IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Cha ajabu hakuna mfuasi wa mwenyekiti atakae thubutu kumuuliza Kama Ni kweli ama la.
 
Hu
Huyu siro ni hovyo kabisa.
 
Sirro katoa tamko kwa hasira kama vile ana kadi ya CCM mfukoni.
 
Msihangaike kumchambua Sirro.
Amesema Kuna mtego ulitegwa kwa mbowe akanasa.
Swali mtego huohuo ulitegwa kwa Lissu auawe na hakufa.
Sirro hakupenda kutega mtego wakuwanasa waliopiga risasi Lissu.
Mimi nawewe tupo mtegoni,
Mungu atategua tu
Upinzani wote lazima tuwastukie.Yapo mapandikizi mengi sana Tanzania.Soma taarifa hii.👇


 
MBOWE ni Gaidi na mhujumu uchumi ndiye aliyetoboa bomba la mafuta Kigamboni
 
Bro maandamano lini,nataka kuja kuwapa kampani,nishapiga Chanjo na itazuwia hadi maaumivu ya hicho kipigo Cha Mbwa kokoo!!
 
Mikwara Mbuzi hiyo,Kama kweli mnaweza ingieni road tuwaone,nyuma ya keyboard mnakuwa wababe sana!!
 
Minyoo ni shida
Wewe mbweha acha ufala kwani uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha ufala udwanzi uzuzu hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana hata ID yako haijadiliwi licha ya kuwa ya kishamba, humu wapo busy na mada siyo ujinga kama wako wa kuendekeza vitendo haramu vya kishamba na kishetani kuwaonea kuwabambikia kesi wapinzani
 
Sad time for our country

stupidity proMax is on the rise
 
Mikwara Mbuzi hiyo,Kama kweli mnaweza ingieni road tuwaone,nyuma ya keyboard mnakuwa wababe sana!!
Kwani wewe upo mbele ya keyboard ukitukuza ushetani wenu? hata wewe upo nyuma ya keyboard ukichochea uonevu unyanyasaji kwa watu ambao hawana siraha Bunduki wateswe kwa kubambikiwa kesi na Polisiccm
 
Sad time for our country

stupidity proMax is on the rise
Akili zenyewe huna unawezaje kujua ujinga? Kwa upumbavu wako unadhani kuandika kakingereza ka ngama ka dictionary unajiona eti una Akili? CCM acheni kuwatumia wajinga wajinga kama hawa kuwatetea mitandaoni kwani badala ya kuisaidia CCM huwa wanawadhalilisha zaidi
 
Watetezi wa CCM muogopeni mungu na Tambueni kuwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu
 
Sirro atavuna anachopanda
 
Siro anatumika na Sukuma Gang kumhujumu Rais Samia. Naye Mh.Rais kaingia mzima mzima kwenye huu mtego wa wahafidhina wa CCM akiamini wanamsaidia kuwakomoa Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…