Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kutukanwa na jingalao wapi lini ?Kila mtu ana Uhuru wake Ila jingalao and co company wao ni kuharibu mada na matusi mwanzo mwisho, Sasa wabaki wasome wenyewe huo utopolo wao. Mbona Kuna watu wanazi wa CCM wako critical tu na kikawaida.
Sijui mkuu.Hivi kwani imeanza kutumika?
Sio kutukanwa baadhi ya watu huharibu mada makusudi na kufanya Uzi mzima upoteze meaning, kwanini uende nje ya content, pia Mimi sijawahi ona hoja kwa watu mashabiki maandazi napenda hoja ijadiliwe pande mbili kiuhalisia kabisa. Mbona mwengeso huwa Yuko vizuri na chama chake hoja huzidadavua vizuri. Ujue si kila mtu humu ni shabiki wa vyama Sasa kila mtu anaweka chama chake wengine hatumaindi.Uliwahi kutukanwa na jingalao wapi lini ?
Yaani nikiwagonga kwenye hoja mnajihisi mmetukanwa.
Naamini kati ya members wachache wenye uvumilivu dhidi ya matusi humu jamvini mimi ni namba 4.
Hiyo ni taasisi ya Lumumba. Wakijirekebisha watakula wapi?!Bia yetu jitafakari, ona watu wasivyotaka mambo yako, angalia wanavyokuchukia. Jirekebishe
[emoji23][emoji23]Melo bhana! Mbona umeharibu sana? Mtu kama anakukera si unajitoa jf?
Yani jf itakuwa ina makundi kama magroup ya whatsap ya vyama vya siasa sasa.
Melo bhana! Mbona umeharibu sana? Mtu kama anakukera si unajitoa jf?
Yani jf itakuwa ina makundi kama magroup ya whatsap ya vyama vya siasa sasa.
It's okay anyways, umenifanya niikumbuke tweet yako ya majuzi hapa, sijui kwa nini wengi tunashindwa kuziishi imani zetu, hili swala linakiuka haki husika ya msingi na najua unalijua hilo mkuu, tujifunze kuvumiliana nakazia...all is well [emoji1374].View attachment 1464092
Kwa hiyo hukuwahi kutukanwa na jingalaoSio kutukanwa baadhi ya watu huharibu mada makusudi na kufanya Uzi mzima upoteze meaning, kwanini uende nje ya content, pia Mimi sijawahi ona hoja kwa watu mashabiki maandazi napenda hoja ijadiliwe pande mbili kiuhalisia kabisa. Mbona mwengeso huwa Yuko vizuri na chama chake hoja huzidadavua vizuri. Ujue si kila mtu humu ni shabiki wa vyama Sasa kila mtu anaweka chama chake wengine hatumaindi.
Wakuu,
Kumekuwepo maombi ya wadau wakitaka kuweza kutoona aidha wanachoandika watu flani au kutoona content kutoka forum flani au contents za thread flani tu.
Naam, tumelifanyia kazi hili na sasa unaweza kufanya hivyo.
ZINGATIA: Ignore list yako inakuwa hapa mara zote https://www.jamiiforums.com/account/ignored
MFANO katika PICHA:
Ukitaka kutoona mada za mdau flani (kumradhi USSR nimekutumia kwa mfano), basi bonyeza jina lake utaona option ya IGNORE - bonyeza hapo.
View attachment 1463904
Ukitembelea profile yako, eneo la IGNORE list utaona hivi:
View attachment 1463905
Kama unataka kutoona contents za forum flani, unaenda kwenye forum husika na utaona kuna hiyo button ya IGNORE; bonyeza na utaona hivi:
View attachment 1463903
View attachment 1463909
Aidha, unaweza kuchagua ku-IGNORE thread moja moja badala ya forum nzima ili uweze kupata kile kitu unataka.
View attachment 1463907
Unatafuta ligi kabla ya Juni,17.Alafu kuna mtu analalamika eti Magu ni dikteta
Kuwekwa ignore list sio lazima matusi hata unachoandika pia ka hakinifuraishi na skip naendelea na next comments, mfano Mimi Kuna mijadala huwa hata siifungui kabisa nikashajua huyu mrengo wake ulipo na akili yake ilipogota maana nothing new. So sipendi ku feed ubongo wangu na vitu visivo na mantinki Tena uongoKwa hiyo hukuwahi kutukanwa na jingalao
sasa iweje utumie mfano huu?
Naona umeanzisha sababu mpya baada ya kuukosa ushahidi wa matusi.
Tukutane Jukwaa la SiasaKuwekwa ignore list sio lazima matusi hata unachoandika pia ka hakinifuraishi na skip naendelea na next comments, mfano Mimi Kuna mijadala huwa hata siifungui kabisa nikashajua huyu mrengo wake ulipo na akili yake ilipogota maana nothing new. So sipendi ku feed ubongo wangu na vitu visivo na mantinki Tena uongo
Kule hamna jipya utopolo mtupu, Bora jamii intelligenceTukutane Jukwaa la Siasa