Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

Kwa uzoefu wangu wa mahusiano nikijumlisha na ninayoona kwa mashostisto zangu na wafanyakazi wenzangu wa kiume ni kwambaaaa….
Mtu ukimchoka au ukiwa haumpendi simu zake huwa ni kero sanaa. Na kila saa lazima uwe busy kwake hata kama unachat na watu wengine ikiingia ya kwake unaipotezea. Hata kama upo online whatsapp unaview status za watu (maana yake haupo busy) text yake ikiingia ni kero tu hata kujibu.

Ila kwa mtu ambaye unampenda kweli na penzi ni la motoo hamna ubusy utakaofanya ushindwe kuwasiliana naye. Na hata ukiwa busy ule muda mdogo ukipata ukishika simu tu lazima uangalie kwanza kama alikutafuta. Ukikuta kakutafuta unafuraaaahi mwenyewe unamjibu ukikuta holaaa unanyong’onyea unamtafuta wewe.

Watu wapo sehemu mtandao unasumbua ila wanapanda hadi juu ya miti wa wasiliane na wapenzi wao. Ni suala la kumpenda mtu tu hakunaga ubusy tofauti na hapo ni UMALAYA unaona simu za kila saa zitakuharibia.
I a gree some points of yours , Ila huyu dada anaongea point mtoa mada .

Kila mtu anazo point zake first of all umesikia hizi departments leo ndio ufanye research , wahasibu na kazi zao through out the day wapi busy , kusocialize ni ngumu hawapo free muda mwingi , IT ,sales and marketing,ulinzi wa usiku hizi kazi ngumu kubebishana na wanaume wa jf wanapenda kufatilia mtu ma hela zeroo
 
So special umeme umekuja naanza kukushawishi , huenda umetendwa sana na wewe ulikuwa mwema .

Ila huwezi ishi alone .

Faida za kuolewa ni hizi hapa:-
1. Kuwa na mtu unamtegemea katika kuishi nawe, hutokuwa bored , hutokuwa na mawazo , akili yako kila siku imechangamka , ukitaka mapenzi saa yeyote unapewa , unamtu amabye mnajenga maisha yenu ya sasa na yazamani , unamtu anyekujali, kukupenda , kukusikiliza ,kukishauri, kukuheshimisha unatoka kuitwa dada unaitwa mama , unatoka kuitwa dada unaitwa mke wa mtu , maisha ya ndoa unaongeza familia na wapo tayari katika kukusaidia bado unachakarika kukupata kitu ili mwanao afurahie uwepo , ukiboreka unafamilia yako wanakubembeleza , wanakutoa katika hali ya stress kukuweka katika hali yako ya kawaida,

Hasara yakuwa single ni hizi :-
Unaboreka , huna wakukubusu wakupenda , wakukujali , simu yako tofauti yakazi hakuna wakukuambia i love u sasa huoni utakuwa sio normal, huna wakukutoa stress akili imelala, mapenzi hupewi kazi yako hasira kama saivi .
 
So special umeme umekuja naanza kukushawishi , huenda umetendwa sana na wewe ulikuwa mwema .

Ila huwezi ishi alone .

Faida za kuolewa ni hizi hapa:-
1. Kuwa na mtu unamtegemea katika kuishi nawe, hutokuwa bored , hutokuwa na mawazo , akili yako kila siku imechangamka , ukitaka mapenzi saa yeyote unapewa , unamtu amabye mnajenga maisha yenu ya sasa na yazamani , unamtu anyekujali, kukupenda , kukusikiliza ,kukishauri, kukuheshimisha unatoka kuitwa dada unaitwa mama , unatoka kuitwa dada unaitwa mke wa mtu , maisha ya ndoa unaongeza familia na wapo tayari katika kukusaidia bado unachakarika kukupata kitu ili mwanao afurahie uwepo , ukiboreka unafamilia yako wanakubembeleza , wanakutoa katika hali ya stress kukuweka katika hali yako ya kawaida,

Hasara yakuwa single ni hizi :-
Unaboreka , huna wakukubusu wakupenda , wakukujali , simu yako tofauti yakazi hakuna wakukuambia i love u sasa huoni utakuwa sio normal, huna wakukutoa stress akili imelala, mapenzi hupewi kazi yako hasira kama saivi .
Una miaka mingapi kwanza we mwanamke ?
 
