Naomba mlitazame na mnipe briefing..
Najua zamani video zilikuwa shida sababu ya server..Ila now naamini sio tatizo.
Na dunia inazidi kwenda kwenye video sharing
Kuliko text.. JF naomba iende na wakati
YouTube .tick tock na other apps lazima JF
Iweze kwenda na wakati
Nashindwa upload video kama mwanzo
Na Ile icon ya drop video siioni
Je ni Mimi Tu au kila mtu?
Nifanyeje?
Asante kwa maboresho hayo, pia ningependa kuona kama:
1. Mtu akini-ignore nipate notification kwamba " Wangari Maathai has ignored you".😎
2. Kwa vile kuna button za like, love, nk basi tuwekewe ile ya dislike, kama sikubaliani na mchango wa mtu nionyeshe hisia zangu kwa dislike👊
Vinginevyo hongereni sana kwa hili jukwaa maridhawa kabisa.
Nyie waoga sana nyie, hii sio sawa, mnapenda kumsikiliza mnachokipenda tu kama wale watu wenu wa tweeter ukiwapinga tu wanakublock, hiyo sio sawa na hata hili hapa linakandamiza freedom of speech and expression, kwa nini haya maboresho yawe katika kipindi hiki Maxence Melo? kuna nini nyuma ya pazia? tujifunze kuvumiliana wapendwa.Sasa hivi ni mwendo wa kuwatembezea rungu la ignore list MATAGA wote.
Thanx mkuu, hapo nimejaribu tu, sio kwamba nimedislike comment yako.1. Hiyo hali naona kama italeta ukakasi kidogo
2. Option hiyo ipo, haswa kwa mtu kama wewe unayetumia browser, ukiweka cursor kwenye Thanks zitatokea emojis kama 6 moja wapo ni ya Dislike {Ipo Mwisho Kulia}
Ignore ni nzuri ila kwangu haina nafasi kabisa, eti kwa vile tu mtu ametoa maoni au ana mtazamo tofauti na wangu basi ale block, kwangu ni udhaifu mkubwa wa kushindwa kuishi na watu tofauti. Nitaendelea kufurahia humu kwa kusoma pumba na mashudu yote.
Thanx mkuu, hapo nimejaribu tu, sio kwamba nimedislike comment yako.
Hapo namba moja sioni ukakasi wowote, ukijua fulani hana interest na michango yako hakuna ubaya nadhani. Nway ni maoni tu.
kwa nini haya maboresho yawe katika kipindi hiki Maxence Melo? kuna nini nyuma ya pazia? tujifunze kuvumiliana wapendwa.
Mkuu bado ignore list yangu ina access na contents zangu.. Msaada tafadhaliNaam kiongozi. Naomba usiniweke mimi maana haitafanya kazi [emoji1787]
Fanyeni Faster.Utapewa ufafanuzi mkuu
Kuna tatizo sehemu ila shaka ondoa litarekebishwa
Umeeleweka Mkuu ni hatua nzuri sanaNaamini hata yeye USSR anajua nimemtumia tu kutolea mfano
Haahahaa..Tena ngoja nianze na Huyo huyo USSR ....
piga spana huyo ndeziBia yetu go to hell