Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Mkuu Maxence Melo , this improvement is good. Lakini pia hii yaweza kupunguza chachu ya mijadala humu jf.

Mfano jukwaa la Siasa ndiyo jukwaa ambalo nadhani linaongoza kuwa viewed na mijadala mingi. Kupamba moto kwa jukwaa hili ni kutokana na migongano ya hoja za wachangiaji. Migongano ya hoja ni based on political affiliation/belief ya mtu husika.

Na nionavyo mimi binafsi, members wanaonekana 'kuchukiwa' humu ni wale wanaotoa maoni yao kusupport or kufavor utawala huu wa awamu ya tano wa ccm, mfano members kama Bia yetu , USSR , Magonjwa Mtambuka , jingalao , n.k

Hao ni baadhi ya members ambao wao wameamua kuweka wazi political affiliations zao na wanaandika mawazo yao kwa mlengo huo.

Nikiangalia trend kufuatia maboresho haya ya 'ignore' button, member BIA YETU ndiye ataongoza kuwa ignored sana humu jf, sio kwa sababu anatukana sana watu, bali ni kwa sababu tu maoni yake ya kisiasa hayapendwi na mtu wa upande mwingine kisiasa!

Tukianza kutandikana 'ignore' button kwa sababu ya political affiliations/oppion, then tunaelekea pia kutandikana 'ignore' button kwa sababu ya religious affiliations/opinion zetu.

Jf portrays itself as the place "Where We Dare To Talk Openly". Kwa kuzingatia na kuitekeleza kauli mbiu hii, jf is adhering to one of the principles of natural justice ambayo ni Haki ya Kusikilizwa. Yes, mtu unapompa platform ya yeye azungumze openly, impliedly unakuwa umempatia haki ya kusikilizwa (right to be heard).

'Ignore' button ni systematic switch ya kuziba masikio. Right to be heard is meaningless endapo wasikilizaji/wasomaji wameziba masikio na kuvaa miwani ya mbao (ignore button)!

Mtu akiwa ignored sana, itaathiri contribution flow yake ya threads or posts. Ikifanyika kwa yule na yule na yule, in the long run itaathiri chachu ya mijadala hapa Jf. Jukwaa litakosa hoja ama mawazo kinzani, eventually jf will be full of threads za maoni ya mlengo mmoja.

Uwepo wa migongano ya hoja na mijadala kinzani, ni chachu kubwa na pia inaisaidia sana jf kutoonekana ni politically based upande mmoja.

Mimi nashauri 'Ignore Button' iwekwe kwenye Threads tu, not at individual level.

Mfano tu: mkuu Mshana Jr naweza bonyeza Ignore Button kwenye thread yake ya kisiasa, ila nikafaidika maarifa kwenye thread yake nyingine ya mambo ya ulozi.

Au naweza block/ignore Thread ya kisiasa ya mkuu Hornet , ila Thread yake nyingine ya mambo ya biashara ikanipa maarifa.

-Kaveli-
 
Naomba mlitazame na mnipe briefing..

Najua zamani video zilikuwa shida sababu ya server..Ila now naamini sio tatizo.
Na dunia inazidi kwenda kwenye video sharing
Kuliko text.. JF naomba iende na wakati
YouTube .tick tock na other apps lazima JF
Iweze kwenda na wakati
Mimi nikitaka kushare video lazima niipeleke Youtube kwanza.

Kisha huko Youtube na copy link napaste JF.

Tumia mbinu hii wakati unasubiri maboresho.
 
Mkuu Maxence Melo , this improvement is good. Lakini pia hii yaweza kupunguza chachu ya mijadala humu jf.

Mfano jukwaa la Siasa ndiyo jukwaa ambalo nadhani linaongoza kuwa viewed na mijadala mingi. Kupamba moto kwa jukwaa hili ni kutokana na migongano ya hoja za wachangiaji. Migongano ya hoja ni based on political affiliation/belief ya mtu husika.

Na nionavyo mimi binafsi, members wanaonekana 'kuchukiwa' humu ni wale wanaotoa maoni yao kusupport or kufavor utawala huu wa awamu ya tano wa ccm, mfano members kama Bia yetu , USSR , Magonjwa Mtambuka , jingalao , n.k

Hao ni baadhi ya members ambao wao wameamua kuweka wazi political affiliations zao na wanaandika mawazo yao kwa mlengo huo.

