Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Ha ha ha haka ka Uzi nimekapenda bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] @biayetu Keisha habari yako
 
Nyie waoga sana nyie, hii sio sawa, mnapenda kumsikiliza mnachokipenda tu kama wale watu wenu wa tweeter ukiwapinga tu wanakublock, hiyo sio sawa na hata hili hapa linakandamiza freedom of speech and expression, kwa nini haya maboresho yawe katika kipindi hiki Maxence Melo? kuna nini nyuma ya pazia? tujifunze kuvumiliana wapendwa.

Mkuu,

Ignore option imekuwepo tangu kuanza kwa JF, lengo si watu wapuuziane ila badala ya mtu kuwasumbua mods kuwa flani aondoshwe kisa hakubaliani na hoja zake, tukawapa uwezo wa kufanya hivi.

Aidha, hapa tumeongeza option ya kuweza kutoona contents za forum flani au thread flani; maana watu walianza kutaka forums kadhaa wasione contents zake.

Client needs sometimes zina changamoto zake; imagine ili limefanywa after 14 yrs za kuanzishwa kwa JF, si kuwa tunalipenda ila tunaepusha malalamiko yanayoweza kuwa sorted.

Sitamani watu wahamasike kuanza kutumia hizo options, ukiangalia signature yangu inaeleza wazi - NATAMANI TUWEZE KUVUMILIANA!
 
Hata hiyo hainisaidii
Labda kwangu kuna tatizo lingine

Usijali, hiyo button ya Video unaiona in next 10min

=====
Edit: Button added

CDF2FFF0-1A8F-4B74-AD52-3D7F42BE6E62.jpeg
 
asanteni mods kwa maboresha naona na vipengele vya superscript na subscript vimeongezwa. Kero nyingine iliyopo jf ni hii ya baadhi ya verified account kuanzisha thread mwisho wa siku wanazitelekeza. Natolea mfano account ya vodacom, tangu wameweka ile thread yao hawajawahi kurudi kujibu hoja na maswali wanayoulizwa. wengine ni Tecno huwa wanaanzisha thread na kujiondokea, watu wanauliza maswali kutaka ufafanuzi No Further response. Hili nalo mliangalie au kama vipi mziondoe coz hazina msaada

Maxence Melo

Cookie
 
Wakuu,

Kumekuwepo maombi ya wadau wakitaka kuweza kutoona aidha wanachoandika watu flani au kutoona content kutoka forum flani au contents za thread flani tu.

Naam, tumelifanyia kazi hili na sasa unaweza kufanya hivyo.

ZINGATIA: Ignore list yako inakuwa hapa mara zote https://www.jamiiforums.com/account/ignored

MFANO katika PICHA:

Ukitaka kutoona mada za mdau flani (kumradhi USSR nimekutumia kwa mfano), basi bonyeza jina lake utaona option ya IGNORE - bonyeza hapo.

View attachment 1463904

Ukitembelea profile yako, eneo la IGNORE list utaona hivi:

View attachment 1463905

Kama unataka kutoona contents za forum flani, unaenda kwenye forum husika na utaona kuna hiyo button ya IGNORE; bonyeza na utaona hivi:

View attachment 1463903

View attachment 1463909

Aidha, unaweza kuchagua ku-IGNORE thread moja moja badala ya forum nzima ili uweze kupata kile kitu unataka.

View attachment 1463907
Mkuu Melo mm nahitaji kui update my Jf app but siioni kule play store, cjui ni mm tu au ni vp, mana mwezi huu katikati nili update, lkn kwa ss siioni app kule play store.
 
Back
Top Bottom