IFFHS: Simba ya 361 Duniani, Ligi ya Tanzania ya 8 kwa ubora Afrika
Sisi utopolo fc list yetu itatoka mwakani.
🙄🙄🙄🙄
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Pamoja na simba kuumia mgongo kwa kuwabeba vibonde wa hi linchi pamoja na shirikihisho la hovyohovyo TUNASHOSHUHUDIA NI FIGISU HADI ZA KUMFUNGULIA KESI CEO WA SIMBA NA MAMBO MENGI YA AJABU AJABU ILA MUNGU NDIYE ANAONA UKWELI SIMBA KAIBEBABA TENA HI LIGI ILIYOPAUKA KAMA NGOZI YA LOPOLOPO LA VYURA VYURANI

LIGI MBOVU YA TFF NA BODI CHAKAVU YA LIGI INASHIKA NAMBA 62 DUNIANI NA YA 9 AFRIKA BAADA YA KUPIGWA BAO NA ZAMBIA KWANI MWAKA JANA LIGI CHAKAVU ILIBEBWA NA SIMBA NA KUSHIKA NAMBA 8

CHA KUSHANGAZA WAHUSIKA HUWA WAKISHAPEWA HELA ZINAZONUKA ZA UDHAMINI HEWA WA MATAPELI YA SOKA HUANZA KUJISIFU HOVYOHOVYO HUKU WAHUSIKA WALIOIPANDISHA LIGI KIMATAIFA WAKIWA WANAWACHORA TU

FOR MORE INFO: IFFHS

Screen Shot 2022-01-30 at 3.37.42 PM.png
 
Pamoja na simba kuumia mgongo kwa kuwabeba vibonde wa hi linchi pamoja na shirikihos la hovyohovyo TUNASHOSHUHUDIA NI FIGISU HADI ZA KUMFUNGULIA KESI CEO WA SIMBA NA MAMBO MENGI YA AJABU AJABU ILA MUNGU NDIYE ANAONA UKWELI SIMBA KAIBEBAB TENA HI LIGI ILIYOPAUKA KAMA NGOZI YA LOPOLOPO LA VYURA VYURANI

LIGI MBOVU YA TFF NA BODI CHAKAVU YA LIGI INASHIKA NAMBA 62 DUNIANI AN YA 9 AFRIKA BAADA YA KUPIGWA BAO NA ZAMBIA KWANI MWAKA JANA LIGI CHAKAVU ILIBEBWA NA SIMBA NA KUSHIKA NAMBA 8

CHA KUSHANGAZA WAHUSIKA HUWA WAKISHAPEWA HELA ZINAZONUKA ZA UDHAMINI HEWA HUANZA KUJISIFU HOVYOHOVYO HUKU WAHUSIKA WALIOIPANDISHA LIGI KIMATAIFA WAKIWA WANAWACHORA TU

FOR MORE INFO: IFFHS

View attachment 2101189
Una njaa kali hatari.
 
Timu kuwa kwenye list hii wakati bado inafungwa na timu average kama Kagera sugar haitusaidii.!
Ahly ana mechi 5 hajashinda hata moja juzi kapigwa 3-0 na Smouha na yuko nafasi ya 20 duniani ila kama una malalamiko wasiliana tu na hawa jamaa waambie kuna team ina mayele wameifunga polisi ya moshi 1-0 hawaonekani hapo IFFHS
 
Mkuu Mbona Umeanzisha Uzi Na MAKASIRIKO mengi hivi.

Aisee Hadi League Ifike Mwisho Watani Mtakuwa Mmechoka Sana.
 
Hivi wana Simba wenzangu haya mambo ya kijinga jinga huwa tunayapendea nini?? Timu haifanyi vizuri uwanjani, mashabiki tumejaa huzuni tupu kwa matokeo yasiyoridhisha, halafu mashabiki wajinga wajinga wanakuja na vi takwimu uchwara ili kutufariji..
 
Hivi wana Simba wenzangu haya mambo ya kijinga jinga huwa tunayapendea nini?? Timu haifanyi vizuri uwanjani, mashabiki tumejaa huzuni tupu kwa matokeo yasiyoridhisha, halafu mashabiki wajinga wajinga wanakuja na vi takwimu uchwara ili kutufariji..
kwa malalamiko maoni na ushauri wasiliana na hawa jamaa IFFHS
 
Nakumbuka kuna uzi ulisema maisha yanakupa stress sana mpaka unapata vidonda vya tumbo. vp unaendeleaje?!
bila shaka kumbukumbu zako ndizo zina vidonda vya tumbo usinitoe nje ya mada umeonaje list? unahisi hawa jamaa wamedanganya au kuna team inaonewa hapo? au list ya uongo?
 
Hii orodha mbona kama ya kitambo sana?...au wali-update taarifa?
 
Hii orodha mbona kama ya kitambo sana?...au wali-update taarifa?
website nimeweka screenshot nimeweka bado unasema ya zamani ile ya mwaka jana simba ilikuwa ya 315 na ligi ilikuwa ya 8 afrika ...kwa sasa simba ya 98 ligi ni ya 9....tembelea hapa IFFHS ..taarifa hii ni ya 23/01/2022 unless ndani ya hizi siku 6 walitoa list nyingine
Screen Shot 2022-01-30 at 3.37.42 PM.png
 
Back
Top Bottom