mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kwani hamna shughuli za kufanya jamani, sema hili linaweza kua swala mtambuka😂Jamani penzi sio ofisi Hadi mtu awe na vitu vya maana and official vya kukwambia,Mapenzi ni Sanaa Sanaa tu za kunirudisha moyo msiyachukulie serious sana
nipo babe nimebanwa na majukumuMy love Ulipotelea wapi weye 😉
Ni Bampa to bampa..sawa kabisaYes, mkiwa mnapendana muda wote lazima muwe pamoja au hata kuwasiliana
Ndio anakupenda, tena huyo ndo anaupendo wa ajabu, anaweza kufa kwa ajili yako huyo.Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
😀💋nipo babe nimebanwa na majukumu
Huduma anakupa mamaEm tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
🤣Mimi mawasiliano yakiwa yakusua sua nalala mbele sirudi nyuma,siwezi kuwa kwenye mahusiano halafu bado nikahisi kama nipo peke yangu,wengine tunapenda kero za kupigiwa simu,sms mara kwa mara ndio furaha yetu kwahiyo kila mmoja atafute msalaba wake aubebe mwenyewe
🤣🤣🤣🤣Unaupenda sana mtambuka....swali litakaa hivi kwenye UE "With vivid reference discuss major cross cutting issues affecting youth relationship"ndio unaelezea Haya mambo ya kusumbuana advantage na disadvantage Sasa, sawa mwanafunzi😁kwani hamna shughuli za kufanya jamani, sema hili linaweza kua swala mtambuka😂
wakusumbuana wasumbuane ila mimi sipendi,
Kwa hiyo ukishapewa huduma inatosha?hapa inaonyesha unaangalia Upendo kwenye materials perspectiveHuduma anakupa mama
Kwa ubusy gani bwana 🤣🤣🤣hakunaga ubusy Kwa mtu unaempenda...call ni dakika 2 tu au tatu inampunguzia Nini?YUPO BUSY KWANINI NIMSUMBUE?
Majukumu gani?We CAG unakagua mahesabu ya serikali?hebu mpigie bby wako hukonipo babe nimebanwa na majukumu
Kuishi kwa nafasi nikumpata wakumtegemea si kwa pesa tu umeme ukija nitakupa somoHayo kwako yana faida sio kwa wote.
Unafikiri watu wote duniani ni sawa kama ulivyo wewe ?
ninae huyo babe wa kumpigia basi😅Majukumu gani?We CAG unakagua mahesabu ya serikali?hebu mpigie bby wako huko
Si huyo Fifi😅ninae huyo babe wa kumpigia basi😅
babe wa jf huyo, jobless ndevuless skuizi hatuna soko😅Si huyo Fifi😅
Mnafikiri mnapendana ila haiko hivyo,bado Mnajitafuta.. penye Mapenzi panakuwaga pamoto sana!ukiona pamepoa poa ujue Kuna walakiniSema tumekutana wote hatutaki bughuza🤣
Mshike sana Elimu usimuache aende zake... Mithali 4:13babe wa jf huyo, jobless ndevuless skuizi hatuna soko😅