Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
Mbona gari zingine zinabadilishwa android radio na hao hao mafundi lakin hatusikii case zake kuwaka moto?Hizi gari ukiweka tu android radio kwa mafundi kanjanja lazima likukute jambo, ndomana kuna fundi humu kashauri kuwa hizi gari we badilisha tyre na rim tu mambo ya umeme hachana nayo
What's so special with Dualis?