Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
[emoji1787]Chautundu wako umemwacha anyanyasike[emoji26] analalamika nawe upo
🤣🤣🤣Na mtaoa tu
[emoji1787][emoji1787][emoji15]Umemkimbia?
Labda nikioa mke wa generation ya 1980s kurudi nyuma ila hawa wa 90s na 20s ukikwama jua na ndoa imekwama kwa 95%Ndiyo mkuu Ili hata ukikwama mke anajua kuwa umekwama anaendelea kukupa nguvu ya kutafuta
Hvyo hvyo maama na mm naenda kuwa sinior single father lazma nichukue mtu aliyekomaa akili🤣🤣🤣 80s utapambana na siye single mom
NAKAZIANdoa za siku hizi ni utapeli tu
tttttttttttttttttttttt🤣🤣Kwa kukazia
Wote wataonekana wameoza. Ila wengine ni mazingira au malezi tu kwa sababu hat hivyo toka nizaliwe sijawahi ona wazazi wangu wakitoleana hata maneno machafu. .Ni kweli mkuu....sema samaki mmoja tena!