Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.
Sirro yupi unayemsema , huyu aliyepeleka mamluki Zanzibar ? Thubutu !Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua...
Kazi ya upolisi imekuwa kazi ya aibu kwa familia ya mhusikaPolisi wajifunze kuheshimu sheria na katiba na kujua amri halali na amri haramu ICC inawaita msije kusema hatukuwaambia .View attachment 1593504
Acha ukabila mura...Hana CV ,Sana Sana ni mtu wa Mara kapandishwa cheo kuwa OCD kea sababu IGP ni mtu wa Mara. Ikachofanyika hai ni ugaidi Ili DC apandishwe cheo awe RC na OCD awe RPC
Ila ukweli NI kuwa hatashinda
Sidhani kama ni uzalendo.Nadhani ni .........Ameonesha ushabiki na uzalendo wa waziwazi.
Jeshi la polisi mnatakiwa kutokuonesha hisia zenu za kisiasa.
Hata kama una sababu binafsi za kuhakikisha kuwa unaemtaka ashinde utampigania kwa gharama yeyote ile.
Hata kama ni ndg yako.
Kwa jinsi hii tunaweza kuona kabisa uchaguzi huu walishatumwa na kuagizwa utekelezaji wa uvunjifu amani.Ameonesha ushabiki na uzalendo wa waziwazi.
Jeshi la polisi mnatakiwa kutokuonesha hisia zenu za kisiasa.
Hata kama una sababu binafsi za kuhakikisha kuwa unaemtaka ashinde utampigania kwa gharama yeyote ile.
Hata kama ni ndg yako.
Amchukulie hatua kwa kosa gani si uhuru na demokrasia hajamtukana mtu bali kamwambia ukweli ...sasa mlitaka polisi aseme atashinda ili msemeje chama fulani bwana wao wakiongea sawa wengine wakiongea kama wao eti wachukuliwe hatua.Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua...