#COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

#COVID19 Ifike mahali Askofu Gwajima na wengine wa jinsi yake wadhibitiwe kiserikali na kichama kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Kudhibitiana unakokutaka wewe ni dalili nzuri za kuua demokrasia na uhuru wa kutoa maoni; ni kutaka kuisukuma nchi yetu kuelekea kwenye udikiteta. Kama tunataka kuijenga demokrasia yetu ambayo ni changa, ni lazima tujifunze kuvumiliana, kuheshimu mawazo kinzani, kujadiliana kwa hoja (bila kutumia mabavu), na kueleweshana badala ya kufungana midomo.

Acha unafiki, ccm sasa hivi haiwezi ushindani wa hoja. Kika siku unashabikia wapinzani kunyimwa haki ya kuongea, ajabu leo unamtetea Gwajima aongee.
 
Mi nadhani tuanze na wewe kwanza,ambaye huwazi chochote Wala ku reason vizuri Mambo! tuambie ile chanjo inayotolewa ni ya nini,!? Ikiwa
1.ukichanjwa bado unaambiwa usiache kuchukua tahadhari za kujikinga

2.ukichanjwa unaweza pia kuambukiza Kama hutachukua tahadhari za kujikinga na maambukizi
Akikujibu unitag
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Niambie tu ni kosa gani kwenye aspect za criminal amefanya ? na Kama hajafanya kosa katiba imasemaje kwa habari ya freedom of expression and opinion?
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Naunga mkono hoja
P
 
Wasomi wa nchi hii bure kabisa!

Acheni watu wawe huru kusema mradi hawavunji sheria.

Wewe bado primitive kabisa licha ya kujiita/kuwa Mwanasheria.

Akili hizi za kijamii ndio zinafanya watu wenye fikra na mitazamo tofauti na serikali au watawala watekwe, wauwawe, wabambikiziwe makesi, n.k.

Serikali ni kikundi cha watu ambacho kinaweza kuwa sahihi au laa juu ya jambo fulani, hivyo usitake wote tuwaze kama wao.

Usisahau ni hawa hawa walikuwa sehemu ya serikali ya Magufuli iliyopinga chanjo ile leo wamegeuka.

Tumia akili yako kutafuta msimamo sahihi kuhusu hili jambo na usiwe bendera fuata upepo.
Mkuu watz ni watu hatari sana kwani enzi za uhai wake jpm kila mmoja alikua ndiooooo sasa kaondoka baasi wamegeuka wakati baadhi yao walikuwa mawaziri miswada walikua wakiiunga mkono na kupiga meza leo wamesahau hawa watu ni nyoka
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Pia haitoshi kusema kuwa msimamo wa Tz ni ni kuwa sio lazima watu kupigwa chanjo sasa Kama sio lzm kwajima anashida gani akiwaambia watu ambao hawajui waifuate hiyo ambayo sio lzm?
 
Mkuu watz ni watu hatari sana kwani enzi za uhai wake jpm kila mmoja alikua ndiooooo sasa kaondoka baasi wamegeuka wakati baadhi yao walikuwa mawaziri miswada walikua wakiiunga mkono na kupiga meza leo wamesahau hawa watu ni nyoka
Wanafiki sana hawa watu!
 
Wanaohoji maswali kuhusu chanjo ya covid wasipuuzwe ,Wana maswali ya msingi Sana,anayehoji anataka ajiridhishe kuhusu usalama wa afya yake.kilichofanyika ni kitu Cha ajabu Sana, unaambiwa chanjo imekuja na ni hiari!!!! hakuna elimu yeyote,hakuna kutoa majibu ya maswali ya wachanjwaji,ukihoji unaambiwa unapotosha!! stupid!!!

Kilichofanyika ni sawa na mtu alete sumu aina ya venom halafu aichanganye na maziwa flesh then awaambie watu hii ni chanjo ya homa ya mapafu, na ni hiari hutaki acha,unataka kunywa!!! No maswari!,anasambaza mzigo mahospitalini ,halafu anasepa,anakaa mbaliiii na kuwachola mnavyohangaika kufanya maamuzi ya niende au nisiende !!!
 
