Ifike mahali Watanzania tuache kukubali hadaa na uzushi unaotolewa na akina Evarist Chahali na Kigogo

Halafu bado mleta mada anataka tumuone ana akili Sana. Huko serikarini si ndo kuna mkubwa aliyesema Magufuli ni Mzima wa Afya yuko ofisini?
 
Kinachofanya watu wazushe ni serikali kuficha taarifa... Mfano wakati rais anaumwa unasema rais anaumwa tunaomba privacy...

Sasa kusema rais anapiga kazi na haonekani sio sawa.

Equally saga ya VP Mpango eti kapotea mwezi haonekani ni mwendelezo wa kuficha taarifa
 
namuamini Mabeyo ni mtumishi na hana makando kando.
Kwahiyo na sisi sote tumuamini! Huyo ni sehemu ya utawala ni lazima aende sambamba na utawala.
Mimi sjaelewa na sitaelewa kwanini hali ya rais ilipokuwa tete viongozi wakuu hawakuwepo hospitalini! Rais alikuwa Tanga huku waziri mkuu alikuwa Tunduma msikitini akitoa taarifa kuwa yuko ofisini anachapa kazi!
 
Una umri Gani?
 
mkuu endelea kuwaamini kina Chaali na Kigogo.
 
Nadhani classified information hudumu kuanzia miaka 10 na baadhi miaka 30 ndipo zinaweza kuwa- disclassfied.
 
Zamani niko mtoto kama wewe nilidhani viongozi wa dini hawawezi kusema uongo, kumbe dah!! uongo inabidi usemwe ili waishi.
 
Kwa kuwa kasema unaamini kuwa kila alichosema ni kweli. Kuna mengine hajayasema.

Mpaka sasa haiingii akilini kwa mkewe kutokuwepo hospital siku nzima.
 

Kwa hiyo hata mkewe hakuwa wanaruhusiwa kumuona!?
 
Kigogo na Chahali waliona mapema hicho kifo na kutoa taarifa

Mabeyo hata body language yake inamshtaki kana kweli Mwendazake alikufa siku hiyo
 
Wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuficha ujinga. Kama una akili timamu na kama umemuelewa mabeyo ni dhahiri kuwa kuna kundi la watu walikuwa hawataki mama achukue kijiti na anasema ndio maana walichelewa kwa siku mbili kumuapisha. Hata kina kigogo walisema hivyo hivyo kama mabeyo alivyosema. Tatizo lako unaendeshwa kwa mihemko
 
U mean kuna baadhi zinaweza Expire ila kwa kikomo fulani so kila mtu ataona hizo taarifa ama kuzisikia
Yeah..
Ulisikia mwaka 2035 mpaka 2050 walisoma Baadhi ya Siri za Tanganyika kipindi cha nyerere zitakuwa eXpired na zitakuwa Disclassfied?
Ipo.siku Siri zitavuja mkuu
 
Dunia ipo ili izunguke na watu tuishi. Jamii haijawahi kuishiwa watu wa kaliba hio hatuwezi fanana wote si lazima wote tufanane na pia hawadhuru.
 
WaTanzania tuamke.
Haya mambo ya kuwaongelea waliotangulia na wenye makelele! Yanasaidiaje kupatikana kwa ubora wa maisha ya waTanzania Hali ngumu maji, umeme, barabara, Huduma afya, shule nk.

Hizo stories za Mkuu Nani Sasa asiyeelewa alienda? Tusirejeshane kweusi, hata Mkapa alienda jameni.
Nasi tutaenda siku ikija.

Mfungo mwema.
 
Mama yake magufuli alipata stroke kumbukumbu zikapotea zote hata magufuli anafariki alikua hajapona bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…