Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
Nilikua nafanya tuu mfano kama alivyofanya mwalimuNdo hivyo tu yaani [emoji17]
Samahani Bia yetu naheshimu sana mawazo yako
Siwezi kukuignore
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua nafanya tuu mfano kama alivyofanya mwalimuNdo hivyo tu yaani [emoji17]
Huyo MATAGA nilishamu ignore kitambo sanaaBia yetu go to hell
Kuna pipo sio za kuzichelewesha mkuuJamani, hatujaweka ili mtumie haraka. Unaweza ukaacha kwanza ukajaribu after 90days [emoji4]
Wewe jamaa sio ndio ulileta Conversation za pm uliyotolewa maneno ya hovyo baada ya kutaka kuharibu uzi wa member mmoja nimemsahau jina akitaka ushauri wa watoto alioasili? Bado unaona umestarrabika na wewe?Nilipigwa ban ya wiki kwa sababu ya member mmoja anayeonekana mungu-mtu humu JF. Jamaa ni mweupe kichwani afu ana kauli mbaya. Naanza na huyo, nafatisha na watu kibao waongo na wenye matusi.
Kuna watu wanakera lakini tunaishi nao, mtu kama Bia yetu sikubaliani nae kabisa lakini sijawahi ona anatoa lugha chafu ata umkosee vipi.
Mkuu Maxence Melo Karibu Nyakanazi, ukiwa unaenda nyumbani kusalimia Simama hapa nikupe soda yako kutokana na maboresho hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwisha habari yangu..[emoji28]
Bora[emoji23][emoji23][emoji23]ufipa mngetumalizaAh! mkuu sikujua kuna ''probation period''. List yangu ilishafika 12 🙂
Afadhali umeturahisishia kazi bossNdo hivyo tu yaani [emoji17]