Halafu bado mleta mada anataka tumuone ana akili Sana. Huko serikarini si ndo kuna mkubwa aliyesema Magufuli ni Mzima wa Afya yuko ofisini?Mkuu ulitaka Generali wa Jeshi la JMT..Aende kinyume na Rais wa JMT ili kitokee nini?
Ulitaka atamka Tarehe tofauti na iliyokubalika na Serkali ili watanzania Wakose imani na Serkali? Halafu kitokee kitu gani?
Kuna Vitu huwa viko Ndani ya Kiapo mpaka unakufa na kama ni Dhambi bhasi utakufanya nayo Ilu kulinda Maslahi ya Serkali iliyopo madarakani
Kwahiyo na sisi sote tumuamini! Huyo ni sehemu ya utawala ni lazima aende sambamba na utawala.namuamini Mabeyo ni mtumishi na hana makando kando.
Una umri Gani?Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
mkuu endelea kuwaamini kina Chaali na Kigogo.Kwahiyo na sisi sote tumuamini! Huyo ni sehemu ya utawala ni lazima aende sambamba na utawala.
Mimi sjaelewa na sitaelewa kwanini hali ya rais ilipokuwa tete viongozi wakuu hawakuwepo hospitalini! Rais alikuwa Tanga huku waziri mkuu alikuwa Tunduma msikitini akitoa taarifa kuwa yuko ofisini anachapa kazi!
Nadhani classified information hudumu kuanzia miaka 10 na baadhi miaka 30 ndipo zinaweza kuwa- disclassfied.Mkuu unaufahamu Gani kuhusu Clafsied Information na declassfief imformation na Time classfied information?
Unafahamu kila Intel ya Kiserkali ina Expire date?
Unafahamu leo hii Usingejua kuhusu baadhi ya Siri endapo zingekuwa hazina expire date?
Shida Inakuja Japo zina Expire date ila Kuna mipaka zipi ziende Public zipi zibaki private..
Miaka 64Una umri Gani?
Zamani niko mtoto kama wewe nilidhani viongozi wa dini hawawezi kusema uongo, kumbe dah!! uongo inabidi usemwe ili waishi.hata hivyo
uposhwaji, uzushi, habari, stori na simulizi kama hizo za hawo wazushi ulowataja,
zinaaminika, zinapendwa na kukubalika sana chadema, kwasababu hawana wanachoweza kufanya ispokua kubabaika na uzishi....
na huwa wanajadili uzushi kama huo hadi kamati kuu...
mtu mzima mtoto bana 🐒Zamani niko mtoto kama wewe nilidhani viongozi wa dini hawawezi kusema uongo, kumbe dah!! uongo inabidi usemwe ili waishi.
Kwa kuwa kasema unaamini kuwa kila alichosema ni kweli. Kuna mengine hajayasema.Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Kwani alikuwa hawezi kuzungumza? mbona alikuwa akizungumza mpaka siku ya mwisho? ka anazungumza alishindwa nini kuongea na simu na waziri mkuu na kumpa maelekezo? kumbuka afya ya Rais ni swala la ulinzi na usalama na hakuna viongozi waloruhusiwa kumuona isipokuwa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Wakati mwingine ni heri kukaa kimya kuficha ujinga. Kama una akili timamu na kama umemuelewa mabeyo ni dhahiri kuwa kuna kundi la watu walikuwa hawataki mama achukue kijiti na anasema ndio maana walichelewa kwa siku mbili kumuapisha. Hata kina kigogo walisema hivyo hivyo kama mabeyo alivyosema. Tatizo lako unaendeshwa kwa mihemkoTumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Yeah..U mean kuna baadhi zinaweza Expire ila kwa kikomo fulani so kila mtu ataona hizo taarifa ama kuzisikia
Wewe hapo unayeamini serikali haiwez kusema uongo.mtu mzima mtoto bana 🐒
Mie Namuamini Mungu Pekee kamanda 🐒Wewe hapo unayeamini serikali haiwez kusema uongo.
WaTanzania tuamke.Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Mama yake magufuli alipata stroke kumbukumbu zikapotea zote hata magufuli anafariki alikua hajapona badoAmesema kifo kilitokea saa 12 jioni wakaanza kujadili namna ya kumtaarifu Samia,Mke na Mama wa JPM.Wakawaita Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi kwa kuwa walikuwa Dar.Wakahakikisha Mama wa JPM aliyekuwa Chato amepelekewa taarifa na mtu aliyetumwa kwa ndege.Na amesema ndiyo maana tangazo lilitolewa saa Tano usiku kwa sababu ya taarifa hizo zilitakiwa kuwafikia hao watu muhimu.
Maana ya maelezo hayo ni kwamba hiyo tarehe ni Machi 17.