Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Muone huyu mwenzenu si usiku si mchana mda wote anataka muwasiliane kila muda 😅 ukiwabusy ndio malalamiko yanazidiHatuachi kulalamika 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muone huyu mwenzenu si usiku si mchana mda wote anataka muwasiliane kila muda 😅 ukiwabusy ndio malalamiko yanazidiHatuachi kulalamika 🤣
Ukimpa mpenzi wako uhuru ndio rahisi kujua tabia zake. Ukimbana sana ndivyo atafanya mambo kwa siri zaidiMwenye kukuheshimu atakuheshimu tu
Yaan ameachika Leo hii usiku huu huu au Jana?mwanamke ndio kaniambia hayo..
Kumbe unaitwa Dave? Au ndiyo kifupi Cha David? Huyo mjibu kiupole tayari kachanganyikiwa naweMuone huyu mwenzenuView attachment 2753995
Piga Mimba we hujaelewa nini hapo?Muone huyu mwenzenuView attachment 2753995
Kuchanganyikiwa au kuchangamakiwa? Anataka kula maembe mabichiKumbe unaitwa Dave? Au ndiyo kifupi Cha David? Huyo mjibu kiupole tayari kachanganyikiwa nawe
Hakika anakuwa mnafiki proSana,atajifanya mtakatifu kumbe pretender
Wanakera sana wa hiviMuone huyu mwenzenu si usiku si mchana mda wote anataka muwasiliane kila muda 😅 ukiwabusy ndio malalamiko yanazidiView attachment 2753995
😂😂 jina achana nalo.Kumbe unaitwa Dave? Au ndiyo kifupi Cha David? Huyo mjibu kiupole tayari kachanganyikiwa nawe
Mimi tunaweza tusitafutane hata wiki alafu baada ya hapo ni Safi kabisaUkimpa mpenzi wako uhuru ndio rahisi kujua tabia zake. Ukimbana sana ndivyo atafanya mambo kwa siri zaidi
Kinoma ad anajishtukia, whatsap anatuma text mpaka kuna muda inabidi azifute mwenyeweWanakera sana wa hivi
jana mkuu,nilikua naangalia mpira,nawaza madeni,yeye anasema nilikua na beib,aliponiuzi kusema ni prove kama nipo mwenyewe,.i was like Bish i dont have to prove anything,.nika block..Yaan ameachika Leo hii usiku huu huu au Jana?
hapana mkuu siwezi kwa huyu ana wivu mno tena ule mbaya, kuna siku alisema atajidhuru au kunidhuru nikimuacha. Nimejitafakari hanifai ana roho ya kishetani ataniharibia watoto😅Piga Mimba we hujaelewa nini hapo?
Halafu haipendezi kidume kila wakati uko available.Kinoma ad anajishtukia, whatsap anatuma text mpaka kuna muda inabidi azifute mwenyewe
Sasa si unaacha Mbegu iendelee kustawi kisha unatafuta mwingine amekwambia lazima uwe naehapana mkuu siwezi kwa huyu ana wivu mno tena ule mbaya, kuna siku alisema atajidhuru au kunidhuru nikimuacha. Nimejitafakari hanifai ana roho ya kishetani ataniharibia watoto😅