bastola haijifichi ni vile tu,huwa unaamia kudeal na mambo yako wakati mwingine.Huvai uniform halafu unadisplay silaha.c wangekua na bastola ambazo zimefichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hawavai uniform wanaonyesha silaha za nini?Hawana silaha zisizoonekana?Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.
wananchi wenzako wanawajua polisi wale.hata wapande guta.Acha upumbavu, mleta hoja ana point nzuri tuu. Inakuwaje askari yuko katika nguo zisizomtambulisha anabeba silaha?
Na bahati mbaya sio kwenye operesheni tuu, Bali hata mtaani waweza kukutana naye SMG Inaning'inia begani.
Jambo hilo ni hatari kwani RAIA waweza mdhania ni jambazi na madhara makubwa kwake na kwa RAIA kutokea.
Pili hata majambazi waweza kutumia mwanya huo kuhamisha silaha toka sehemu mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
corona haikamati polisi pekee.Kama hawavai uniform wanaonyesha silaha za nini?Hawana silaha zisizoonekana?
Ngoja wapate corona sijui hizo AK zitawasaidiaje!
Corona inatakana Mungu atusaidie,silaha haifui dafu
Physiological disturbing....Ni jambo ambalo linazidi kuenea Tanzania. Mara nyingi unakuta askari polisi wanatumwa kwenye tukio linalohitaji silaha (japo ni machache Tanzania) huku wakiwa wamesheheni silaha na bado wamevaa kiraia. Kwa nini wanafanya hivyo? Je inaruhusiwa kwa askari polisi aliye kwenye response unit kwenda akiwa na silaha kamili za kuingia filed lakini akawa amevaa kiraia?
Nimeangalia askari walioenda kumkamata huyu mama wa Iringa alietoroka kambi ya Corona, na karibu askari wote walioenda walikuwa wamesheheni silaha lakini wamevaa kiraia.
Halafu, hili tukio si la ujambazi. Kwa nini Polisi wapeleke kikosi chenye uzito wa silaha kiasi hiki kumkamata mwanamke mmoja aliekimbia kambi ya Corona? Hivi polisi wetu wanawashwa kubeba silaha na kuzitumia?
Nchi haiko vitani, unapeleka kikosi cha polisi kumkamata mwanamke mmoja aliyetoroka kambi ya Corona utafikiri unaenda kumkamata kiongozi wa Al-Qaeda, Unataka kumtisha nani na askari wako na silaha zao, wananchi wa Tanzania?
Unapeleka askari na silaha kwenye tukio dogo kama hili utafikiri huyo mwanamke ndio Corona yenyewe unaenda kuikamata! Mkitukanwa mnatumia nguvu badala ya busara mnalalamika. Hii display ya force kwenye tukio kama hili inawasaidia nini hasa? Polisi badilikeni. Mnatuaibisha.
Siku moja askari wako wenye silaha na wamevaa kiraia watakuja kuuwawa wakidhaniwa ni majambazi.
View attachment 1407862
View attachment 1407865
Poa tupelekwe somalia mbaki wewe na viyande wwnzako.Hamna lolote wapuuzi nyie mnapenda show off tu, nataman mngekuwa mnapelekwa japo hapo somalia tuone huo ujinga wenu, yaan mnatumia nguvu kuliko akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa,inaenda hadi kwa wake zao na watoto
Hapo ndipo risasi zinapopinda kona na kuua watu.Hapo wapo sawa mabomu ya machozi yatawasaidia paletu zali likitokea maana walienda kumkamata mtu je wale ndugu wakichachamaa unafikiri nini kinweza tokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mwalimu anayewafundisha, huwa anawafundisha pamoja na mbwa??Hata mimi jamaa kanitia mashaka,harafu anatoa povu kinoma,inawezekana aliekamatwa ni mama yake walitaka kumtetea ila askari wakawa wengi. Hakuna kujiamini kama haujui nguvu ya mpinzani wako,hivyo ndivyo askari wanafundishwa.[emoji2][emoji2][emoji2]
macson
kwani ili uzaliwe wewe ilihitajika mama na baba yako wawe na elimu na busara kiasi gani!!!!mbona ulizaliwa na unakamilisha idadi ya watz 60mln na bado wanashukuru hivyo hivyo japo mtu mwenyewe ndio hivi tia maji tia maji.Tanzania yetu, mtu akitaka kuwa polisi, si lazima awe kijana mwenye elimu na busara.
