Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Japo kapunguza punguza miaka ila hii yako sijui umeitoa wapi

View attachment 2756471
Huo mwaka mamaake ndo anaachika katika ndoa yake ya 2 huko Zanzibar na anakuja RASMI Dar es Salam na bwana ake ambaye ndo babaake ZUCHU akitimka huko Zanzibaa kuja kujiunga na TOT
Zuchu kazaliwa baada kutoka Dubai alikokuwa akiimba muzik kipindi ambacho alikaa muda bila band
so hajafikisha miaka 29 kama ilivyoelezwa hapo.

Hata kama ajazaliwa 2000 basi itakuwa kati 1998 au 1999 na ndo mtoto pekee aliye mzaa NJE ya NDOA na watoto zake wote amewazaa katika NDOA kwa wawili baba mmoja na mmoja OMARY(marehemu) kwa mume wake wa kwanza. Ila cha kusikitisha ni kuwa WANAUME WOTE WALOWAHI KUMUOA KWA NDOA KHADIJA wamekwishafariki wote.

Hiyo miaka nimeitoa sababu Ninamjua KHADIJA miaka yote alipokuwa anaishi MWANANYAMALA na watoto wake wote ninawafahamu vizuri pamoja na ZUHURA tangu akiwa mdogo kabisa lakini maisha yake mengi ameishi NZANZIBAR na babaake.
 
Zuchu ana miaka 30+ acha maneno mengi,
Kwenye suala la miaka wabongo mnakuaga very sensitive wakati kuzeeka ni lazima, lol

Pia nenda kaangalie interview ya Salama na Zuchu.
 
Hii chai
 
Hahahaaa basi inatosha ,Kivumbi leo 😀 😀 😀 ,kula chuma hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…