IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

na wewe unae hoji ni mahakama!? mama unaucheza mwingi mno,huenda tuliyokuwa tunayaskia huko mijini na maeneo mengine yalihusiana na hii tuhuma,tuiache mahakama iendelee na kuamua ikiwa ni jamaa ni gaidi au laa,mm na ww ,huenda tunaskia skia ,au tunashaka na mbowe ,au hatuna mashaka nae,wanao ujua ukweli wa ugaidi wa mbowe ni mbowe mwenyewe na jamhuri. Ikiwa ni gaidi Basi atapata hatima ya kazi hiyo ya ugaidi,ikiwa ni msafi pia vivyo hivyo.
 
Awaulize Gewe, yule mhaya nimesahau jina, na wengineo.. Yaani tumeshawasahau. na yeye tutamsahau tu.
 
Ooh well

imbecile trolling
 
Mikwara Mbuzi hiyo,Kama kweli mnaweza ingieni road tuwaone,nyuma ya keyboard mnakuwa wababe sana!!

Kwani hata kuna haja ya kubishania aina mikwara? Kwamba ni mikwara mbuzi, kondoo, ng'ombe, mbuzi, punda, panya nk?

Tufanye ni mikwara mbuzi. Umefurahi eeh?

Ila usikonde. Karibu Mahakamani Kisutu wewe na yule na Sirro pia.
 
Kwani hata kuna haja ya kubishania aina mikwara? Kwamba ni mikwara mbuzi, kondoo, ng'ombe, mbuzi, punda, panya nk?

Tufanye ni mikwara mbuzi. Umefurahi eeh?

Ila usikonde. Karibu Mahakamani Kisutu wewe na yule na Sirro pia.
Kwa ushaidi huu Mbowe hatoboi, mkiaambiwa Tanzania kuna Wapelelezi wazalendo mnaleta dharau, Sasa utakayokuta Mahakamani utamuogopa hadi Mbowe mwenyewe!!
 
Kwani wewe upo mbele ya keyboard ukitukuza ushetani wenu? hata wewe upo nyuma ya keyboard ukichochea uonevu unyanyasaji kwa watu ambao hawana siraha Bunduki wateswe kwa kubambikiwa kesi na Polisiccm
Tukutane Mahakamani!!
 
Kuna nchi ukitaja gaidi na kuwakabidhi watakushangiliaa sana maana wanajua gaidi ni mtu wa aina gani. Alafu ugaidi Ni kitu cha wazi duniani Kama mpira wa miguu unavyochezwa sihitaji Sirro aniambie fulani Ni gaidi. Aende Somalia akajifunze maana ya ugaidi akirudi hatowaambia wasio magaidi kuwa Ni magaidi
 

If you think education is expensive, try ignorance!

Yaani BAVICHA badala ya kuhamasishana kutunisha mfuko wa legal defense wao wanahamasishana kutumia mabavu kuilazimisha Serikali kumuachia mtuhumiwa wa uhalifu! This is lawlessness that shouldn’t be entertained by anyone.
 
Huwa sioni mantiki ya kuogopa maandamano.
Chukua mfano wale walioandamana kumpokea Lissu, wakaachwa. Nini kilitokea? Waafrika vituko vituko hapa duniani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Namba 5 umepoteza muda kumshauri jambo kama hilo. Huyo alishachagua upande wa shetani.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Chadema hawa Bunduki hawana majeshi hawana dola wanatumia mabavu yapi kuwalazimisha nyinyi Polisi na CCM mnaomiliki silaha zote? Acheni uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani, utambue kuwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho Duniani, walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha, Alibashiri, Gadafi, Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada, mabutu leo hii wapo wapi?
 
Vijana wa CCM sjui akili wanawekaga wapi yaani hapo uko Kama mzoga
99% ya vijana watetezi wa CCM wanatokea gheto kwa Le mutuz ndiyo mwenye tenda ya kuitetea CCM mitandaoni, sasa ipime ile Akili ndogo ya Le mutuz plus Akili ndogo ya vijana wake unapata jawabu vizuri
 
Hizo propaganda za kishamba shamba watengenezeeni mazezeta huko gheto unaposhinda ukivuta Bangi,lakini Tambua watanzania wenye Akili timamu wanajua ukweli kuwa chadema hakuna Gaidi bali sasa ukidai katiba mpya ni ugaidi
 
MBOWE ni Gaidi na mhujumu uchumi ndiye aliyetoboa bomba la mafuta Kigamboni
Ndiyo alimuua sokoine, nyerere, karume , kawawa, mkapa, omary Juma, kijazi, magufuli, kombe, na viongozi wote wakubwa waliofariki
 

Tumieni akili. Issue ya Mbowe iko mahakamani. Pelekeni legal defense team mahakamani ikaiangamize prosecution team kwa hoja! Hivyo ndivyo wenye akili wanavyoipiga Serikali.
 
Tumieni akili. Issue ya Mbowe iko mahakamani. Pelekeni legal defense team mahakamani ikaiangamize prosecution team kwa hoja! Hivyo ndivyo wenye akili wanavyoipiga Serikali.
Wewe tumia Akili pia IGP kasema chadema wasiende mahakamaccm wanaonekana ni maandamano, sasa chadema wakusikilize wewe uliyejifanya una Akili za kupingana na IGP au waende mahakamaccm mkawakamate wabambikiwe kesi zingine za kuonekana wamefanya fujo mahakamaccm wakati hakuna fujo yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…