IFFHS: Simba ya 361 Duniani, Ligi ya Tanzania ya 8 kwa ubora Afrika
Wewe chawa wa Barbra umezidi upotoshaji kwa wasiokujua, nadhani unalipwa kwa kuleta Propaganda humu jf ili kutupoteza mashabiki halisi wa Simba tusihoji ubovu wa timu yetu..
kwa malalamiko maoni na ushauri kuhusu chawa wa Barbra kuleta propaganda wasiliana nasi hapa makao makuu Zurich Switzerland kwa tovuti hii IFFHS
 
Hivi wana Simba wenzangu haya mambo ya kijinga jinga huwa tunayapendea nini?? Timu haifanyi vizuri uwanjani, mashabiki tumejaa huzuni tupu kwa matokeo yasiyoridhisha, halafu mashabiki wajinga wajinga wanakuja na vi takwimu uchwara ili kutufariji..
Kweli kabisa ni Sawa na serikali kutuambia tupo uchumi wa kati ilhali raia wengi tumepigika vibaya.
 
Inatusaidia nini sisi hapo ukweli ni kwamba timu yetu ni mbovu tunafungwa Hadi wastaafu wakina Hamis Kiiza na Paul Nonga tujitafakari acha propaganda Mpira unachezwa hadharani wenzetu Yanga Wana timu nzuri huo ndio ukweli hata Kama ukweli unauma
 
Inatusaidia nini sisi hapo ukweli ni kwamba timu yetu ni mbovu tunafungwa Hadi wastaafu wakina Hamis Kiiza na Paul Nonga tujitafakari acha propaganda Mpira unachezwa hadharani wenzetu Yanga Wana timu nzuri huo ndio ukweli hata Kama ukweli unauma
kwa malalamiko kuhusu list hiyo kutokuwa na msaada KWA TEAM MBOVU tafadhali wasiliana na si kupitia tovuti yako uache namba yako ya simu na barua pepe kwa msaada wa haraka ..ASANTE KWA KUFATILIA TAASISI BORA YA TAKWIMU ZA SOKA DUNIANI
malalamiko .png
 
Ishu Ya Prisons Kuwatia Ni Suala Ambalo Liko Wazi Kama K Ya Mbuzi [emoji23]... Tunasubiri Muda Tu Ufike [emoji1787]
Asante kwa kuwasiliana nasi Tutawafatilia Tanzania prisons kama wana vigezo vya kuwa kwenye top 100 ya klabu bora duniani, kwa maoni malalamiko mengineyo ikiwepo kijiba cha roho na ushauri wasiliana nasi
malalamiko .png
 
kwa malalamiko maoni na ushauri kuhusu chawa wa Barbra kuleta propaganda wasiliana nasi hapa makao makuu Zurich Switzerland kwa tovuti hii IFFHS
Tunachojua sisi ni kuwa Simba tumeshika namba 104 Africa na link hii hapa chini nimekuwekea
Acha kupotosha we chawa wa Barbra usituhamishe kwenye mjadala wa ubovu wa kikosi chetu
Screenshot_20220130-162142_Chrome.jpg
 
Tunachojua sisi ni kuwa Simba tumeshika namba 104 Africa na link hii hapa chini nimekuwekea
Acha kupotosha we chawa wa Barbra usituhamishe kwenye mjadala wa ubovu wa kikosi chetuView attachment 2101507
KWA HESHIMA NA TAADHIMA KWAKO LOPOLOPO LENYE UKOSEFU WA MELANIN KWENYE NGOZI ILIYOPAUKA KAMA NDALAKYUA NAOMBA USOME UZI HUU UTAKUSAIDIA KUONDOA MASHUDU KICHWANI KWAKO:
**SIKU NYINGINE USITULETEE VI WEBSITE VINAVYTUMIA ELO RATING SYTEM ... KU RANK TEAM..SHAME ON YOU

 
Back
Top Bottom