IFFHS: Simba ya 361 Duniani, Ligi ya Tanzania ya 8 kwa ubora Afrika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hawa jamaa hawana affiliation na FIFA ni watu wa takwimu za michezo SINCE 1984 jana wametoa takwimu zao za teams 400 bora duniani simba ikiwa nafasi ya 361 na ligi ya Tanzania ikiwa ya 8 barani afrika bila shaka kutokana na libeneke la simba sc kwa melezo zaidi ngia kwenye website yao.

Na kabla hujakandia lolote habari ya Enyimba jana kuwa namba 352 huko Nigeria imepokelewa kwa shangwe kubwa sana sioni sababu ya simba kutoshangilia pia ,let us celebrate bana tuko hadi juu ya dinamo moscow.


kama team yako haipo kwenye list ongea na david mwakalebela umpe hela ya ku file malalamiko CAS kesi yako itashuhulikiwa na team yako itaingizwa kwenye list.

Screen Shot 2021-01-23 at 9.09.37 AM.png
IIHFF LEAGUES.png
 
Uto Polo hawawezi furahia hii habari
hawa tunawachapa left and right siku hizi wanabishana hadi na twakwimu za CAF yaani wao wanaonewa tu wakate rufaa CAS ili takwimu za mapinduzi cup ziwekwe ziwapandishe, hawa jamaa IFFHS wameanza hizi kazi 1984 nilikuwa naangalia takwimu za simba miaka ya 2010 team ilikuwa ya 1800 huko unaona kabisa juhudi z ateam kujipeleka sehemu sahihi ingawa kuna vikwazo vya kila aina kutoka serikalini hadi kwa makanjanja lakini simba ishakuwa noticed na inaheshimika sasa wale wa majungu acha waendelee na upumbavu wao
 
Simba ni zaidi ya Anderletch na Torino... Inahitaji kuwa na akili ya kimbumbumbu kumeza habari kama hii.
 
Makanjanja yanatangaza ligi kuwa ya nanee lakini chanzo hichohicho kinasema simba ni ya 361 duniani wanakwepa kutangaza
 
Makanjanja yanatangaza ligi kuwa ya nanee lakini chanzo hichohicho kinasema simba ni ya 361 duniani wanakwepa kutangaza
Kwa hiyo na wewe unaamini Enyimba ni bora kuliko Al ahly, zamalek, mamelod n. K? Acha u K, tumia akili zako
 
Back
Top Bottom