IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Mimi kama mtoto wa mchugaji nimetulia kama nasubiri mda wa sadaka kanisani, maana Chadema walimsema sana Magufuli na mara tu mama alipoingia mimi nilishangaa kuona mama kuwa Bawacha kama wa Ufipa, ngoja niendelee kusikiliza dozi kutoka kwa mama kama zinazidi za mwendazake au bado.
Chadema ni kama inashangaza yaani, haijijui yenyewe ni kinanani mara wamemchukuwa Lowasa, mara mpaka mama juzi walimuingiza bawacha, sasa sijui wanaotaga kitonga tu hii mambo ya siasa nyepesi sijui mtaachalini, sasa angalia sisi tunaongozwa na sharia na Mboe yupo mikononi mwa sharia sasa sielewi wanataka.

Siro anaonea lugha nyepesi kuwa Mbowe ajatoka mbinguni na si malaika, maana IGP naye hajui kuwa kunamalaika waliwai kuharibu sasa sembuse Mbowe. Minashauri kama polisi wakiwachapa hao waandamanaji hicho kichapo cha mbwa koko wahakikisha wanawapa panado na fenegani.
 
What kind of IGP we have? Is it a Tanzanian or illegal migrant from Rwanda? Tunaelewa mashtaka ya Mbowe Ni ya kipumbavu na hayana msingi wowote,free Freeman Mbowe .
Wewe ndio pumbaffff nadhani kama sio prove hapa kwa kuleta ushahidi wako kwamba mashtaka hayana msingi wowote
 
Acheni utoto, hizo mbinu ni so outdated, na sababu hasa ni kuwa na vyombo vya dola vilivyojaza mazee.
Jibu swali kwanza Wewe zwazwa..kwann unaamini mbowee hawez kuwa Gaidii
 
Nikuulize wewe zwazwa,...mnajuaje kama ni kesi ya kubambika una ushahidi au unalopoka kama inzi wa chooni
Sheria za mahakamani zipo wazi wala sio za kufundishwa Leo. ..mkiamua kuzivunja mnakuwa mmekiuka Sheria name lazima mchukuliwe hatua kali. ..tatizo lenu hamumjui Mbowee
Matusi ya nini? kwani huwezi kujibu bila matusi. kama matusi ni mazuri , nawe nakutukana ...Inzi wa chooni mama yako, potelea mbali.
 
Jibu swali kwanza Wewe zwazwa..kwann unaamini mbowee hawez kuwa Gaidii

Hao polisi walioshindwa hata kumkamata mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa Dar, ndio watakuwa na uwezo wa kumjua gaidi? Huyo Siro ni mla rushwa, anachofanya hapo ni kutekeleza watakacho majizi ya kura ili wasimtoe kwenye cheo cha ulaji rushwa. Mnajua ugaidi nyie, ama mnaendekeza siasa za kisengerema nyie mapunga wajane?
 
IGP bila aibu ameshindwa kuelezea ilikuwaje ukamatwaji wa Mbowe uhusishwe na kuwakamata/kuwadhalilisha wanaodai Katiba mpya...walishindwa nini kumfuata kwake Hai na kumkamata mpaka wasubiri kongomana la Mwanza? uongo mwingine basi upikwge kidogo...
 
Mbona IGP hajataja sheria inayokataza maandamano, na pia anasema wanao ushahidi mbona mashitaka yenyewe haya huo ushahidi hakuna kituo kimetajwa ambacho kilitaka kuchimwa na siku gani hakuna kiasi cha pesa kimetajwa kilichotumika kufadhili ugaidi, na hilo shitaka la kuua viongozi ndio uwongo wake mbona kwenye hati ya mashitaka halipo. Ati wana ushahidi wa kusema upelekze haujakamilika, Kwani wale mashehe mbona ushahidi waliokuwa nao haukuomekana mahakamani.
 
Matusi ya nini? kwani huwezi kujibu bila matusi. kama matusi ni mazuri , nawe nakutukana ...Inzi wa chooni mama yako, potelea mbali.
Hahaha jibu hoja jomba msilopoke hovyo Bila data...mtafungwa
 
Hao polisi walioshindwa hata kumkamata mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa Dar, ndio watakuwa na uwezo wa kumjua gaidi? Huyo Siro ni mla rushwa, anachofanya hapo ni kutekeleza watakacho majizi ya kura ili wasimtoe kwenye cheo cha ulaji rushwa. Mnajua ugaidi nyie, ama mnaendekeza siasa za kisengerema nyie mapunga wajane?
Kwahhiyo haya ndio majibu yako....Tanzania kweli bado. ...ndio maana mnapelekeshwa na magaidii bila kujijua
 
IGP amesema kama unaona Mbowe kaonewa nenda kamuulize kama kweli yeye ni mkristu safi atakwambia.

nimeona IGP kaongea kwa kujiamini sana kuwa wanao ushahidi hivyo tusubiri mahakama. huna haja ya kutoka mishipa kwa sasa, Jambo usilo lijua nisawa na usiku wa giza. tusijiingize kwenye mitego ukaja kunasa halafu huna wa kumlaumu.

kwa sasa wacha Mbowe apambane na hali yake.

Hao ni waongo sana umesikia amezungumzia tuhuma za kutaka kuua viongozi mbona kwenye hati ya mashitaka hakuna huo si uwongo wa waziwazi kabisa IGP anapokuwa muongo ni janga la taifa naona sasa hii amani imefika mwisho
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
Wewe umeshanogewa kumwaga damu za watu,lakini saa yaja na haiko mbali nawe utawekwa kikaangoni. Kuna maisha baada ya upolisi na wewe siye wa kwanza kushika hiyo nafasi. Mwisho wa ubaya ni aibu na mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Wewe kapuku huelewe nchi inaenda wapi. Kwani dola inaongozwa na nani?? Si ni chama tawala
Mbona nimekuuliza swali rahisi. .CCM inahusikaje na ugaidi anaohusishwa mboweree
 
Wewe umeshanogewa kumwaga damu za watu,lakini saa yaja na haiko mbali nawe utawekwa kikaangoni. Kuna maisha baada ya upolisi na wewe siye wa kwanza kushika hiyo nafasi. Mwisho wa ubaya ni aibu na mshahara wa dhambi ni mauti.
Mshahara wa dhambi ni mauti ni kweli kwa hiyo unataka kutuambia dhambi ya ugaidi adhabu yake itakuwa hiyo
 
Katibu Mkuu wa chadema Mnyika anapaswa achunge sana kauli zake za kuhamasisha maandamano yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Asije akalilaumu Jeshi la Polisi endapo atachukuliwa hatua za kisheria.

Huwezi kuhamasisha maandamano ya kushinikiza mahakama itoe haki!! kitendo hiki ni uvunjaji wa sheria.

Mnyika na Mrema wawe makini sana, watanzania hatuko tayari kuona watu.wachache wanajaribu kuchokonoa amani ya nchi yetu, na tunaliomba Jeshi letu kamwe lisivumilie wala kuwachekea.

Labda kama hukumsikiliza amesema maandamano ya amani ambayo yanaruhusiwa kisheria sasa achunge nini Kwani kwenye nchi za demokrasia kuandamana sasa limekuwa kosa la jinai nani amewahi kufungwa kwa kosa la kuandamana hebu tusifanywe wajinga.
 
Back
Top Bottom