Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwani mtu akitakiwa atukanwe huwa anaanzwa kwa kuamkiwa?Sio umri sawa. Kama Mahita mnadai kalaaniwa ndio maana anatembea kwa mkongojo na mnamlinganisha na Mwinyi aliyekufa na miaka 98, kwanini hutaki nimlinganishe Mwinyi aliyekufa na 98 dhidi ya Salim Ahmed Salim mwenye miaka 82?
Nani kamlaani Salim Ahmed Salim aliyezidiwa na Mwinyi miaka 16 ila miezi kadhaa sasa hata kuongea hawezi?
Laana ya kumkataa mtoto.Baba yangu ana miaka 87 mpaka leo anadunda kama wewe na mimi.
Mahita na Mzee wangu walifanyakazi pamoja tena Mzee wangu akimtangulia kuingia kazini.
Naona unapenda league sana,umeshindwa jukwaa la Russia 🇷🇺 & Ukraine 🇺🇦 umekimbilia huku.Mzee wako sio SI unit ya wazee, wala Mahita sio SI unit ya waliokataa watoto.
Unamaanisha wanaozaliwa wakiwa walemavu kutembea hawawezi nao walilaaniwa si ndio. Walilaaniwa lini na kwa kufanya nini.
Unalijua umbo la Omary Mahita enzi zake anastaafu, unalinganisha na umbo la Mwinyi wakati anakuwa Rais aged 60 yrs old? Linganisha ndio utajua genes na lifestyle ndio vinahusika.
Kama unatarajia Peter Msechu atakuwa na uzee sawasawa na Ali Kiba una matatizo kichwani.
Ikiwa alikuwa mla rushwaa,kubambikia watu kesi za urongo lazima laana zihamie kwake.Sasa kwanini unataka Kila mzee awe kama baba Yako?
Hii ndio typical TanzaniaMnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Kama ulimshuhudia akiwa ngangari na leo unamshuhudia anatembelea mkongojo huo ni ujumbe kwako umri wako umeenda pia
Kama anachechemea lakini ana uwezo wa kublock camera basi ni giantMnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Uchaguzi wa 1995 akiwa RPC Kilimanjaro alizuia uvunjivu wa amani kule Moshi kwa ustadi mkubwa sanaHakika wakati ni ukuta....
Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 alitemaga cheche kwelikweli...
Ikiwa alikuwa mla rushwaa,kubambikia watu kesi za urongo lazima laana zihamie kwake.
Kwani mtu akitakiwa atukanwe huwa anaanzwa kwa kuamkiwa?
Ikiwa alikuwa mla rushwaa,kubambikia watu kesi za urongo lazima laana zihamie kwake.
Omary Mahita anatembea mwenyewe kwa kutumia mkongojo. Mnasema amelaaniwa.Naona unapenda league sana,umeshindwa jukwaa la Russia 🇷🇺 & Ukraine 🇺🇦 umekimbilia huku.
Uliwahi kusikia Al-marhum mzee A.H.Mwinyi kukebehiwa?Kwa nini?Kukebehiwa ni moja ya vitu vilivyomo kwenye kifurushi cha laana.Omary Mahita anatembea mwenyewe kwa kutumia mkongojo. Mnasema amelaaniwa.
Salim Ahmed Salim hawezi tembea, hawezi ongea, anabebwa hata akitaka kusogea mita moja pembeni. Huyo naye kalaaniwa?
Umeandika kwa urahisi kama mtu amefurahi anakula senene na mbegu za kahawa/buni.Pamoja na yote sio HEKIMA kufurahia MTU kuchoka au kutokuwa on mood this is too worst and unacceptable
Hata wale tusiowapenda tuwaombee Amani maana hatuwezi kujua what's happened hadi wakafanya mambo mabaya .
Tumuombee na tuombeane AMANI sote ni ndugu siasa ,dini, cheo ,madaraka visitugawe .
ðŸ’
Tabia za watu waliolala nyumba moja na mifugo kama mbuzi na kuku nyumbani kwao, bila jitihada za makusudi na kujitambua wanabaki na mentality za ajabu ajabu.Hii ndio typical Tanzania
Angekua anatembea mama alivyokua na 60 years usingeandika
We really love to see people suffering and laugh or feel good about it
Umri wa mahita ni mkubwa na you may not live to be his age