Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Mie namuminiTangu saga la MO, huyu jamaa haaminiki tena na jamii. Sijui analijua hilo.
akisema atawatandika mchakae namuamimi Kwa hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie namuminiTangu saga la MO, huyu jamaa haaminiki tena na jamii. Sijui analijua hilo.
CCM naona mna hamu mno na Ugaidi, muulizeni Kenyatta atawaeleza ugaidi ni nini? msituharibie nchi yetu.IGP Simon Nyankoro Sirro yupo 100% Mbowe ana koneksheni na bokoharam na alqaeda na wamminye mpaka ataje aliyemshambulia Kamanda Lissu.
Kichwa cha habari na Contents uliyoandika ni vitu viwili kabisa. Mbona hayo mambo unayosema wananchi gani hao wanao charuka, au unadhani wote ni manyumbu?? Tatizo lenu mtu unajificha na ID fake mia kidogo unafungua na kuchangia mada mwenyewe, alafu unakuja na justification za kishamba eti wananchi wamecharuka, nenda kwetu Nambilimbi kama wanahabari yeyote hata kama huyo unayomwita Mbowe kukamatwa kama wanataarifa hakuna hata anayejua. Pumpu kabisa weweMitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.
Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
IGP amesema kama unaona Mbowe kaonewa nenda kamuulize kama kweli yeye ni mkristu safi atakwambia.
nimeona IGP kaongea kwa kujiamini sana kuwa wanao ushahidi hivyo tusubiri mahakama. huna haja ya kutoka mishipa kwa sasa, Jambo usilo lijua nisawa na usiku wa giza. tusijiingize kwenye mitego ukaja kunasa halafu huna wa kumlaumu.
kwa sasa wacha Mbowe apambane na hali yake.
Waislamu naomba Siro awekewe Fatwa, basi!Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.
Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
yaani wanaoona maisha yamewashinda wajarbu kuandamana watanyoooka hakuna nchi ya majaribio huyo mbowe ni gaidi mnamtetea mnamjuwa vizuri mbowe nyiee?Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.
Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
Wananchi gani waliocharuka😆😆😆😆Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.
Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha. Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe. Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
matusi, matusi, matusi, kama ni mazuri basi, basi hata baba yako au maa yako ni PumpuKichwa cha habari na Contents uliyoandika ni vitu viwili kabisa. Mbona hayo mambo unayosema wananchi gani hao wanao charuka, au unadhani wote ni manyumbu?? Tatizo lenu mtu unajificha na ID fake mia kidogo unafungua na kuchangia mada mwenyewe, alafu unakuja na justification za kishamba eti wananchi wamecharuka, nenda kwetu Nambilimbi kama wanahabari yeyote hata kama huyo unayomwita Mbowe kukamatwa kama wanataarifa hakuna hata anayejua. Pumpu kabisa wewe
utajuaje na muda wote uko JF? Umeangali CNN, BBC, Al Jazira? Wwe ni uhuru, Habari lea na Jarida la habari and the likeWananchi gani waliocharuka😆😆😆😆
hao wananchi gani wameenda kucharuka bbc cnn al jazeera ? unaona ulivyo muongo halafu msahaulifu?utajuaje na muda wote uko JF? Umeangali CNN, BBC, Al Jazira? Wwe ni uhuru, Habari lea na Jarida la habari and the like
wameambiwa wamuulize awape ukweli gaidi yulenamuamini IGP Sirro mwenyekiti wenu haaminiki na machadema chama kinaelekea kuwafia mkononi.
Kwa vile una akili kidog, basi maana seems hujui course of revolution in the fight for justicenamuamini IGP Sirro mwenyekiti wenu haaminiki na machadema chama kinaelekea kuwafia mkononi.
CCM unaifahamu wewe,mimi nafahamu Mbowe ni gaidi.CCM naona mna hamu mno na Ugaidi, muulizeni Kenyatta atawaeleza ugaidi ni nini? msituharibie nchi yetu.