tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #21
Halafu hawa watu wa mabasi sijui wanatuonaje......wanapenda sana kutuchezea video za bongo flava zenye maudhui ya ngono na ukahaba. Yaani mtu huwezi hata kusafiri na mtoto wako kwenye basi moja kisa nyimbo na video za ngono, bangi, ushoga, usagaji na mambo mwengine ya ovyo. Inauma sana.Ila kwa kweli, wenye mabasi wangepewa muongozo wa aina ya vitu vya kuonyesha..tuna vivutio vya utalii kibao..tungeonyesha hivyo vitu kuliko kuonyeshana matusi. Ukisafiri na wakwe, wazazi au watoto inabidi mjifanye mmelala msisikie na kutazama yanayoendelea.