Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

I’m really humbled mkuu wangu [emoji1488]

Pengine mimi ni mchoyo wa fadhira au nimejawa na wivu, huwa naamini kuwa ‘ID’ yako ni taasisi inaendeshwa na watu wengi.... kwa zamu kwa maana muda wote iko active.

Siku zote ambazo imetokea nimekwama kitu na kuhitaji usaidizi wa uongozi JF, sijawahi kupata msaada kutoka kwa hao mnaowaita moderators.... ni wewe pekee na kwa muda wowote.

Nilikuwa napenda kuanzia kwa ‘mods’ kwa kuona kesi zangu ni ndogo mno kukufikia, lakini sijawahi kupata muitikio wowote hadi pale nikifika kwako... kwa vyovyote iwavyo naungana na Carlos The Jackal kukupa kongole kwa hilo.

Cheers [emoji1635]
 
Pengine mimi ni mchoyo wa fadhira au nimejawa na wivu, huwa naamini kuwa ‘ID’ yako ni taasisi inaendeshwa na watu wengi.... kwa zamu kwa maana muda wote iko active.

Siku zote ambazo imetokea nimekwama kitu na kuhitaji usaidizi wa uongozi JF, sijawahi kupata msaada kutoka kwa hao mnaowaita moderators.... ni wewe pekee na kwa muda wowote.

Nilikuwa napenda kuanzia kwa ‘mods’ kwa kuona kesi zangu ni ndogo mno kukufikia, lakini sijawahi kupata muitikio wowote hadi pale nikifika kwako... kwa vyovyote iwavyo naungana na Carlos The Jackal kukupa kongole kwa hilo.

Cheers [emoji1635]

Hapana, haiwezekani jina langu litumiwe na mtu kwa niaba yangu.

Kila mmoja katika team anatekeleza wajibu wake. Nashukuru kwa recognition
 
Sasa mbona unalazimisha mimi kuwa na chama, namkubali tu ngosha, yaani namkubali kishenzi yaani. Ningekuwa sijaoa ningetafuta msukuma ili kuunga juhudi za ngosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Utakiwa kwenye list yangu Ukimfuati USSR
 
Sasa kwa akili zako mgando unafikiri hiyo ndio itakusaidia kuipa kura nyingi chadema?

Alafu hiyo ni dalili ya kuzidiwa hoja! Kama unaona maoni mbadala hayakufurahishi nenda kwenye magroup yenu ya kichadema
Nimeshakupa dawa yako, msalimie Bia yetu mana naye nishamrestisha
 
Wakuu,

Kumekuwepo maombi ya wadau wakitaka kuweza kutoona aidha wanachoandika watu flani au kutoona content kutoka forum flani au contents za thread flani tu.

Naam, tumelifanyia kazi hili na sasa unaweza kufanya hivyo.

ZINGATIA: Ignore list yako inakuwa hapa mara zote https://www.jamiiforums.com/account/ignored

MFANO katika PICHA:

Ukitaka kutoona mada za mdau flani (kumradhi USSR nimekutumia kwa mfano), basi bonyeza jina lake utaona option ya IGNORE - bonyeza hapo.

View attachment 1463904

Ukitembelea profile yako, eneo la IGNORE list utaona hivi:

View attachment 1463905

Kama unataka kutoona contents za forum flani, unaenda kwenye forum husika na utaona kuna hiyo button ya IGNORE; bonyeza na utaona hivi:

View attachment 1463903

View attachment 1463909

Aidha, unaweza kuchagua ku-IGNORE thread moja moja badala ya forum nzima ili uweze kupata kile kitu unataka.

View attachment 1463907
Asante sana kaka.

Hii kuna wale wabishi wa ligi wa "Flat Earth Society" inawahusu sana.

Inasaidia sana kupunguza ubishi usio katika viwango vinavyotakiwa.
 
Hapana, haiwezekani jina langu litumiwe na mtu kwa niaba yangu.

Kila mmoja katika team anatekeleza wajibu wake. Nashukuru kwa recognition
Mkuu, samahani kama kwa swali langu hili, jibu lilikwisha tolewa. Ni hivi, ninaweza kuwa/kum-fahamu aliye/walio ni ignore?
 
