Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Kesho atapandishwa cheo kama kawaida awamu ya 5 [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzake wa Arusha na kuongea kote kusifia chama,mwisho wa siku Mungu alimpa umauti.Usishangae akipandishwa cheo, maana ndiyo namna ya kupata ulajikwa sasa
Tatizo lako ni ubongo wako .mwaka 2010 mlisema JK anatosha mmeishia kujilaumu.. Kwa akili yangu ndogo ninahisi CCM Wana Tabia ya kuona ndugu kwa ndugu hivyo akili zinafanana.OCD NA RPC sio vyeo ni madaraka.
October 28 kura zote ni kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Alisema hatashinda nini? Ulimsikia akisema hatashinda uchaguzi? Au ulimsikia akisema hatamshinda MTU Fulani akimtaja jina?Kila aliyeiona clip ya polisi wilaya ya Hai akimhakikiahia Mbowe kuwa hatashinda naamini kuwa atakuwa ameshtuka sana kwa upotokaji wa afisa huyu wa jeshi letu tunalotegemea kutokuinesha ushabiki au msimamo binafsi wa kisiasa.
Kila anayepewa bendera na CCM ujue ANATOSHA, sijui kama umeenda shule kweli?Tatizo lako ni ubongo wako .mwaka 2010 mlisema JK anatosha mmeishia kujilaumu.. Kwa akili yangu ndogo ninahisi CCM Wana Tabia ya kuona ndugu kwa ndugu hivyo akili zinafanana.
Wewe ni bogus tu, huna tofauti na huyo OCD, kuthibitisha ulivyokosa akili umerudia maneno yaleyale ya OCD yanayolalamikiwa, usilete ushabiki wa kisiasa hapa mtavuna mnachopanda na maigizo yenu ya kijinga.Kwa vipi hali itakuwa mbaya? Bona wafuasi humu JF mnakariri kauli za vitisho vya viongozi wenu?
Hujui kilichojiri kurushiana hayo maneno unakuja na bandiko la kulaumu!
Wagombea wenu wanalaumu, kubeza na kudharilisha mwaona wao wana haki, ni upuuzi mtupu.
Alichosema Kamanda halisi, siyo wenu wa kujipachika, ni sawia. Amemkumbusha kuwa kwa ulevi wake wa kupindukia, ambao wapiga kura wake wanautambua na kujua kwa kina, zamu hii hachaguliwi.
Sio lazima OCD aondolewe, Mbowe ana wanyanyasa sana Polisi na watumishi wa serikali huku kwetu machame karibu kila mkutano wake..Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.
IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.
CCM mlikotutoa ndiko tuliko. CCM ni lazima kiwe KANU soon. Ili kuondoa ukoo wa panya. Ukivaa nguo ya kijana hata Kama hufai ccm wanasema unafaa. Tatizo Wengi mnaoishi kwa ndugu na wajombaKila anayepewa bendera na CCM ujue ANATOSHA, sijui kama umeenda shule kweli?
Wewe ulitaka JK aendelee licha ya kumaliza vipindi vyake viwili tena kwa mafanikio makubwa.
October 28 kura zote ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Atakuwa kanda ya maji mengi huyu,tuko very arrogance.huyu ni OCD duni sana ! hivi ni kabila gani huyu ?
Wenyewe wanasema amekuwa promoted to heaven.Mwenzake wa Arusha na kuongea kote kusifia chama,mwisho wa siku Mungu alimpa umauti.
Thubutuuu.Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.
IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.
Kiongezi wetu ndugu panya buku usihamishie msongo wako wa mawazo kwa watu wote....hakuna chama cha siasa kitakujengea nyumba au kukuletea chakula mezani, kwahiyo kufanya kazi ni muhimu sana ndio maana miaka 5 iliyopita tulisisitiza HAPA KAZI TUU.CCM mlikotutoa ndiko tuliko. CCM ni lazima kiwe KANU soon. Ili kuondoa ukoo wa panya. Ukivaa nguo ya kijana hata Kama hufai ccm wanasema unafaa. Tatizo Wengi mnaoishi kwa ndugu na wajomba
Hakuna asiyekuwa na ufahamu wa hayo,hata mtoto mdogo anafahamu-Ukweli ni kwamba kwenye kutengeneza mazingira wezeshi kwa mwananchi wa kawaida serikali hii imekuwa hopeless.Kiongezi wetu ndugu panya buku usihamishie msongo wako wa mawazo kwa watu wote....hakuna chama cha siasa kitakujengea nyumba au kukuletea chakula mezani, kwahiyo kufanya kazi ni muhimu sana ndio maana miaka 5 iliyopita tulisisitiza HAPA KAZI TU...
Mwenyekiti wa chama anatokea mkoa wa Geita, kutoka Geita kwenda kagera ni kms 309 anakotoka katibu Mkuu wa CCM. Kutoka mkoa wa Geita kwenda mkoa wa Mara ni kms 298 anakotoka katibu mwenezi na itikati wa CCM.Kiongezi wetu ndugu panya buku usihamishie msongo wako wa mawazo kwa watu wote....hakuna chama cha siasa kitakujengea nyumba au kukuletea chakula mezani, kwahiyo kufanya kazi ni muhimu sana ndio maana miaka 5 iliyopita tulisisitiza HAPA KAZI TU....
Mwenyekiti wa chama anatokea mkoa wa Geita, kutoka Geita kwenda kagera ni kms 309 anakotoka katibu Mkuu wa CCM. Kutoka mkoa wa Geita kwenda mkoa wa Mara ni kms 298 anakotoka katibu mwenezi na itikati wa CCM.Kiongezi wetu ndugu panya buku usihamishie msongo wako wa mawazo kwa watu wote....hakuna chama cha siasa kitakujengea nyumba au kukuletea chakula mezani, kwahiyo kufanya kazi ni muhimu sana ndio maana miaka 5 iliyopita tulisisitiza HAPA KAZI TU.
Jeshi la polisi limekuwa hovyo kabisa.Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.
IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.