Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua hio tena ya kibatari hio ni noma sana hata kama unauguza popote ulipo unawasha gari usiku huo huo, hatari sana huo mlipu ni noma sanaMuda mchache uliopita nimesikia mambo ambayo yamenistaajabisha sana. Nilienda salun kwa ajili ya kunyoa, kwavile palikuwa na foleni, nikawa nimekaa kwenye benchi nje, nachezea simu huku nasubiria zamu yangu ifike. Pale pembeni palikuwa na salun ya kike, yaliyokuwa yanazungumzwa humo ndio yaliniacha mdomo wazi.
Walikuwa wanapiga story za waganga na kuelekezana dawa.
Maongezi yao sasa "Shoga wala sio ngumu, ww unajifukiza dawa huku unanuiza tu, tena hakikisha unapata mlipu, huo mlipu ndio kiboko, unamlipua mlengwa wako popote alipo,chochote utakachoomba, lazima akutimizie"
Walitaja na dawa zingine kama 3 au 4 hivi, ambazo sikuzisikia vizuri.
Kiuhalisia, wanaume wengi hatuna Kinga yoyote, kwa Mungu hatupo, kwa waganga hatupo, hizi dawa kama zinafanyakazi kweli siwatatupa ukichaa? Imagine mabinti watatu kila mmoja aamue kukulipua??
Dah, kumbe ndio wamedhamiria kiasi hiki??
Wabaki na wake zao mazaa...watulie. Wangetulia haya yote wangeyapata wapi? Wengne wakaoa na kuoa..jua likazama wakarudi mikono mitupu kwa wake zao. Bahati wake wana hekima na huruma wakawasamehe. Pesa wanazozipata zinawazuzua wanatamani kuonja...too bad wanaangukia kwa mlipu..wanalipuliwa. wanadhani ni sifa kumbe..wanafukuza upepo.Punguzeni idadi ya wanawake mtalipuliwa mfeeee
🤣🤣🤣🤣🤣
Unatumia wewe hapo sio hao wanawake aminiNdyo maana mm sina huruma na mwanamke wakati wa Sex
Viksi lotion putululu lazima viusike hapo na tigo kwa mbali
Unataka kunifanyaje baby?
Hayo yote hatufanyi kwa matakwa yetu, tunakuwa tumelipuliwa. Mtuombee sanaWabaki na wake zao mazaa...watulie. Wangetulia haya yote wangeyapata wapi? Wengne wakaoa na kuoa..jua likazama wakarudi mikono mitupu kwa wake zao. Bahati wake wana hekima na huruma wakawasamehe. Pesa wanazozipata zinawazuzua wanatamani kuonja...too bad wanaangukia kwa mlipu..wanalipuliwa. wanadhani ni sifa kumbe..wanafukuza upepo.
Mwisho wa siku mtoto akimpa hela mama yake wanalalamika wanadharauliwa kumbe enzi za ujana na nguvu waliwekeza kwa kina mlipu...solution wabaki na wake zao..kila mtu yu na tamaa..na uzinzi unaondoa ufahamu na akili. Watakuwa watumwa wa ngono mpaka lini. Ngono kila siku ina mambo mapya. Hutamaliza starehe zote dunia hii.
Fanya starehe uchoke..ukishaingia kwenye ndoa tulia. Hawaelewi wanaona wanapangiwa maisha wanataka uhuru. Wataacha kulipuliwa....sad...
Nyie wenyewe hamjihurumii. Hivyo acha tu mlipuliwe.Tuonee huruma aisee😔😔😔😔
Tulia nikulipue.Unataka kunifanyaje baby?
Tulieni tuwalipue tu.Mmh mambo ni mob sana. Tunalipuliwa, maamuzi tunayofanya sio halisi
Hatuna muda wa kuwaombea mkuu. Ni kuwalipua tu.Tunahitaji huruma yenu kwenye ili, pia mtuombee sana, sio kutulipua