tiga mang'ana gayo ga kisenzi senziii''

yaani mie Mkuu Siku ukiniona hutaishi....amini maneno yangu!!
Huyu Mzee Burito alikuwa anamaanisha nini mkuu?
Naona umeandika bila kutoa tafsiri ukifikiri kila mtu anajua Kizanaki.
 
Back
Top Bottom