Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.

Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.

Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.
Zina wenyewe
 
wewe nazuchu nani mkubwa?😁😁
Wewe si ndo mwenye kadi langu la clinic unaniuliza me tena? 🤣🤣

Kwa kukusaidia kwetu kulikua na kumbi ya starehe, bar na gesti maeneo flani (sitayataja) na hiyo band ya TOT taarabu ilikuwa inakuja kupiga pale kila jmos na huyo zuhura tulikuwa tunacheza naye pindi maza ake Hadija akiwa anatumbuiza nyimbo zake za Y2K
 
Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey,mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu.

Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi.

Kifupi Zuchu aache kuimba nyimbo zenye utoto utoto kinyume na hapo asahau kuwa msanii mkubwa wa kimataifa.



Kuna wewe unachoamini, halafu kuna vingine ambavyo wengine wanaamini.
 
Wewe si ndo mwenye kadi langu la clinic unaniuliza me tena? 🤣🤣

Kwa kukusaidia kwetu kulikua na kumbi ya starehe, bar na gesti maeneo flani (sitayataja) na hiyo band ya TOT taarabu ilikuwa inakuja kupiga pale kila jmos na huyo zuhura tulikuwa tunacheza naye pindi maza ake Hadija akiwa anatumbuiza nyimbo zake za Y2K
kwaheri shangazi.
 
Back
Top Bottom