Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Wana nini hao 😂😂😂😂😂
Hapa Bia yetu na Magonjwa mbadala kwisha habari zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Bia yetu na Magonjwa mbadala kwisha habari zao
Ndiyo mkuu, maeneo yetu ya kujidaiKumbe huwa nakupita hapo Nyakanazi nikotoka Ngara? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tubarikiwe sote mtumishi, ilà kwa umri huu sijawahi kuwa na chama, ninasapoti mazuri na kukemea maovu, haijalishi yanatoka upande gani. Unataka kusema na mimi ni Lumumba buku7 au Ufipa buku10 mtumishi?
Wale jamaa wanaboa sana.Wana nini hao 😂😂😂😂😂
[emoji23][emoji23]basi sawa, na wewe ni legend huko UB10[emoji1787][emoji1787]Hahhaa wewe ni official LB7! Haijalishi[emoji6][emoji6]
Sina chama sheikh wangu! Sitak sikia chclochote kuhusu siasa..majitu yenyewe unayambania hayajielewi aku[emoji23][emoji23]basi sawa, na wewe ni legend huko UB10[emoji1787][emoji1787]
Nimejaribu kufuatilia uzi huu, sijamuona akichangia hata mara moja!Ni sawa kabisa mkuu Bia yetu ametuchosha mno
Sasa mbona unalazimisha mimi kuwa na chama, namkubali tu ngosha, yaani namkubali kishenzi yaani. Ningekuwa sijaoa ningetafuta msukuma ili kuunga juhudi za ngosha[emoji23][emoji23][emoji23]Sina chama sheikh wangu! Sitak sikia chclochote kuhusu siasa..majitu yenyewe unayambania hayajielewi aku
Sasa mbona unalazimisha mimi kuwa na chama, namkubali tu ngosha, yaani namkubali kishenzi yaani. Ningekuwa sijaoa ningetafuta msukuma ili kuunga juhudi za ngosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mama niongoze kwa Sala ya toba nipo tayari sweetie..Kumbe una matukio mabaya basi nakuongoza sala ya toba maana nakupenda sitaki uharibikiwe hata kidogo.
Asante kwa maboresho hayo, pia ningependa kuona kama:
1. Mtu akini-ignore nipate notification kwamba " Wangari Maathai has ignored you".😎
2. Kwa vile kuna button za like, love, nk basi tuwekewe ile ya dislike, kama sikubaliani na mchango wa mtu nionyeshe hisia zangu kwa dislike👊
Vinginevyo hongereni sana kwa hili jukwaa maridhawa kabisa.
Acha roho mbaya binti mzuri, kabisa ukanilamba na dislike Coco?Nimekuonjesha dislike [emoji4]
Umri sahihi wa mtu kuoa au kuolewa ni upi ?Ahsantee
Mpaka sasa Bia yenu amepigwa ban na watu 50.Jamani, hatujaweka ili mtumie haraka. Unaweza ukaacha kwanza ukajaribu after 90days [emoji4]