Wanataka kuwa children 🤣🤣Watu hawataki kuitwa age go....[emoji23]
SAWA mlevi tumekusoma, unapenda nyimbo zawajanja wenzako kina lil Wayne 🏃Aminaaa
Amina sijui kafanyaje
Kuna nyimbo nasikiliza nikiwa bar tu.
we nazuchu nani mdogo?Watu hawataki kuitwa age go....[emoji23]
Wewe nazuchu nani mdogo🤣Wanataka kuwa children 🤣🤣
Huyo zuhura bibika age go ni vile kakaukiana km kuni za nyongeza 🤣
Zina wenyeweZuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.
Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.
Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Wote watatu pamoja na wewe machildren 🤣🤣Wewe nazuchu nani mdogo🤣
Sasa unamuitaje Zuchu mkubwa wakati wewe ndio mkubwa?🧎Wote watatu pamoja na wewe machildren 🤣🤣
Usinambie una kadi langu la clinic bwana Penseli 🤣🤣🤣Sasa unamuitaje Zuchu mkubwa wakati wewe ndio mkubwa?🧎
Unajichekesha nini Sasa wivu kwazuchu unakusumbua.Usinambie una kadi langu la clinic bwana Penseli 🤣🤣🤣
Sawa mama sikubishii leba si uliingia wewe, mimi nani nipinge 🤣🤣unajichekesha nini Sasa wivu kwazuchu unakusumbua.
Zuchu hata miaka 26 nazani hana.
wewe Sasa ukute unasoma 30+
wewe nazuchu nani mkubwa?😁😁Sawa mama sikubishii leba si uliingia wewe, mimi nani nipinge 🤣🤣
Wewe si ndo mwenye kadi langu la clinic unaniuliza me tena? 🤣🤣wewe nazuchu nani mkubwa?😁😁
Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.
Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.
Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Sasa hapo Gongo la mboto imeingiaje mkuu?Mashabiki wake wa Mbagala, Manzese, Gongo la mboto, Mwananyamala n.k. si ndiyo nyimbo wanazozipenda hizo.
kwaheri shangazi.Wewe si ndo mwenye kadi langu la clinic unaniuliza me tena? 🤣🤣
Kwa kukusaidia kwetu kulikua na kumbi ya starehe, bar na gesti maeneo flani (sitayataja) na hiyo band ya TOT taarabu ilikuwa inakuja kupiga pale kila jmos na huyo zuhura tulikuwa tunacheza naye pindi maza ake Hadija akiwa anatumbuiza nyimbo zake za Y2K
Karibu tena 🤣kwaheri shangazi.
SAWA ila Zuchu umemzidi umri tuu.Karibu tena 🤣
Unapenda ligi? Tufanye me ndo hadija kopa, hapo vipi? Au bi kidude kabisaSAWA ila Zuchu umemzidi umri tuu.
🤣🤣🤣kwahio zuhura ni dadako?Unapenda ligi? Tufanye me ndo hadija kopa, hapo vipi? Au bi kidude kabisa
Ila zuhura ana 33 mwisho