Ya lini hio mkono upigweAu maigizo yake yamefanya mafia wamuingilie na kumchafua? Maigizo kama yale ya kutaka mkono upigwe kwa kushindanisha nguvu na yule mr slim, je kama angeamua kumfanyinzia anashindwa nini kumpenyezea mafia wake wamkomeshe? Mamabo ni mengi katika kunusanusa mpaka ukweli upatikane
uchunguzi una faida nyingi, mojawapo ni kujua chanzo cha tatizo pengine itaweza kusaidia matukio ya namna hiyo yasitokee. ukikalia tatizo kwa kulipuuza utazalisha matatizo zaidi.Kama ndio Hawa ngoma droo!
Hamna haja ya kupoteza resources kuchunguza, aliyezidiwa kaxidiwa
Halafu maajabu ni kuwa, kwamujibu wa barua aliyoacha marehemu hakutaka issue iwe published mitandaoni akamtumia (mke wa masanja private) Halafu haraka haraka masanja kmTuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Rule number one ukiiba mke wa mtu lazima wakuflash huyo mwizi wa mke mwacheni asepe kimya kimyaUpo sahihi Mkuu.
Hilo tukio lichunguzwe kuna harufu ya uhuni umefanyika
Hii hoja yako itapuuzwa na watu wote ambao hawajasoma kitabu cha yule bodyguard wa Mr slim, ninacho soft copy, jamaa anadai Kagame ana matatizo ya akili kwa mfano, kuna siku Kagame alitapika kwenye gari na kushuka kwenda kukojoa kichakani, bodyguard ikabidi aende kufuta yale matapishi,aliporudi Kagame akampiga mlinzi ngumi,Au maigizo yake yamefanya mafia wamuingilie na kumchafua? Maigizo kama yale ya kutaka mkono upigwe kwa kushindanisha nguvu na yule mr slim, je kama angeamua kumfanyinzia anashindwa nini kumpenyezea mafia wake wamkomeshe? Mamabo ni mengi katika kunusanusa mpaka ukweli upatikane
Kama ni kweli kamtumia mke wa masanja private, nani ameisambaza?Halafu maajabu ni kuwa, kwamujibu wa barua aliyoacha marehemu hakutaka issue iwe published mitandaoni akamtumia (mke wa masanja private) Halafu haraka haraka masanja km
Yes, hasa hasa kama hilo swala lina maslahi mapana kuliko ndoa, wana andika script na mke then series inachezwa.Kuna mtu anaweza kufanya uhuni huo na kumchafua mkewe kweli?
Yes, hasa hasa kama hilo swala lina maslahi mapana kuliko ndoa, wana andika script na mke then series inachezwa.
Mfano wanaficha siri kubwa inayoweza kuwagharimu sana.
Pengine wametoa kafara tarajia ongezeko kubwa.
Hii ndio deep state!!???Hata mi akili imeanza kukataa, kijana smart kama yule hawezi kujiua kizembe aiseee, kuna tatizo sehemu mambo ya deep state
Kama una ushahidi wapelekee polisSalaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Safi sanaTuwaombee
View attachment 2375600
Hakuna mtu mwenye akili chafu aaue mgoni wake kisha amchafue mkewe wake.
Hio barua tu tayari ni kasfa bila kujali alikuwa anakula a
Rushwa na polisi Tz ni ndugu wa damu.Jeshi la polisi mara zote huwa hawaamniki sijui kwa nini tu wanashindwa kufuata sheria(PGO) zinazowaongoza kipindi wanatimiza majukumu yao.
Rushwa rushwa na polisi ni sawa na Pete na kidole
Hii tabia ya kuvaa tu majoho huku ni kudhalilisha elimu za watu ..watu tunakujua ya kuwa shule ilikusumbua then unajitupia tu joho la PHD holder kwann lkn ?TIGHA BHATEMWE!View attachment 2375582
Kwenye kila uhalifu, huwa Kuna alama inaachwa. Wahalifu sio kwamba wanakuwa smart 100%Kama kulikuwa na rumours asingemdedisha halafu chanzo kiwe hicho na barua iandikwe hivyo, huoni ni kama anajishtaki watamchunguza?
Yes mistakes zipo lakini sio hii ya waziwazi kabisaKwenye kila uhalifu, huwa Kuna alama inaachwa. Wahalifu sio kwamba wanakuwa smart 100%
Yule dogo mwizi wa mabenki Marekani wamemkata hivi karibuni sababu ya kujisahau kidogo tu. Ila alikuwa na akili nyingi Sana, kosa dogo likamkamatisha
Mkuu usipojali naomba msaada wa hicho kitabu cha KAGAME pm au hapa hapa mkuu.Hii hoja yako itapuuzwa na watu wote ambao hawajasoma kitabu cha yule bodyguard wa Mr slim, ninacho soft copy, jamaa anadai Kagame ana matatizo ya akili kwa mfano, kuna siku Kagame alitapika kwenye gari na kushuka kwenda kukojoa kichakani, bodyguard ikabidi aende kufuta yale matapishi,aliporudi Kagame akampiga mlinzi ngumi,
siku nyingine Kagame kapiga simu kwa Dk mmoja ikapokelewa na mdada wa kazi ilikuwa miaka ya 90,kagame akasema mpe mwenye simu niongee naye,mdada akagoma anataka kujua nani anaongea,kagame akawasha gari akaenda kumziba makofi yule House girl na kuamuru afukuzwe kazi hana adabu
Yeah dunia imefika pabaya, inawezekana ni kuchepusha mjadala wa utata wa kifo.... it's possibleYes, hasa hasa kama hilo swala lina maslahi mapana kuliko ndoa, wana andika script na mke then series inachezwa.
Mfano wanaficha siri kubwa inayoweza kuwagharimu sana.
Pengine wametoa kafara tarajia ongezeko kubwa.
Mkuu, una uhakika kaiba mke? Kwanini mnamchafua marehemu?Rule number one ukiiba mke wa mtu lazima wakuflash huyo mwizi wa mke mwacheni asepe kimya kimya