- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
- Thread starter
- #241
Mkuu Maxence Melo, hivi haiwezekani na wewe MWENYEWE baba mwenye Nyumba, Memba wote wa JF tukakupiga spana?[emoji23]
[emoji4][emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Maxence Melo, hivi haiwezekani na wewe MWENYEWE baba mwenye Nyumba, Memba wote wa JF tukakupiga spana?[emoji23]
Why?Kwisha habari yangu..[emoji28]
Kwa matukio niliyonayo member watakaonibakisha nafikiri hawatazidi watano ukiwemo na wewe mamy love..😉Why?
Yaani, nimecheka kwa sauti![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti kuwaua kabisa
Kama hamtajali naomba mturudishie Ile drop video buttonUsijali, hiyo button ya Video unaiona in next 10min
=====
Edit: Button added
View attachment 1464102
Why shida yote hii Maxence Melo ?Mimi nikitaka kushare video lazima niipeleke Youtube kwanza.
Kisha huko Youtube na copy link napaste JF.
Tumia mbinu hii wakati unasubiri maboresho.
Tubarikiwe sote mtumishi, ilà kwa umri huu sijawahi kuwa na chama, ninasapoti mazuri na kukemea maovu, haijalishi yanatoka upande gani. Unataka kusema na mimi ni Lumumba buku7 au Ufipa buku10 mtumishi?Si ndio lichama lako...! Umri mdogo unajihusisha na misukule[emoji6]
Mkuu hicho kitufe kilikuwepo siku za nyuma, for some reasons akina Melo wakakiondoa. Leo naingia tu ni dk 3 Max ka-post. Haraka sana nika activate list yangu ambayo ni ndefu sana.
ninaendelea kuifanyia kazi kabla Max hajabadili mawazo.Nshafikia 27 hadi Jtatu nitakuwa pazuri tu.
Umeandika vizuri sana mkuu Kaveli.'Unadhani'... at least you sound fair in your writing.
Well, yawezekana nikawa nimeitafsiri tofauti (not 'vibaya').
Kuna haki na wajibu. Mtu ana haki ya kusikilizwa maoni au mawazo yake, lakini naye ana wajibu wa kutokuvunja Sheria ama kumkwaza mwingine katika utoaji wa mawazo yake. So Mimi huwa nafikiri kwamba mtu aseme au aandike mawazo yake (bila kukwaza mwingine), then ni juu ya msikilizaji/msomaji ku-react anavyoona inafaa.
Mimi binafsi ninachokiona hapa ni kwamba hii 'Ignore Button' itakuwa 'politically driven' zaidi kwasababu tu kuna watu wa kundi moja hawapendi maoni ya upande mwingine.
JF ni majukwaa huru, that means kila member anaandika maoni au mawazo yake kwa mlengo anaouamini yeye.
Ukiwa humu tarajia kupata mawazo ama hoja kinzani.
Humu jf mtu anaweza leo akatoa maoni usiyoyapenda ama usiyokubaliana nayo, lakini kesho mtu huyo huyo akatoa maoni unayokubaliana nayo.
Lakini pia, mtu X anaweza toa maoni usiyounga mkono kwenye mada ya kisiasa, mtu X huyo huyo ukamuunga mkono na kupata maarifa kwenye mchango wake mwingine let say kwenye Jukwaa la Technology.
Kwenye ulimwengu unaofuata rule of law and justice, Haki ya Kusikilizwa hainaga exemption.
Kwenye uwanja wa mijadala huru hauwezi kutaka usome/uone/usikie kile kinachokupendeza tu!
-Kaveli-
Kumbe una matukio mabaya basi nakuongoza sala ya toba maana nakupenda sitaki uharibikiwe hata kidogo.Kwa matukio niliyonayo member watakaonibakisha nafikiri hawatazidi watano ukiwemo na wewe mamy love..[emoji6]
Hahaa...Kwisha habari yangu..[emoji28]
HahaaaIla sema atatutambia sana humu ndani kwamba siku hizi mambo yakiongelewa yeye ndiyo anakuwa mfano[emoji2]
View attachment 1464055
Hahaa kawafanya niniCjui nimepatiaView attachment 1463925
Haha ana nini huyu jamaa ...mbona katajwa sana 😂😂😂Cjui nimepatiaView attachment 1463925