Maxence Melo Ume create tension ambao haikuwa na ulazima huo mfano wako unaoneka kama ulikuwa unajaribu kudeliver ujumbe fulani Huyo USSR anajulikana ni Praise team sasa hakukuwa na haja kumtolea mfano mana nimepita nyuzi zake kadhaa watu wanamuambia ndo mana ametolewa mfano kwenye Uzi wako huu, Kuna Famous wengi humu ungewatumia ila sio USSR mana naamini pia atakuwa amekuwa affected psychologically
 
Wakuu,

Kumekuwepo maombi ya wadau wakitaka kuweza kutoona aidha wanachoandika watu flani au kutoona content kutoka forum flani au contents za thread flani tu.

Naam, tumelifanyia kazi hili na sasa unaweza kufanya hivyo.

ZINGATIA: Ignore list yako inakuwa hapa mara zote https://www.jamiiforums.com/account/ignored

MFANO katika PICHA:

Ukitaka kutoona mada za mdau flani (kumradhi USSR nimekutumia kwa mfano), basi bonyeza jina lake utaona option ya IGNORE - bonyeza hapo.

View attachment 1463904

Ukitembelea profile yako, eneo la IGNORE list utaona hivi:

View attachment 1463905

Kama unataka kutoona contents za forum flani, unaenda kwenye forum husika na utaona kuna hiyo button ya IGNORE; bonyeza na utaona hivi:

View attachment 1463903

View attachment 1463909

Aidha, unaweza kuchagua ku-IGNORE thread moja moja badala ya forum nzima ili uweze kupata kile kitu unataka.

View attachment 1463907
Hapa Bia yetu inamuhusu hii kitu 😎
 
Maxence Melo Ume create tension ambao haikuwa na ulazima huo mfano wako unaoneka kama ulikuwa unajaribu kudeliver ujumbe fulani Huyo USSR anajulikana ni Praise team sasa hakukuwa na haja kumtolea mfano mana nimepita nyuzi zake kadhaa watu wanamuambia ndo mana ametolewa mfano kwenye Uzi wako huu, Kuna Famous wengi humu ungewatumia ila sio USSR mana naamini pia atakuwa amekuwa affected psychologically
Mfano umeangukia sehemu sahihi kabisa hapa nadesa mwanzo mwisho
 
Mhhhh, hapana. Unadhani ni sawa kuweka hiyo? Tutaingilia faragha au kuwakatisha tamaa wasioweza kuvumilia kwa namna flani.
Kuna hii tena, thread ya aina moja, kusomeka zaidi ya mara moja. Yaani, kwa mfano, thread hii nimeipita, lakini huko chini nakutana nayo tena, hata zaidi ya mara mbili. Naomba na hilo kama linawezekana, lisawazishwe!
 
Sasa kwa akili zako mgando unafikiri hiyo ndio itakusaidia kuipa kura nyingi chadema?

Alafu hiyo ni dalili ya kuzidiwa hoja! Kama unaona maoni mbadala hayakufurahishi nenda kwenye magroup yenu ya kichadema
Wasio na majibu ya hoja wanafahamika.
Bunge linaendeshwa mafichoni 😁 Takwimu ni mali ya serikali 😁 Ni marufuku kutangaza vifo😇
CCM hawana hoja hawakawii kuvamia studio kushinikiza shilawadyu irushwe😂😂 Hawana Hoja
 
Sasa hivi ni mwendo wa kuwatembezea rungu la ignore list MATAGA wote.
But ukibaki na watu unaokubaliana nao humu mtandaoninkutakuwa boring kinoma .
I will never ignore anybody kwa sababu nina majibu ya mabwege wote and sometime i have space and energy to deal qith scumbag!
I prefer a dislike buton as we serious cant predict one will always be a pain in the a$$
 
Maxence Melo Ume create tension ambao haikuwa na ulazima huo mfano wako unaoneka kama ulikuwa unajaribu kudeliver ujumbe fulani Huyo USSR anajulikana ni Praise team sasa hakukuwa na haja kumtolea mfano mana nimepita nyuzi zake kadhaa watu wanamuambia ndo mana ametolewa mfano kwenye Uzi wako huu, Kuna Famous wengi humu ungewatumia ila sio USSR mana naamini pia atakuwa amekuwa affected psychologically
Bora angenitolea mfano mie niwe supastaa
 
Back
Top Bottom