Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro akutana na Wadau wa Uchaguzi 2020, aitaja JamiiForums na Mitandao mingine kama changamoto ya Uhalifu wa Kimtandao sababu ya Teknolojia

Huyo Ni Pimbi wa kutupa , anaongea anafikiri hatumuelewi kuwa kapewa maelekezo kutoka juu uhutuni .Hana sifa za kuwa Igp alibebwa ili atumike na atumika kweli na Jiwe na CCM.
 
..naomba nisiongeze neno.

..fungua video hapo chini uone hotuba ya IGP Sirro.

 
Sijaipenda ile documentary fupi ilikuwa haina maana yoyote.Kuhusu kujivunjia heshima au kujiongezea nitatumia haki yangu ya msingi to remain silent mpaka wakili aje.
 
Sijaipenda ile documentary fupi ilikuwa haina maana yoyote.Kuhusu kujivunjia heshima au kujiongezea nitatumia haki yangu ya msingi to remain silent mpaka wakili aje.

..ametumia neno KUFA mara nyingi sana ktk hotuba yake.

..je, unadhani ni sahihi kutoa matamshi kama hayo?
 
Kwamba Bayern wameshindwa kuscore goals watu 3 tofauti? Wameniboa si mchezo

Tukirudi kwa Siro mimi sina cha kusema kwakua inaonyesha presentation kaandikiwa hivyo siyo mawazo yake.
 
Nakumbuka aliulizwa na mwandishi wa habari kuhusu kupotea watu akatoa hadithi ya jamaa aliyeacha familia akaenda kuoa kwingine bila taarifa, akaja kuonekana baada ya miaka mingi.
Chief of police forces.
 
Sijaipenda ile documentary fupi ilikuwa haina maana yoyote.Kuhusu kujivunjia heshima au kujiongezea nitatumia haki yangu ya msingi to remain silent mpaka wakili aje.
Kwani alikuwa pale kukueleza unachokitaka na kukipenda wewe au kutoa angalizo kuhusu the do and don't kipindi kikifika? sababu tu myafanyayo ni kinyume cha sheria, kanuni na taratibu ndo msipende kuona mtu akitimiza wajibu wake? huo ndo ukweli, nendeni kinyume mchangamshwe...,[emoji382][emoji382][emoji382]
 

Naona humjui vizuri huyu Kamanda, ni bonge moja na Kamanda , Mstaarabu na muelewa sana.
 
..Kwa kweli kama IGP anataka kutenda HAKI basi aitishe kikao na viongozi wa UPINZANI.

..Pia ninamshauri awe HONEST, and FAIR, awaeleze wapinzani makosa yao, na akubali kusikiliza madukuduku yao.

..Huenda wanaotoa kauli kali wana machungu yao ambayo wanaona hayajashughulikiwa.

..Huu utaratibu wa kukusanya viongozi wa dini ambao ni Pro-CCM na Pro-serikali halafu kuwaelekeza wajibu hoja za wapinzani siyo suluhisho la tatizo lililopo.

..Pia namshauri kuanzia sasa aongeze msisitizo ktk suala la HAKI.
 
Kwakuwa anatumia akili za hovyo za viongozi wa CCM hasa ya mwenyekiti wao, hawezi kusikiliza ushauri huu wa maana.
 
Kwakuwa anatumia akili za hovyo za viongozi wa CCM hasa ya mwenyekiti wao, hawezi kusikiliza ushauri huu wa maana.

..sioni sababu ya kujaribu kuwatumia viongozi wa dini kum-attack Tundu Lissu, wakati anaweza kuitisha kikao na CDM wakaongea, na kuwekana sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…