Ifike hatua, wanawake muwe na huruma dhidi yetu wanaume

Ndio maana mirembe idadi kubwa ni wanaume. Unalishwa limbwata na mke na michepuko. Bado kazini wakuloge na huku mizimu ya kwenu nayo inakuandama.
Image kidume ana michepuko minne kila mmoja akipuliza 🀨😁😁😁
 
Tulogwe, tuwafkshe kilelen, tuwahonge....wanaume tunaptia meng sana
 
Wachana na hiyo habari buana
Raha ya mume akupende akiwa na akili zake
Ukianza hii shughuli unakua kama unaishi na robot ndaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Baba D kapata mke hasa hongera zake, muwe mnawaonea hata watoto huruma maana madhara ni mpaka kwenye familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…