Ni lazima awe na nguvu za kimwili na ukakamavu.
Hivyo tusishangae na matukio kama haya, ni ya kawaida kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe pia uko kundi la wake zao au watoto wao.Ni kweli kabisa,inaenda hadi kwa wake zao na watoto
Ukiona mwalimu wako wa taaluma wakati akiwafundisha, mnachanganywa na mbwa basi ujue tayari hapo lipo tatizokwani ili uzaliwe wewe ilihitajika mama na baba yako wawe na elimu na busara kiasi gani!!!!mbona ulizaliwa na unakamilisha idadi ya watz 60mln na bado wanashukuru hivyo hivyo japo mtu mwenyewe ndio hivi tia maji tia maji.
huko polisi kuna watu wana elimu kubwa kukuzidi,ila busara hata kampuni iliyokuajiri haikukupima unayo kiasi gani maana vipimo hivyo havipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
polisi wafundishwe pamoja na mbwa,wakati huo wewe mwingine unakuwa koko au!!!!maana wenzako wako chuo cha polisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mwalimu anayewafundisha, huwa anawafundisha pamoja na mbwa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama hujui omba ueleweshwe lakn sio kukomalia ubishi Wa usichokijua.. Unatia aibuElewa somo.Hata kwenye tukio dogo,silaha nzito nzito.Kuvalia kiraia.Wakati mwingine huwezi tofautisha na wale wenyewe
mwalimu wako wa taaluma alikuchanganya na wanawake unajua ni kwanini????Ukiona mwalimu wako wa taaluma wakati akiwafundisha, mnachanganywa na mbwa basi ujue tayari hapo lipo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una hoja ya msingi sana. Hawa watu hawatimizi wajibu wao inavyopaswa ndiyo maana wanapata muda mchafu wa kufanya mambo ya kijinga. Hapo hata mkuu wa wilaya na kitambi chake hakupaswa kuwepo. Huu ni usanii wa viongozi na polisi unaotumiwa sana awamu hii ili kumdanganya rais kuwa wanatekeleza wajibu wao. Unakumbuka enzi za utoto wakati tukipewa kazi tunavyobuni vitu vya kijinga ili tuonekane tunachapa kazi?Sasa huko wameenda kupeleza kitu gani? Uliona askari anaenda kupeleleza kajivalisha mibomu ya machozi kama hana akili sawa?
Askari wawili wenye SMG walitosha kabisa, na hata bila kuwa na silaha isingekuwa tatizo. Hata mmoja, kwa sababu hili sio tukio ambalo lingeweza kuleta vurugu.
Au labda huyo mwanamke ni mwanachama wa Chadema!
Huwa kuna kikosi cha kushughulikia ujambazi na cha matukio ya kawaida ya raia watukutu.Mkuu hujawazoea tu? Wao ubabe wao kwa raia wakawaida. Penye mtiti wa kweli hawaonekanwi. Jaribu kwapigia simu usiku halafu uwambie kama nyumba imezungukwa na majambazi kama watatokeza.
Sasa unaniuliza niliebeba mpaka mtondoo. Au unadhani natania mkuu? Maskani kwetu sisi wanakuja sana na hatuna izo kwasababu hatuna Mob la wasela mavi, kwanzia pusha mpaka wadau watu na maisha yao wanavuta kwa starehe tu, Kwani wamekamata mara moja Ilo pilar la khaki la Gogoni nani hajui maskani naongelea mvua imeninyeshea Mkuu.wewe mama acha visa.
umeshawahi shuhudia ukamataji wa polisi eneo lolote,ukafanikiwa bila pingamizi???
huku mtaani tuna usela mavi sana wa kujifanya wapigania haki tusizozijua,visa kibao vya polisi kudhulika ama kushindwa kutekeleza majukumu yao vimeripotiwa.na nyinyi humu ndio wa kwanza kubeza.
zile silaha sio kwa ajili ya mauzo zinapiga kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app