Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wenge jamani sasa mie kusema kuwa mtoa mada hujamuelewa nikosaKwani comment yangu imemquote nani? Acha wenge!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenge jamani sasa mie kusema kuwa mtoa mada hujamuelewa nikosaKwani comment yangu imemquote nani? Acha wenge!!
Anapenda kudekezwa lkn kwa haya mambo yako hapana mtaachana kesho tu 😂😂kama anapenda pigo za kibabe babe we mlete😂
MwanaumeWewe ni me au ni ke hapa kwanza
We ni mkurya eeh?hivi ushajuaga utamu ule muda unaombwa msamaha unavyojifaragua Sasa mama mtu ,..Achana na sauti nzito ikuambie taratibu bby am sorry oooh
Haya sasa tuongeeMwanaume
🤣🤣🤣Na hapo kwenye utapeli wako na mbinu sana siku hizi...Ila nikinusa harufu ya kutaka kutapeliwa naongeza akili ya ziada kuruka hicho kihunzi🤣🤣Yeah ni nzuri ila sio kila mara… nafikiri tumetofautianA… mimi mwanaume wa kujibebishabebisha simuelewii namuonaga kama tapeli
Vocha ni ya kuomba kweli?. Unalalamika kabisa kuwa hakupi hela ya vocha? . Wanaume wengine wanatabu saana katika mahusiano yao.Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
Kumbe unaitwa daveMuone huyu mwenzenu si usiku si mchana mda wote anataka muwasiliane kila muda 😅 ukiwabusy ndio malalamiko yanazidiView attachment 2753995
Ukute dume hili linasema hivyo[emoji35]Anaesema hivi ni mwanaume au mwanamke?
hilo achana nalo mkuuKumbe unaitwa dave
Basi wewe ni baba anguhilo achana nalo mkuu
Yamekuwa hayo mkuu baba tena😂Basi wewe ni baba angu
Si anaitwa daveYamekuwa hayo mkuu baba tena😂
Yupo humu pia? Analo lisimu likubwa?Si anaitwa dave
Sijui kama yupo simu kubwa anayoYupo humu pia? Analo lisimu likubwa?
Nmepitia nyuzi zako, ni wewe mwanangu uje pm unisalimie baba yakoSijui kama yupo simu kubwa anayo