IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 amezungumza haya kuhusu kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe:

Mnakumbuka mnamo tarehe 17 mkoani Mwanza walikamatwa wanachama/wafuasi 15 wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA) Taifa Ndugu Freeman Aikael Mbowe wanachama hao walikamatwa kwa kosa la kutoa Matamshi yenye kuashiria uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kuhamasisha/ kushawishi wananchi kwa Vitisho na Sharti kuwa lazima katiba mpya ipatikane la sivyo, yanayoendelea Afrika Kusini yatatokea Tanzania

Baada ya kukamatwa Ndugu Freeman Aikael Mbowe alipelekwa Jijini DSM ambapo kulikuwa na kesi inayopelelezwa dhidi yake kuhusiana na kula njama na kufadhili vitendo vya kigaidi. Watuhumiwa wenzake 6 walikuwa Mahabusu na walishafikishwa Mahakamani. Watuhumiwa wengine waliokamatwa Jijini Mwanza pamoja na Ndugu. Mbowe waliachiwa kwa dhamana. Hata hivyo baada ya upelelezi kukamilika Jalada la kesi litawasilishwa Ofisi ya Mashtaka kwa hatua zaidi

Kuhusu Mtuhumiwa Freeman Mbowe na Wenzake tuhuma dhidi yao kwa sasa iko chini ya Mamlaka ya Mahakama. Suala la dhamana kwa kesi wanayokabiliwa nayo ni la kisheria na linasimamiwa na Mahakama

Hivyo Jeshi la Polisi halitegemei mtu wala kikundi cha watu kwa namna yoyote kutoa shinikizo kwa Mamlaka ya Mahakama ama mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe aachiwa au kupewa dhamana

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi cha Watu kitakacho jaribu kuhamisisha Mikusanyiko isiyo rasmi au kuandamana au kwa namna yoyote ile ili kutoa shinikizo lolote.
hovyo kbisa hata haibu hana jeshi linatumiwa na ccm, pumbaf
 
Stop bitching and degrade women….
Wewe ingia Mtaani tukupongeze Kwa ushujaa

I have never bitched nor degraded anyone in my life.

Read through and get to recognize. This struggle is a just course, meritus to the chosen!

Mtaani tunakwenda wala pongezi zako hatuzihitaji. Nyie bakini na m@vi yenu.

You have absolutely nothing in common with us.

Tunakutana na wewe wapi mburula wewe!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
mstari unaotenganisha kati ya jeshi la polisi na serikali ya ccm ni mwembamba sanaa,
Shida ni moja chama kinachokua madarakani Rais ndo anakua amir jesh mkuu kwahiyo hata Chadema ikiwa amadarakan hivyo hivyo polis watakua upande wao na siyo polis tu majesh yoye yatakua upande wao ndo mfumo ulivyo hivyo
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Akili za mavi hizi, kama ni haki yako kuja mahakamani njoo tena uwe wa kwanza uone moto
 
Katibu Mkuu wa chadema Mnyika anapaswa achunge sana kauli zake za kuhamasisha maandamano yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Asije akalilaumu Jeshi la Polisi endapo atachukuliwa hatua za kisheria.

Huwezi kuhamasisha maandamano ya kushinikiza mahakama itoe haki!! kitendo hiki ni uvunjaji wa sheria.

Mnyika na Mrema wawe makini sana, watanzania hatuko tayari kuona watu.wachache wanajaribu kuchokonoa amani ya nchi yetu, na tunaliomba Jeshi letu kamwe lisivumilie wala kuwachekea.
Hao ni wakuwafanya wa demo, unawakaanga ipasavyo mbwa hao, chadema ina watu wapumbavu sana sana
 
I have never bitched nor degraded anyone in myvlife.

Read through and get to recognize. This struggle is a just course, meritus to the chosen!

Mtaani tunakwenda wala pongezi zako hatuzihitaji. Nyie bakini na m@vi yenu.

You have absolutely nothing in common with us.

Tunakutana na wewe wapi mburula wewe!
Sounds desperate and disrespectful

walk on
 
Kiburi cha kwenye keyboard ni kibaya, nakushauri tulia ulee familia yako, utajuta

Kinawakera nini sisi kwenda mahakamani? Tofauti ya kero zenu leo na siku Lissu alipokuja JKNIA ni nini?

Akili zenu huwa zinazo nafasi zozote za kujifunza?

Au ni yale yale ya mbwa mzee na majina mapya?
 
Hakika,
Hawa ni wavunjifu wa amani watanzajia tuwapige vita hawa hawakawii kutukimbia kama yule aliyekimilia nairobi kisha huko kwa mabeberu
 
Ahsante sana IGP kwa maelezo na makatazo, wenye akili tumekuelewa vizuri sana.

Tuache kufuata upepo kamwe tusiburuzwe, tuheshimu sheria pamoja na vyombo vinavyo simamia sheria.

Katibu Mkuu wa Chadema Mnyika na Mrema naamini wamepata ujumbe na watautekeleza.
Kwani igp ndo nani. Nchi hii siyo mali yake pekeee. Tutaandamana na tuko radhi kifa maana tutaenda peponi. Mungu anafahamu mmembambika kesi mbowe na susu tunapigania haki. Sasa kama igp ana haki au mamlaka ya kutoa uhai na afanue tu
 
Katibu Mkuu wa chadema Mnyika anapaswa achunge sana kauli zake za kuhamasisha maandamano yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Asije akalilaumu Jeshi la Polisi endapo atachukuliwa hatua za kisheria.

Huwezi kuhamasisha maandamano ya kushinikiza mahakama itoe haki!! kitendo hiki ni uvunjaji wa sheria.

Mnyika na Mrema wawe makini sana, watanzania hatuko tayari kuona watu.wachache wanajaribu kuchokonoa amani ya nchi yetu, na tunaliomba Jeshi letu kamwe lisivumilie wala kuwachekea.
Kama yule wa arusha alivyokimbia nchi akidai ni mkimbizi hawa ni wa kupigwa vita kabisa hawa watumwa wa mabeberu
 
Kwani igp ndo nani. Nchi hii siyo mali yake pekeee. Tutaandamana na tuko radhi kifa maana tutaenda peponi. Mungu anafahamu mmembambika kesi mbowe na susu tunapigania haki. Sasa kama igp ana haki au mamlaka ya kutoa uhai na afanue tu
siku utakaporudi unatema tomato mdomoni ndiyo utajuwa siro ni nani
 
Hii ni nchi iliyo tayari kupokea mabadiliko. Dalili zinaonekana wazi kabisa sasa kwa matamko kama aliyotoa huyu mkuu wa polisi.

Ni dhahiri kabisa sasa kwamba Tanzania yetu haiwezi kuendelea katika uongozi wa namna hii na sisi kama raia tukaendelea kujivunia kuwa nchi yenye mwelekeo wa matumaini juu ya nchi yetu.
 
siku utakaporudi unatema tomato mdomoni ndiyo utajuwa siro ni nani
Mabadiriko na kudai haki vina tabia hiyo hususani hizi nchi za africa zinazoongozwa kidictator lazima kufa ili waru wengine hasa nyie waoga mpate ahueni mbeleni
 
Maadiriko na kudai haki vina tabia hiyo hususani hizi nchi za africa zinazoongozwa kidictator lazima kufa ili waru wengine hasa nyie waoga mpate ahueni mbeleni
sasa wakufa ni nani ? ndiyoswali la muhimu watangaze kuwa mnyika atakuwa mbele sehemu fulani wamfuate siyo anawqambia tu watu wakaandamane yeye anawaangalia kwenye tv
 
Back
Top Bottom