kama hujaona li team lako peleka malalamiko The International Federation of Football History and Statistics (IFFHS)

View attachment 2101163
HUU NI UONGO WA ASUBUHI NA MCHANA KWEUPE, YAANI SIMBA IWE YA 98 KWA UBORA DUNIANI HAKUNA KITU KAMA ICHO, YAAANI UKICHUKUA TIMU ZOTE 20 ZA LIGI KUU UINGEREZA + TIMU ZOTE 20 LIGI KUU HISPAIN + TIMU ZOTE 20 LIGI KUU UJERUMANI + TIMU ZOTE LUKI KUU UFARANSA 20 + TIMU ZOTE 20 LIGI KUU ITALY IZO NCHI TU = 100 YAANI SIMBA NAE DUNIANI YUPO UMO, NOOOOOO NOOOOOO NOOOOOO NOOOOOO NOOOOOO NOOOOOO NOOOOOOO
 
Wana Simba wote tunajua timu yetu ni mbovu na ni ya 104 kwa Afrika takwimu za jan 23 2022, acha uwongo we chawa wa Barbara link iyo hapo nimekuwekea Africa Football / Soccer Clubs Ranking - FootballDatabase
 
Hako kajaa ni ka chawa ka bodi ya Simba, huwa wanakauingia bando kaje na Mada zake zenye lengo la kupotosha ukweli hasahasa pale Simba inapofanya vibaya uwanjani, kasikuumize sana kichwa na vitakwimu uchwara vyake, niko napo bampa tu bampa paka katapoishiwa bando lake
 
Fact
 
Timu kuwa kwenye list hii wakati bado inafungwa na timu average kama Kagera sugar haitusaidii.!
aliyepo namba moja mwenyewe anafungwa na timu za kawaida huko kwao, in short hamna team isiyofungwa duniani.. wanacho angalia ni unafika wapi na kufungwa au kushinda kwako.
 
Usilazimishe mambo bwanshee.
 
Kuna mdau katoa ushauri km una malalamiko hukubaliani na hiyo taarifa au pengine timu yako huioni basi upeleke malalamiko kwa hao IFFHS waliotoa hizi takwimu.
 
Inatusaidia nini sisi hapo ukweli ni kwamba timu yetu ni mbovu tunafungwa Hadi wastaafu wakina Hamis Kiiza na Paul Nonga tujitafakari acha propaganda Mpira unachezwa hadharani wenzetu Yanga Wana timu nzuri huo ndio ukweli hata Kama ukweli unauma
Kaanzishe uzi wa Yanga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakwama wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…