Nikiangalia trend kufuatia maboresho haya ya 'ignore' button, member BIA YETU ndiye ataongoza kuwa ignored sana humu jf, sio kwa sababu anatukana sana watu, bali ni kwa sababu tu maoni yake ya kisiasa hayapendwi na mtu wa upande mwingine kisiasa!

Tukianza kutandikana 'ignore' button kwa sababu ya political affiliations/oppion, then tunaelekea pia kutandikana 'ignore' button kwa sababu ya religious affiliations/opinion zetu.

Jf portrays itself as the place "Where We Dare To Talk Openly". Kwa kuzingatia na kuitekeleza kauli mbiu hii, jf is adhering to one of the principles of natural justice ambayo ni Haki ya Kusikilizwa. Yes, mtu unapompa platform ya yeye azungumze openly, impliedly unakuwa umempatia haki ya kusikilizwa (right to be heard).

'Ignore' button ni systematic switch ya kuziba masikio. Right to be heard is meaningless endapo wasikilizaji/wasomaji wameziba masikio na kuvaa miwani ya mbao (ignore button)!

Mtu akiwa ignored sana, itaathiri contribution flow yake ya threads or posts. Ikifanyika kwa yule na yule na yule, in the long run itaathiri chachu ya mijadala hapa Jf. Jukwaa litakosa hoja ama mawazo kinzani, eventually jf will be full of threads za maoni ya mlengo mmoja.

Uwepo wa migongano ya hoja na mijadala kinzani, ni chachu kubwa na pia inaisaidia sana jf kutoonekana ni politically based upande mmoja.

Mimi nashauri 'Ignore Button' iwekwe kwenye Threads tu, not at individual level.

Mfano tu: mkuu Mshana Jr naweza bonyeza Ignore Button kwenye thread yake ya kisiasa, ila nikafaidika maarifa kwenye thread yake nyingine ya mambo ya ulozi.

Au naweza block/ignore Thread ya kisiasa ya mkuu Hornet , ila Thread yake nyingine ya mambo ya biashara ikanipa maarifa.

-Kaveli-
Nadhani unaitafsiri vibaya haki ya kusikilizwa.

Kumbuka pia anayemblock/ignore mtu anahaki ya kusikilizwa ambayo haki yenyewe ni kutotaka kuoa asichokitaka.
 
mkuu max, mbona haujazungumzia uboreshwaji wa siye wadau wako kupata notifications za mtu anapo- quote ama anapo- like post ya comments fulani.. ama hili bado mnalifanyia mchakato?!!
 
Nadhani unaitafsiri vibaya haki ya kusikilizwa.

Kumbuka pia anayemblock/ignore mtu anahaki ya kusikilizwa ambayo haki yenyewe ni kutotaka kuoa asichokitaka.

'Unadhani'... at least you sound fair in your writing.

Well, yawezekana nikawa nimeitafsiri tofauti (not 'vibaya').

Kuna haki na wajibu. Mtu ana haki ya kusikilizwa maoni au mawazo yake, lakini naye ana wajibu wa kutokuvunja Sheria ama kumkwaza mwingine katika utoaji wa mawazo yake. So Mimi huwa nafikiri kwamba mtu aseme au aandike mawazo yake (bila kukwaza mwingine), then ni juu ya msikilizaji/msomaji ku-react anavyoona inafaa.

Mimi binafsi ninachokiona hapa ni kwamba hii 'Ignore Button' itakuwa 'politically driven' zaidi kwasababu tu kuna watu wa kundi moja hawapendi maoni ya upande mwingine.

JF ni majukwaa huru, that means kila member anaandika maoni au mawazo yake kwa mlengo anaouamini yeye.

Ukiwa humu tarajia kupata mawazo ama hoja kinzani.

Humu jf mtu anaweza leo akatoa maoni usiyoyapenda ama usiyokubaliana nayo, lakini kesho mtu huyo huyo akatoa maoni unayokubaliana nayo.

