Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Ni kazi bure kuhubiri utulivu na amani, kabla ya kuhubiri haki na usawa.
Kama democracy zimetushinda na hatupo tayari kusikiliza wasiokubaliana na sisi, tubadili katiba twende kikorea Korea.
Maana kelele zinapigwa kwa kuwa wapiga kelele wanasema ni haki yao kikatiba kupiga kelele, na hata wakienda mahakamani, wanashinda kesi,
Sasa tubadili katiba ili wasiwe na cha kusingizia bali kukaa kimya na kukubaliana na fikra za bwana mkubwa.
Kama democracy zimetushinda na hatupo tayari kusikiliza wasiokubaliana na sisi, tubadili katiba twende kikorea Korea.
Maana kelele zinapigwa kwa kuwa wapiga kelele wanasema ni haki yao kikatiba kupiga kelele, na hata wakienda mahakamani, wanashinda kesi,
Sasa tubadili katiba ili wasiwe na cha kusingizia bali kukaa kimya na kukubaliana na fikra za bwana mkubwa.
..Kwa kweli kama IGP anataka kutenda HAKI basi aitishe kikao na viongozi wa UPINZANI.
..Pia ninamshauri awe HONEST, and FAIR, awaeleze wapinzani makosa yao, na akubali kusikiliza madukuduku yao.
..Huenda wanaotoa kauli kali wana machungu yao ambayo wanaona hayajashughulikiwa.
..Huu utaratibu wa kukusanya viongozi wa dini ambao ni Pro-CCM na Pro-serikali halafu kuwaelekeza wajibu hoja za wapinzani siyo suluhisho la tatizo lililopo.
..Pia namshauri kuanzia sasa aongeze msisitizo ktk suala la HAKI.