Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

Ukiitetea ccm automatically unakuwa juu ya sheria, hivyo huwezi kuchukuliwa hatua yoyote.
 
Ukiitetea ccm automatically unakuwa juu ya sheria, hivyo huwezi kuchukuliwa hatua yoyote.
Kamanda tuna hali mbaya sana,Mbowe alitakiwa apande gari aondoke.
2426566_IMG_20200613_131913(1).jpg
 
Ndio umejiunga humu jf mwezi wa sita kuja kuongea huu upuuzi?
Sasa ukijiunga juzi na ukijiunga miaka mingi Kuna tofauti gani?

Yaaani nyinyi NI waking Sana ndio maana magu anawanyoosha

Umeshajiona una hati miliki ya if kiss umejiunga miaka mingi

Sasa kwa taarifa yako mm Niko humu tangu inaanzishwa jf na bado siwezi kudharau mtu aliyejiunga jana
Sis wote ni swa
Hi ni Id yangu mpya tu
Kama Jf tu mnafanya ubaguzi Sasa mkipewa nchi itakuwaje hahahaaa
 
Amchukulie hatua anathubutu?

Ajaribu kama hajarudishwa yeye nyumbani kumsaidia mkewe kukata kata vitunguu,huyo OCD wa hai tactically ameshachukua uelekeo wa maisha, awamu hii wengi wanakula na kipofu.
*kumbukeni Mimi cpangiwi* huyo atapandishwa cheo maan waovu ndo hupendwa na watawala wavunjasheria n waovu wenzao.
 
Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.

IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.
umambo ambayo hayatokei kwa BAHATI MBAYA!!Sikiliza vizuri lafudhi ya askari.
 
Police wetu kwakweli wamekosa maadili! Ukiachana na kauli wanazojibishana OCD NA MBOWE, sio sahihi askari kuendesha gari kwa fujo ivyo ilihali unaona kuna raia hapo uwo ni ukosaji wa nizamu kazi ya police nikulinda raia na mali zao ila walichofanya hapo sio maadili ya kazi ni kama mnawatisha raia, sasa msisahau na nyie ni raia mkimvua izo jezi za police ... Mjirekebishe police
 
Ila ukweli NI kuwa hatashinda
kwa sababu ya uhuni wa plc siyo,sasa pamoja na uhuni na ujinga wa plc Mbowe atashinda pale hai wananchi watamchagua. ``Plc wetu wanahitaji kukombolewa toka kwenye makucha ya ccm ''sauti ya Lisu ikisikika akiwa Kiluvya''
 
OCD kazi hana!! kalipaka matope Jeshi la police, NEC na CCM.
 
Sasa ukijiunga juzi na ukijiunga miaka mingi Kuna tofauti gani?

Yaaani nyinyi NI waking Sana ndio maana magu anawanyoosha

Umeshajiona una hati miliki ya if kiss umejiunga miaka mingi

Sasa kwa taarifa yako mm Niko humu tangu inaanzishwa jf na bado siwezi kudharau mtu aliyejiunga jana
Sis wote ni swa
Hi ni Id yangu mpya tu
Kama Jf tu mnafanya ubaguzi Sasa mkipewa nchi itakuwaje hahahaaa

Nasema hivi, umejiunga juzi ili uje umwage uharo humu ndani? Kama una Id nyingine hii umefungua ya nini?
 
Atachukuaje hatua wakati anajisndaa kusikia na huko kwingine
 
Amelidhalilisha pakubwa sana jeshi la polisi.mimi ni ccm .nipo mlengo wa kati.siwezi kushabikia kwakuwa nipo ccm.inshort amekiuka maadiliya kazi.
 
Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni kazi ya heshima na hekima inayohitaji utulivu na busara katika kuamua.

IGP SIRO, wananchi tunaomba uchukue hatua stahiki kwa huyu askari kabla hali haijawa mbaya, huyu OCD ameweka historia na rekodi mbaya kwa mara ya kwanza katika Tanzania. Afande IGP usipochukua hatua kwa huyu askari chochote kitakachotokea nawe itahusika, tunaamini umeona na umesikia. Huyu OCD ni wazi kuwa anatumiwa kisiasa na hatutakubali kuwa na askari kama huyu atatuletea maafa, huyu siyo kiongozi.

View attachment 1593625
Ana Roho yenye ubaya mkubwa,in mtu aliyekosa kuijua,amekosa kujua nini heshima,hivi huyu anaweza kuisimamia haki?
 
Back
Top Bottom