Lakini pia, mtu X anaweza toa maoni usiyounga mkono kwenye mada ya kisiasa, mtu X huyo huyo ukamuunga mkono na kupata maarifa kwenye mchango wake mwingine let say kwenye Jukwaa la Technology.

Kwenye ulimwengu unaofuata rule of law and justice, Haki ya Kusikilizwa hainaga exemption.

Kwenye uwanja wa mijadala huru hauwezi kutaka usome/uone/usikie kile kinachokupendeza tu!

-Kaveli-
 
Vipi nikikuweka wewe kwenye ignore List utaweza kunipa Ban? Kuna moderators nataka nitembeze spana kwao
Ni kweli unachosema, ila sasa imeboreshwa zaidi

Unaweza kuitumia option hiyo pia kwenye Forum, Thread

Angalia vizuri post #1 ufafanuzi umetolewa vizuri
 
Mkuu mbona hii ipogo kitambo tu?
mkuu max, mbona haujazungumzia uboreshwaji wa siye wadau wako kupata notifications za mtu anapo- quote ama anapo- like post ya comments fulani.. ama hili bado mnalifanyia mchakato?!!
 
Kupanick jf ni uboya uliopitiliza yaan mpaka unaaanza kumuignore mtu wakat kuna majukwaa mbali mbali u can go for,,hii dunia kuna watu wa kila aina na tabia zao so unapom-ignore mtu unataka wafate mawazo yako ww kama nan?...ingekuwa hvyo basi hata mtaan mtu akikuuzi unamuua aisee cjui ingekuwaje[emoji23][emoji23]
 
'Unadhani'... at least you sound fair in your writing.

Well, yawezekana nikawa nimeitafsiri tofauti (not 'vibaya').

Kuna haki na wajibu. Mtu ana haki ya kusikilizwa maoni au mawazo yake, lakini naye ana wajibu wa kutokuvunja Sheria ama kumkwaza mwingine katika utoaji wa mawazo yake. So Mimi huwa nafikiri kwamba mtu aseme au aandike mawazo yake (bila kukwaza mwingine), then ni juu ya msikilizaji/msomaji ku-react anavyoona inafaa.

Mimi binafsi ninachokiona hapa ni kwamba hii 'Ignore Button' itakuwa 'politically driven' zaidi kwasababu tu kuna watu wa kundi moja hawapendi maoni ya upande mwingine.

JF ni majukwaa huru, that means kila member anaandika maoni au mawazo yake kwa mlengo anaouamini yeye.

Ukiwa humu tarajia kupata mawazo ama hoja kinzani.

Humu jf mtu anaweza leo akatoa maoni usiyoyapenda ama usiyokubaliana nayo, lakini kesho mtu huyo huyo akatoa maoni unayokubaliana nayo.

Lakini pia, mtu X anaweza toa maoni usiyounga mkono kwenye mada ya kisiasa, mtu X huyo huyo ukamuunga mkono na kupata maarifa kwenye mchango wake mwingine let say kwenye Jukwaa la Technology.

Kwenye ulimwengu unaofuata rule of law and justice, Haki ya Kusikilizwa hainaga exemption.

Kwenye uwanja wa mijadala huru hauwezi kutaka usome/uone/usikie kile kinachokupendeza tu!

-Kaveli-
Tehtehteh
Mfano mrahisi tu... Unaweza ukapigwa wimbo clouds wa WCB nikasikiliza nikamaliza ukapigwa wa Alikiba nikabadilisha station....


Je, nimemnyima Alikiba haki yake ya kusikililwa? Simtaki tu na sitaki nyimbo zake...

Kaveli


Hii sio kesi mzee baba na hakuna anayehukumiwa hapa.... hii ipo fair kabisa wala haihitaji mijadala mipana ya kisheria.

Ishu ni sitaki kuona jambo fulani kwasababu zangu binafsi...na kutokuona kwangu hilo jambo hakumwathiri mtu mwingine kabisa.

Na ipo hata kwenye maisha ya kawaida tu...kijiweni akija fulani mie najikataa...wala hakuna aliyenyimwa haki yake. Hapa mtaani tu sio sehemu rasmi kama bungeni au mahakamani.
 
Back
Top Bottom