IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Jeshi la Polisi limeundwa kwa mujibu wa sheria na moja ya majukumu yake makubwa ni KULINDA RAIA NA MALI ZAO, lkn pia kulinda AMANI na UTULIVU.
haijalishi yeyote atakaye vunja sheria atachukuliwa hatua kali za kisheria bila kujali chama chake awe ccm, chadema au hata kama hana chama atachakazwa vilivyo.
Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko chama chochote kile.
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Nenda mtaani kaandamane acha kutokisa mackalio humu mtandaoni
 
Sirro anataka kucheza na akili za nani? kusema mna ushahidi wa kutengeneza sio kigezo cha kuaminiwa.

Kama ni suala la kuchoma vituo vya mafuta wakati wa uchaguzi mlikuwa wapi mpaka mje kumkamata Mbowe baada ya zaidi ya miezi sita toka uchaguzi ufanyike? tena baada ya Mbowe kulazimisha kupigania haki ya kikatiba ya kukutana na kujadili kuhusu katiba mpya?

Sirro kama ofisi ya IGP imemshinda ni vyema akachukue kadi ya CCM au kama anayo atafute namna awaombe CCM wampe cheo, pia aache kuingilia mahakama zetu.
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
safi sana IGP, mbowe sio malaika, anaweza kufanya makosa, amepelekwa mbele ya chombo cha kutoa haki, tusubiri mahakama itoe haki. anayefikiri anaweza kuandamana kuishinikiza mahakama atakuwa anaingilia uhuru wa mahakama, hatuwezi kuishi as if hakuna serikali, lazima tuheshimu serikali na sheria. watakaoandamana wasilaumu mtu, wajilaumu wenyewe au la waishie kuandamana mitandaoni, nako wafuateni wakamatwe humohumo. pia msimsahau maria sarungi, ndio kirusi namba moja wa nchi hii.
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Nikuulize wewe zwazwa,...mnajuaje kama ni kesi ya kubambika una ushahidi au unalopoka kama inzi wa chooni
Sheria za mahakamani zipo wazi wala sio za kufundishwa Leo. ..mkiamua kuzivunja mnakuwa mmekiuka Sheria name lazima mchukuliwe hatua kali. ..tatizo lenu hamumjui Mbowee
 
Narudia tena, hilo jeshi ni la wala rushwa, wao pamoja na watawala wanalindana kwenye uchafu wao. Hii ndio maana ccm inapora uchaguzi kwa kushirikiana na jeshi la polisi. Haya yote yanafanyika kwa minajili ya nilinde kwa jua, nikulinde kwa mvua. Wafuatilie vizuri vigogo wote wa polisi, na polisi wengi tu wana miradi isiyoendana na vipato vyao. Watawala wanajua uchafu huo, ndio maana inakuwa rahisi wao kuwatumia kulinda utawala wa majizi ya kura. Machafuko pekee yake ndio yataondoka hili kundi la majizi. Ni suala la muda tu tutaheshimiana.
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Wengi wanao ongea hivi wapo ubeligiji
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
Hii kesi naifananisha na ile kesi ya Lwakatale aliyotengenezewa.
 
We wachuuze tu wenzio wakati wewe utakuwepo mahakamani kwa kutmia mitandao wenzio wakapondwe pondwe wavunjwe miguu keshoyake uje tena kuwapa pole na kulaumu polisi sana
Atakaye waponda na kuwavunja watu wanao tafuta haki yao kwa njia za amani bila kuvunja sheria yoyote, ndiye shetani! Makosa yake huyo pamoja na wewe nyumba ndogo yake, yatahukumiwa, kama siyo leo kesho, kitawapata kile cha March kilichompata kubwa la majambazi!
 
unaongea utafikiri kweli unaweza kuingia hata huko barabarani hakuna mjinga wa kiwango cha mawazoyako atakaye enda kuandamana kwa taarifa yako mifano iko mingi lissu aliwaambia watu waingie barabarani yeye akaondoka na hakuingia mtu sasa kila mtuyko na shughurizake hakuna mwenye muda mchafu na mbowe
FREE FREEMAN. Kilangila.
 
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba

Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Tangulia tutakukuta huko
 
Hii nchi wanakoipeleka siyo, kutoka kwenye siasa za hoja kwa hoja mpaka kwenye siasa za kuharibiana maisha, wanatengeneza visasi vitakavyokuja kuleta madhara kwa taifa inaweza isiwe leo wala kesho

Mwendazake ametuachia taifa la ovyo sana katuaribia nchi, hatukua na siasa za hivi na hata kama zilikuepo si kwa kiwango hiki.

Naona ule mkwara wa kuachia watu na kufuta kesi ilikua ni kusafishia njia mashekh wa uamusho
Huko nyuma tulikuwa na siasa za matusi kudharau viongozi wa kitaifa na kuwadhalilisha...kuyumbisha wananchi na siasa za utapeli na uongo
Kujifanya mnafanya siasa na kutafuta demokrasia kumbe mnattafuta fursa za kujineemesha wenyewe
Tulishuhudia viongozi wenu baadhi wakienda kuficha mahela nye
Siasa za ushoga na kutetea biashara hiyo na mpaka Sasa mnafadhiliwa na taasisi hizo
 
Porojo hizi Sirro akawaambie ndege. Mbowe hatapambana peke yake kama ambavyo mngependa. Yote hapa chini ni thabiti:

View attachment 1877325

Tuna ya kumwuliza Sirro wala si Mbowe.

Kwenye hili tambueni, kama ni disko basi kumeingia morani na sime lake. Asije mtu akasema laiti angelijua.

Hatuna haja ya kuendelea kukumbushana:


Gharama yote tuko tayari kuilipa na kiroho safi.
Yes. FREE FREEMAN. Kilangila.
 
Back
Top Bottom