Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
✓Brother Maxence Melo naomba mfanyie kazi threads kutoka kwa wakati mfano mtu upo online unafatilia kupata habari unakuja kuta habari imewekwa kama saa moja au mbili yaliyopita. Kama kungekuwa na notification ya Threads mpya ingekuwa nzuriNaamini hata yeye USSR anajua nimemtumia tu kutolea mfano