Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.

IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.

View attachment 1593625
Huyu OCD kalopoka tu lakini mpango mzima anaufahamu, kwa ilo SIRO hana ubavu nalo ni maagizo toka kwa mtukufu
View attachment 1593763
 
Hapo NEC haiwezi Kuona Hiyo Video. Hawana MB za Ku Download Ila Angekuwa Lissu sahizi Wangekuwa Wamesha Jitokeza Mara 66 kulisemea
 
Hayo maagizo ya ocd atakuwa kapewa na dc kupitia maagizo toka juu kuzimu
 
Polisi wanatumia kanuni ile aliyokufanayo yule mwenzao ile ya A+B=C
 
Kwa vipi hali itakuwa mbaya? Bona wafuasi humu JF mnakariri kauli za vitisho vya viongozi wenu?

Hujui kilichojiri kurushiana hayo maneno unakuja na bandiko la kulaumu!

Wagombea wenu wanalaumu, kubeza na kudharilisha mwaona wao wana haki, ni upuuzi mtupu.

Alichosema Kamanda halisi, siyo wenu wa kujipachika, ni sawia. Amemkumbusha kuwa kwa ulevi wake wa kupindukia, ambao wapiga kura wake wanautambua na kujua kwa kina, zamu hii hachaguliwi.
Jeshi la polis kazi yake ni kuwalinda raia na mali zao! In short ni chombo cha kuhakikisha kunakuwa na amani, sasa hayo mambo ya kuanza kuwaambia wagombea wa vyama vya siasa kuwa utashinda au utashindwa sio kazi wala maadili ya jeshi la polis! Vinginevyo tunaiweka rehani amani yetu! Kwa kiongozi wa jeshi la polis kutoa kauli kama hiyo tena akiwa kazini na uniform ni makosa kisheria na kikanuni! Hivi Mbowe akishindwa huo uchaguzi na akakataa matokeo kwa madai kuwa polis ndio wamemhujumu, je watabisha vipi wakati ushahidi upo wazi namna hii!?? Vitendo kama hivi ndivyo itakujafika mahala vitawalazmisha wapinzani kutafta msaada wa nguvu za kijeshi kutoka nje, maana jeshi lililopo linajionyesha wazi kuwa ni la chama tawala!
 
Mbowe atunze ushahidi huu wa hii cli, ikitokea akashindwa uchaguzi huu afungue kesi kupinga matokeo mahakamani, maana kauli hizi za OCD ni dhahiri jeshi limejipanga kumhujumu Mbowe asishinde!
 
Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.

IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.

View attachment 1593625
Kuna OCD mwingine fala Shinyanga huko alienda kumbambikia mgombea kesi akiwa hajui alikuwa anarekodiwa hatua zake zote. Huyo naye achukuliwe hatua lakini siamini kama kuna hatua hasi itachukuliwa dhidi yake kwasababu amefanya jambo la kishujaa kumpigania mungu jiwe. Maana yake wametumwa na maRPC wao.
 
Hana CV ,Sana Sana ni mtu wa Mara kapandishwa cheo kuwa OCD kea sababu IGP ni mtu wa Mara. Ikachofanyika hai ni ugaidi Ili DC apandishwe cheo awe RC na OCD awe RPC
Huyo askari ni msukuma hata rafudhi yake iko wazi, anajua akifanya hivyo analinda utawala wa msukuma pia anataka magufuli ambae pia ni msukuma aone kweli huyu afande yuko upande wake, haina tofauti na occid wa tarime naye ni msukuma wanafanya upuuzi kwa sababu wanajua Rais ni msukuma atawalinda na kuwapandisha vyeo baada ya uchaguzi
Yani kwa ujumla hayo ndiyo mategemeo yao kupandishwa vyeo baada ya kazi hii wanayoifanya
 
Huyo OCD siyo kufutwa kazi tu,akamatwe,acharazwe bakola na aswekwe jela hata miaka kumi.Kuendekeza wahuni wachache wafanye uhuni wao kadri watakavyo kama huyo muhuni-OCD uchwara,ni kutafuta machafuko kwa nchi yetu.Hivi huyo mpuuzi alihakikiwa vyeti kweli?
 
Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.

IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.

View attachment 1593625
Shamba la bwana heri hembu ongeza sauti

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Matokeo ya Kufanya kazi kwa Amri za Ole Sirbuyer
 
Hawa viongozi ipo siku mtasikia kitu pale, kun tatizo kati yao
 
Back
Top Bottom