Hujasoma post zangu zote
Hauwezi kuwa nilivyo ndio maana mimi nipo hivi nilivyo na wewe upo hivyo ulivyo.

Unavyo andika ni vitu vya kitoto sana kwako wewe mapenzi yana nafasi kubwa maisha mwako jambo ambalo kwangu halipo nina mambo mengi ya msingi ya kuwaza na kuumiza kichwa changu kuliko upuuzi wa mapenzi au mpenzi usio na faida yoyote maishani mwangu.

Unapaswa kufahamu sijawahi kuumizwa kuhusu mapenzi kwa sababu sio kitu cha msingi kwangu nayo andika ndio msimamo wangu haya tokani na msukumo wa niliyo pitia awali.
 
Kwa uzoefu wangu wa mahusiano nikijumlisha na ninayoona kwa mashostisto zangu na wafanyakazi wenzangu wa kiume ni kwambaaaa….
Mtu ukimchoka au ukiwa haumpendi simu zake huwa ni kero sanaa. Na kila saa lazima uwe busy kwake hata kama unachat na watu wengine ikiingia ya kwake unaipotezea. Hata kama upo online whatsapp unaview status za watu (maana yake haupo busy) text yake ikiingia ni kero tu hata kujibu.

Ila kwa mtu ambaye unampenda kweli na penzi ni la motoo hamna ubusy utakaofanya ushindwe kuwasiliana naye. Na hata ukiwa busy ule muda mdogo ukipata ukishika simu tu lazima uangalie kwanza kama alikutafuta. Ukikuta kakutafuta unafuraaaahi mwenyewe unamjibu ukikuta holaaa unanyong’onyea unamtafuta wewe.

Watu wapo sehemu mtandao unasumbua ila wanapanda hadi juu ya miti wa wasiliane na wapenzi wao. Ni suala la kumpenda mtu tu hakunaga ubusy tofauti na hapo ni UMALAYA unaona simu za kila saa zitakuharibia.
Thats love
 
kupigiana sana simu, kutuma sana text ni mbaya, ni dalili ya needyness/clingyness, attention seeking behaviour na narcissism, ubinafsi kiujumla.....

labda upate ambaye anapenda kusumbuliwa
Mm nikimpenda ile kisawa sawa mwanaume wangu napenda anicheki ama nimcheki mara kwa mara kila inapowezekana, nisiwe muongo napenda sana.
 
Mm nikimpenda ile kisawa sawa mwanaume wangu napenda anicheki ama nimcheki mara kwa mara kila inapowezekana, nisiwe muongo napenda sana.
duh, ila mi mshamba wa haya mambo jamani, naonaga watu wanaongea na simu masaa nawashangaa

sijui kubembeleza
 
Hauwezi kuwa nilivyo ndio maana mimi nipo hivi nilivyo na wewe upo hivyo ulivyo.

Unavyo andika ni vitu vya kitoto sana kwako wewe mapenzi yana nafasi kubwa maisha mwako jambo ambalo kwangu halipo nina mambo mengi ya msingi ya kuwaza na kuumiza kichwa changu kuliko upuuzi wa mapenzi au mpenzi usio na faida yoyote maishani mwangu.

Unapaswa kufahamu sijawahi kuumizwa kuhusu mapenzi kwa sababu sio kitu cha msingi kwangu nayo andika ndio msimamo wangu haya tokani na msukumo wa niliyo pitia awali.
Wewe ni me au ni ke hapa kwanza
 
Back
Top Bottom