IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

we wachuuze tu wenzio wakati wewe utakuwepo mahakamani kwa kutmia mitandao wenzio wakapondwe pondwe wavunjwe miguu keshoyake uje tena kuwapa pole na kulaumu polisi sana

Kuwavunja miguu? Kwa kosa gani sasa? Wewe kwa hakika ni boya kweli kweli!

Au kwa kosa litakuwa lile lile lisilokuwapo kama alilobambikiziwa Mbowe? Nani asiyejua polisi Tanzania kubambikiza kesi ni moja ya majukumu yao halali yaliyoshamirishwa vilivyo katika awamu ile?


Ieleweke kuwa tunajua haki hatutaipata kwa kuomba au kupewa. Tuko tayari kuilipa gharama hiyo ambapo kwa kuvunjwa mguu tu, gharama hiyo ni sawa na bure.

Habari ndiyo hiyo.
 
Jamaa kasema sahiv kama amani imekushinda na unataka uandamane wao wako tayar wamejipanga watakupelekea Moto
Kauli ya kupelekewa Moto imejirudiarudia kama tuko Afghanistan
Mkuu njoo tulime maharage na njegere huku ipalamwa usije ukapelekewa moto bure tukakusahau.
 
Jeshi la polisiccm haliaminiki tena kwani linatumika kisiasa pamoja na mahakama kubambikia Watanzania kesi FEKI. Gaidi KAMWE hatoi kauli kama hizi.


Sirro afahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:


1. tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi.
2. tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi.
3. tunajua ni haki yetu kuja mahakamani.
4. tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. tunakutaka inogile Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake, Mola anakataza.
6. tunakutaka awashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu.
7. tunakutaka uziheshimu haki zetu.

Ni hayo kwako kamanda.
 
Sirro afahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi.
2. tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi.
3. tunajua ni haki yetu kuja mahakamani.
4. tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. tunakutaka inogile Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake, Mola anakataza.
6. tunakutaka awashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu.
7. tunakutaka uziheshimu haki zetu.

Ni hayo kwako kamanda.
Unamtaka na nani?
 
Uongozi ni ngumu sana ndugu zangu sio kwa upande wa kamanda sirro au kwa upande wa mbowe yaani kila mmoja anagombania upande wake sasa sijui mulitaka kamanda sirro afanyeje au amchekee tu mbowe pia mulitaka mbowe afanyeje eeh yaani asiipiganie katiba
 
Sirro unakumbuka ile clip yako uliyokuwa unawaasa makamanda wa Polisio wasijisahau wakiwa kazini maana kuna kustaafu na wale wale watu waliowatendea ubaya ndio watakuja kuishi nao?

Au kuna baadhi ya vyeo mtu ukifika hii inakuwa hai-apply?
 
Katibu Mkuu wa chadema Mnyika anapaswa achunge sana kauli zake za kuhamasisha maandamano yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.
asije akalilaumu Jeshi la Polisi endapo atachukuliwa hatua za kisheria.
huwezi kuhamasisha maandamano ya kushinikiza mahakama itoe haki!! kitendo hiki ni uvunjaji wa sheria.
Nyika na Mrema wawe makini sana, watanzania hatuko tayari kuona watu.wachache wanajaribu kuchokonoa amani ya nchi yetu, na tunaliomba Jeshi letu kamwe lisivumilie wala kuwachekea.
Wanaandamana kwenda kufanya nini?

Hata hivyo, ndugu jamaa na marafiki huweza kwenda mahakamani kusikiliza kesi au kuonesha mshikamano kwa mshitakiwa.

Kama watafanya fujo, watapambana na jeshi la polisi, ila kama wanafuata maelekezo pale mahakamani hakuna shida.

Wakati mwingine siyo lazima kupambana kwa maneno, yanaongeza mivutano bure
 
Ahsante sana IGP kwa maelezo na makatazo, wenye akili tumekuelewa vizuri sana.
tuache kufuata upepo kamwe tusiburuzwe, tuheshimu sheria pamoja na vyombo vinavyo simamia sheria.
Katibu Mkuu wa Chadema Mnyika na Mrema naamini wamepata ujumbe na watautekeleza.
Tulishawaonyahttps
//www.jamiiforums.com/threads/chadema-wanataka-kuvuruga-amani-ya-nchi-tuwe-nao-makini-kama-taifa.1892179/
 
Kumvunjia miguu? Kwa kosa gani sasa? Wewe kwa hakika ni boya kweli kweli.

Au kwa kosa litakuwa lile lisilokuwapo kama alilobambikiziwa Mbowe? Nani asiyejua polisi Tanzania kubambikiza kesi ni moja ya majukumu yao halali
Unaongea utafikiri kweli unaweza kuingia hata huko barabarani hakuna mjinga wa kiwango cha mawazoyako atakaye enda kuandamana kwa taarifa yako mifano iko mingi lissu aliwaambia watu waingie barabarani yeye akaondoka na hakuingia mtu sasa kila mtuyko na shughurizake hakuna mwenye muda mchafu na mbowe
 
Acha wafu wazikane…
Mama anaendelea kuupiga mwingi sana huku “Sukuma gang “ wakiangalia pambana na kushushia na beer baridi kabisaaaa.
Naona umeamua kujifariji.

Teh teh teh
 

Kumvunjia miguu? Kwa kosa gani sasa? Wewe kwa hakika ni boya kweli kweli.


Au kwa kosa litakuwa lile lisilokuwapo kama alilobambikiziwa Mbowe? Nani asiyejua polisi Tanzania kubambikiza kesi ni moja ya majukumu yao halali yaliyoshamirishwa vilivyokatika awamu ile?.....
 

Kumbukumbu la Torati/Sheria 7:15​

Mwenyezi-Mungu atawaondoleeni magonjwa yote na hamtapatwa na magonjwa yoyote ya kutisha kama yaliyowapata huko Misri, lakini atawapa maadui zenu magonjwa hayo.


Asante Mtumishi wa Mungu Gwajima

 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Alisikika raia mmoja wa online republic akitutusa vidole kutokea ughaibuni

nendeni barabarani …. Mkaonje virungu vipya
 
Back
Top Bottom