IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Simon Nyankoro Sirro yupo 100% Mbowe ana koneksheni na bokoharam na alqaeda na wamminye mpaka ataje aliyemshambulia Kamanda Lissu.
CCM naona mna hamu mno na Ugaidi, muulizeni Kenyatta atawaeleza ugaidi ni nini? msituharibie nchi yetu.
 
Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.

Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
Kichwa cha habari na Contents uliyoandika ni vitu viwili kabisa. Mbona hayo mambo unayosema wananchi gani hao wanao charuka, au unadhani wote ni manyumbu?? Tatizo lenu mtu unajificha na ID fake mia kidogo unafungua na kuchangia mada mwenyewe, alafu unakuja na justification za kishamba eti wananchi wamecharuka, nenda kwetu Nambilimbi kama wanahabari yeyote hata kama huyo unayomwita Mbowe kukamatwa kama wanataarifa hakuna hata anayejua. Pumpu kabisa wewe
 
IGP amesema kama unaona Mbowe kaonewa nenda kamuulize kama kweli yeye ni mkristu safi atakwambia.
nimeona IGP kaongea kwa kujiamini sana kuwa wanao ushahidi hivyo tusubiri mahakama. huna haja ya kutoka mishipa kwa sasa, Jambo usilo lijua nisawa na usiku wa giza. tusijiingize kwenye mitego ukaja kunasa halafu huna wa kumlaumu.
kwa sasa wacha Mbowe apambane na hali yake.

Porojo hizi Sirro akawaambie ndege. Mbowe hatapambana peke yake kama ambavyo mngependa. Yote hapa chini ni thabiti:

IMG_20210802_144817_401.jpg


Tuna ya kumwuliza Sirro wala si Mbowe.

Kwenye hili tambueni, kama ni disko basi kumeingia morani na sime lake. Asije mtu akasema laiti angelijua.

Hatuna haja ya kuendelea kukumbushana:


Gharama yote tuko tayari kuilipa na kiroho safi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.

Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
Waislamu naomba Siro awekewe Fatwa, basi!
 
Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.

Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
yaani wanaoona maisha yamewashinda wajarbu kuandamana watanyoooka hakuna nchi ya majaribio huyo mbowe ni gaidi mnamtetea mnamjuwa vizuri mbowe nyiee?
 
Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.

Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
Wananchi gani waliocharuka😆😆😆😆
 
Kichwa cha habari na Contents uliyoandika ni vitu viwili kabisa. Mbona hayo mambo unayosema wananchi gani hao wanao charuka, au unadhani wote ni manyumbu?? Tatizo lenu mtu unajificha na ID fake mia kidogo unafungua na kuchangia mada mwenyewe, alafu unakuja na justification za kishamba eti wananchi wamecharuka, nenda kwetu Nambilimbi kama wanahabari yeyote hata kama huyo unayomwita Mbowe kukamatwa kama wanataarifa hakuna hata anayejua. Pumpu kabisa wewe
matusi, matusi, matusi, kama ni mazuri basi, basi hata baba yako au maa yako ni Pumpu
 


La kwanza la msingi binafsi niko tayari kupata hasara. Ila:

"Hakuna muamala hapa!"


Wanaipeleka nchi kubaya. Kwani hata kama ha wakujua, nasi je hatukuwaambia?!

Wanatuomba tuwe magaidi. Hatutaki kuwa magaidi. Ila waache waendelee kutulazimisha.

Tukilazimika kuwakubalia, tisije kulaumiana.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wananchi gani waliocharuka😆😆😆😆
utajuaje na muda wote uko JF? Umeangali CNN, BBC, Al Jazira? Wwe ni uhuru, Habari lea na Jarida la habari and the like
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
utajuaje na muda wote uko JF? Umeangali CNN, BBC, Al Jazira? Wwe ni uhuru, Habari lea na Jarida la habari and the like
hao wananchi gani wameenda kucharuka bbc cnn al jazeera ? unaona ulivyo muongo halafu msahaulifu?
 
namuamini IGP Sirro mwenyekiti wenu haaminiki na machadema chama kinaelekea kuwafia mkononi.
 
namuamini IGP Sirro mwenyekiti wenu haaminiki na machadema chama kinaelekea kuwafia mkononi.
Kwa vile una akili kidog, basi maana seems hujui course of revolution in the fight for justice
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom