gabby jacoby
Member
- Dec 12, 2018
- 45
- 154
kakosa kazi huyuUzi wa 3 huu sasa kuhusu IFFHS!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kakosa kazi huyuUzi wa 3 huu sasa kuhusu IFFHS!!
wako wengi sana mtu unaleta data za respectable and recognisable insitute kuhusu soccer halafu katika kubishana linatokea jinga na data za footballdatabase.com amboa hata kwenye website yao wanakuambia wanatumia Elo rating system....jitu linakakamaa mishipa na kusema simba ni ya 104 africa, jitu linaona data kwamba siko iko juu linauliza mbona hamuongozi ligi HAO SIYO WAJINGA?Aombe Radhi. JF ni home of great thinkers. Hakuna wajinga wa JF.
HUU UZI KAMA UNAJUA KUSOMA UNGEUSOMA USINGETHUBUTU KULETA HUU UJINGA WAKO KAMA SIMBA NI YA 104 UTOPOLO HAPA SI ITASOMA YA 3400?We chawa wa Barbra ilo bando walilokuungia leo uje umwage Propaganda zako humu jukwaani halijaisha tu??
Tunachojua Simba ni ya 104 Africa kwa takwimu za hivi karibuni kabisa 23 Jan 2022. Link hii hapa chini Africa Football / Soccer Clubs Ranking - FootballDatabase
View attachment 2101537
TULIENI NYIE WATOTO WADOGO NYIE NDO KUTWA KUBISHANA NA FORBES MAGAZINE LIKISEMA MO NI TAJIRI mnaleta viwebsite eti footballdatabase inayotumia elo rating? sasa kama simba ni ya 104 africa utopolo ya ngapi Mungu wangu?Umbumbumbu tu
Chawa acha janja janja kwa bando lakuungiwa na Barbra izo Propaganda haziwezi kukusaidia popote.. Tunachojua ni kuwa Simba ni ya 104 na link hii apo nimekuwekeaHUU UZI KAMA UNAJUA KUSOMA UNGEUSOMA USINGETHUBUTU KULETA HUU UJINGA WAKO KAMA SIMBA NI YA 104 UTOPOLO HAPA SI ITASOMA YA 3400?
mimi leo nikifungua website NIKAAITA WWW.UTOPOLORICHMEN.NET nikasema lopolopo lenye upungufu wa melanini kwenye ngozi yake na akili yake liko top ten ya utajiri afrika utaamini? hopeless wewe ndiyo maana wanaminika Forbes tu SITACHOKA KUFUNDISHA WAJINGA KAMA NYIE MAAANA NI MZIGO KWA TAIFA
**unajua kusoma kiingereza lakini? unachezaga games ? unajua lolote kuhusu ELo rating system? unajua ni AI? unajua maana ya Artificial inteligence?
Unajua IFHSS tangua 1984 wanafanya reseach zao manually? unajua internet hadi mwaka huo ilikuwa haipo except jeshi la USA waliokuwa wanaitumia tangu 1961?
Unajua ni kwanini FIFA wanatambua reseach za IFHSS ambao wako nao jirani tu hapo Zurich Uswis? nikuuuliza ofisi za hao football database utaniambia ziko wapi ? au ni mtu mmoja anatumia Elo rating system inaji rate yenyewe? GROW UP WEWE
View attachment 2101541
Kama hizo ranking ni muhimu sana basi zingezuia kichapo mlichopata toka kwa Mbeya city na Kagera sugarTULIENI NYIE WATOTO WADOGO NYIE NDO KUTWA KUBISHANA NA FORBES MAGAZINE LIKISEMA MO NI TAJIRI mnaleta viwebsite eti footballdatabase inayotumia elo rating? sasa kama simba ni ya 104 africa utopolo ya ngapi Mungu wangu?
sikuwahi kujua kama Ranking zinazuia kichapo ? kumbe zina faida sana kwa wasioonekana hapo?Kama hizo ranking ni muhimu sana basi zingezuia kichapo mlichopata toka kwa Mbeya city na Kagera sugar
Mechi 3 mfululizo bila hata goli moya la kufungasikuwahi kujua kama Ranking zinazuia kichapo ? kumbe zina faida sana kwa wasioonekana hapo?
Ajax ni team ya congo brazaville hao wataalamu wako AI yao ya ELO rating system inawaambia ni ya Congo drc na bendera wakaweka kabisa...HOPELESSChawa acha janja janja kwa bando lakuungiwa na Barbra izo Propaganda haziwezi kukusaidia popote.. Tunachojua ni kuwa Simba ni ya 104 na link hii apo nimekuwekea
View attachment 2101546Africa Football / Soccer Clubs Ranking - FootballDatabase
Al Ahly from Egypt is the continent's best football / soccer team in Africa today. The second place is occupied by Mamelodi Sundowns FC (South Africa). Esperance de Tunis (Tunisia) is third, while Pyramids FC from Egypt and FAR Rabat from Morocco complete the Top 5 from the continental best...footballdatabase.com
inahusiana nini na ranking?Mechi 3 mfululizo bila hata goli moya la kufunga
Mechi 3 mfululizo point moya au ndo kuenzi nguvu moyainahusiana nini na ranking?
huu uzi umekufundisha lolote kuhusu manguli wa huko Uswisi jiji la Zurich wanavyofanya tafiti kuhusu soccer teams? au unaishi kwenye utopia?Mechi 3 mfululizo point moya au ndo kuenzi nguvu moya
Tajiri wenu ana twiti uko, katika mechi 3 mmeambulia point 1 kwa shida sanahuu uzi umekufundisha lolote kuhusu manguli wa huko Uswisi jiji la Zurich wanavyofanya tafiti kuhusu soccer teams? au unaishi kwenye utopia?
Boss Mo naona anazidi kuongea kichinaTajiri wenu ana twiti uko, katika mechi 3 mmeambulia point 1 kwa shida sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. huu uwanja mbona kama vile umepinda? Au mimi ndio niko bwaksi
Nadhani Mkandarasi ni Barbara![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. huu uwanja mbona kama vile umepinda? Au mimi ndio niko bwaksi