Acha unafiki, ccm sasa hivi haiwezi ushindani wa hoja. Kika siku unashabikia wapinzani kunyimwa haki ya kuongea, ajabu leo unamtetea Gwajima aongee.
Mimi napinga fujo, sipingi haki na uhuru wa kuongea. Fujo na uhuru wa kutoa/ kutoa maoni ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mfano: Mimi sipingi tindo, Mmawia & co, kutoa maoni yenu, ila napinga matusi mnayorusha hapa jukwaani.
 
Ingekuwa chanjo imetengenezwa na serikali na kufuata taratibu zote za kuhakikisha ni salama, hapo tungeamini! Lakini kwa Sasa serikali imekuwa kama dalali wa chanjo ambayo usalama wake wa muda mrefu haujurikani!
Kuchanja chanjo majaribio hii ni kuweka maisha na utu wako rehani!
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki.Serikali iheshimiwe
 
Ingekuwa chanjo imetengenezwa na serikali na kufuata taratibu zote za kuhakikisha ni salama, hapo tungeamini! Lakini kwa Sasa serikali imekuwa kama dalali wa chanjo ambayo usalama wake wa muda mrefu haujurikani!
Kuchanja chanjo majaribio hii ni kuweka maisha na utu wako rehani!
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki.Serikali iheshimiwe
 
Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.
Huyu hapa anajitambulisha kwamba yeye ni mwanasheria, kwa hiyo anazitambua vyema sheria zinazosimamia nchi hii!

Halafu anaweka mabandiko ya namna hii ili kukidhi mahitaji ya tumbo lake tu!
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Na usidhani napinga watu wasipate chanjo, kwa sababu najuwa vizuri sana faida zake. Mimi nimechanjwa tayari.
Hapa nakupinga sana kwa msimamo na hatua unazopendekeza serikali wazichukue dhidi ya hao wanaotoa mawazo yao au kukataa hatua zinazochukuliwa na serikali.
 
Gwajima anaongoza kanisa kwa kutumia mashetani,wiki iliyopita yalipanda mbele ya waumini
 
Acha kuingilia uhuru wa watu, hayo ni maono aliyopewa na Mungu kuhusu wafuasi wake, Mungu anaongea na Kanisa lake huko ufufuo na uzima, sasa wewe huku nje yanakufikaje hadi unapata ujasiri wa kujadili mambo ya Mungu na Kanisa lake?, huu sio umbea kweli kwa kuuleta huku
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
No wonder wanafunzi mnaozalisha huko vyuoni wanatoka na vyeti tu.
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Jibu hoja za Gwajima wala usilete hadithi za kizee hapa!! Chanjo imethibitika kutokumkinga mtu na maambukizi mapya, haimkingi asiambjkizwe hata hoja kuwa itamlinda asiugue kiasi cha kulazwa imethibitika si kweli!! Data za leo toka CDC Marekani ni kuwa asilimia 75 ya waliochanjwa wanaambukizwa, na asilimia 80 ya wagonjwa wa corona waliolazwa walikuwa wamepata chanjo kamili.
 
Serikali yetu imekata shauri la kuleta na kutoa chanjo ya UVIKO kwa watanzania/wananchi wake. Imeweka wazi kabisa kuwa chanjo ipo na ni ya HIARI. Yaani, mtanzania atakayeridhia kuchanjwa atachanjwa.

Msimamo wa Serikali ni msimamo wetu watanzania. Serikali ni yetu na inatupasa kuiheshimu na kufuata uamuzi wake hasa ule ambao unagusa masuala ya afya na umetanguliwa na masuala ya kitaalamu.

Haipendezi na wala si jambo la kufurahiwa kuona mwananchi au kiongozi wa kiserikali, kisiasa au kidini akijitokeza hadharani kupinga na kukejeli chanjo ya UVIKO kama afanyavyo Askofu Gwajima. Askofu Gwajima ni kiongozi wa kidini na kisiasa.

Kuendelea kukosoa chanjo ya UVIKO hadharani kwa Askofu Gwajima ni kuonyesha jinsi anavyoikosoa hadharani Serikali na hata msimamo wa chama chake cha Mapinduzi kinachounda serikali husika. Lazima adhibitiwe kiserikali na kichama.

Kama kuna yeyote wa kupinga chanjo, afanye hivyo kwa kufaidi haki yake ya HIARI ya chanjo husika. Hakuna maana wala faida kujipambanua kwa umma na kuleta suitafahamu isiyo na mantiki. Serikali iheshimiwe!
Sisi kama chama tunamalengo yetu yaani. Gwajima anaelewa anachofanya
 
Back
Top Bottom