Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

We ni mkurya eeh?hivi ushajuaga utamu ule muda unaombwa msamaha unavyojifaragua Sasa mama mtu ,..Achana na sauti nzito ikuambie taratibu bby am sorry oooh

Yeah ni nzuri ila sio kila mara… nafikiri tumetofautianA… mimi mwanaume wa kujibebishabebisha simuelewii namuonaga kama tapeli
 
Yeah ni nzuri ila sio kila mara… nafikiri tumetofautianA… mimi mwanaume wa kujibebishabebisha simuelewii namuonaga kama tapeli
🤣🤣🤣Na hapo kwenye utapeli wako na mbinu sana siku hizi...Ila nikinusa harufu ya kutaka kutapeliwa naongeza akili ya ziada kuruka hicho kihunzi🤣🤣
 
Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
Vocha ni ya kuomba kweli?. Unalalamika kabisa kuwa hakupi hela ya vocha? . Wanaume wengine wanatabu saana katika mahusiano yao.
 
Hivi kila muda mnapigiana simu daah hii ngumu saana kwangu.

Ambao hawafanyi kazi ndo wawasiliane kila muda, ila kupeana nafasi vnk muhimu saana.Pengine watu wengi hawajiamini na mahusiano yao ndo maana kila muda simu.
 
Yaani huyu wangu kama alivyo hivyo yaani.

Anataka tu muda wote niwe namghasi ghasi.

Kuba umri mapenzi ya sekondari na kichuo Chuo ya kuachana nayo. Yanakera sometimes.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu acheze na mipakaa yake.
 
Back
Top Bottom