Ifike hatua, wanawake muwe na huruma dhidi yetu wanaume

Ndiomana wengine unakuta yupo kama taahira kumbe keshalipuliwa huko!
Sometime akili sio zetu. Watu kibao wanaomba hadi misamaha kwa makosa yasiyo yao. Wengine wanasomesha kabisa πŸ˜…
 
Sasa wanawake badala wautumie kulinda nyumba zao, wanatulipua sisi
 
unaacha kuogopa magonjwa ka hao mabinti watatu unaogopa kurogeka hii ni nchi yangu kwakweli
Magonjwa niyaogope vipi mkuu? Nilidhani yafaa kujikinga dhidi ya magonjwa, na sio kuyaogopa.
 
hayo umeyaskia machache huku uswahili utawao ea huruma me wanavyoinamishwa nimwendo wa shuntama tu[emoji28][emoji28]
 
Inabidi tu muanze kumtafuta Mungu aisee. Ukute na mama yako mzazi alishatangulia mbele za haki na hauna wa kukuombea! Hatari fire!
Hapa kwa mama kukuombea naunga mkono my mom mtu wa maombi na mara zote hua ananiombea. Kuna mambo hua nakutana nayo afu nachomoka hadi hua najiuliza imewezakanaje? Nabaki kumshukuru Mungu kwa kudra zake! Nani kama mama??
 
Wewe huna tofauti na hao wanawake,,
 
Ndio muache kuranda randa mtylue na wake zenu au mwenzi mmoja


Imagine una wanawake 5 wote wakulipue si utapata kichaa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…